Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
- #41
Nani kasema?Kwani dungai mwanamke? Zamu ya mmama Safari him.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema?Kwani dungai mwanamke? Zamu ya mmama Safari him.
Ni kosa kubwa kumfungamanisha Mungu na huyu muuwaji, mtekaji, mfilisi na mpenda dhuluma. Mnazidi kumtia hasira mwenyezi Mungu.Hafi ataendelea kuishi ili atimize kusudi la Mungu kwa watanzania. Hali kadhalika na wewe hutakufa, utaishi ili uyashuhudie matendo makuu Mungu anayoenda kuyatenda kwa Tanzania kupitia mtumishi wake, John Magufuli
Asante sana mkuu TODAYSMfano: Amani Msumari , Weka alama @ kisha jina la unayemtaka, usiache nafasi kati ya @ na jina.
Kawe Alumni Pascal Mayalla mama D stroke GENTAMYCINE TODAYS na wengine wengiKawe Alumni, Pascal Mayalla, Stroke, mama D na wengine wengi, nashauri tufanye advocacy kwa wabunge wetu kuhakikisha wanapitia upya baadhi ya sheria hasa masuala ya mafao na makato ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu
Imeandikwa, msihukumu msije mkahukumiwaNi kosa kubwa kumfungamanisha Mungu na huyu muuwaji, mtekaji, mfilisi na mpenda dhuluma. Mnazidi kumtia hasira mwenyezi Mungu.
Una msuli wa kupambana wewe ?Labda kama ukimaanisha miezi 5. Kesho kutakuwa na maandamano nchi nzima ya kumkataa. Unakijua hilo?
Nakuona nakuonaaa 😁😁😁😁😁Mambo ni hivi mama D, papa ngwasuma
View attachment 1617310
Haya ndio mambo ya maana sana na yenye tija kwa taifa letu, kwakweli kama taifa lenye uchanga ktk mifumo mingi ya kiuchumi, kijamii,kisiasa na hata kijeshi, taifa linahitaji zaidi kudumisha haki za kijamii na kiuchumi na wala si za kisiasa, wananchi Wana njaa, hivyo wanahitaji zaidi KULA na si KURA.Ndugu Rais, nakusalimu.
Awali ya yote ninakupongeza kwa dhati kabisa kwa kuchaguliwa kwako kwa kishindo kuingoza tena Tanzania kwa miaka mingine mitano. Ushindi huo sio bahati mbaya. Watanzania wameridhishwa na uongozi wako unaoacha alama.
Ndugu Rais, ninaomba niende moja kwa moja kwenye hoja yangu. Serikali hii utakayoiongoza kwa kipindi hiki cha miaka mitano itakuwa ni serikali yenye deni kubwa sana kwa watanzania. Kipindi cha kampeni uliomba watanzania wakuletee madiwani na wabunge wa CCM, nao wamekusikia.
Ninaamini spika wa bunge atatoka CCM hivyo ninaomba akapatikane mtu ambaye atashirikiana vizuri na serikali katika kuendesha bunge ili kuhakikisha watanzania wanapata neema zaidi. Ikiwapendeza, Job Yustino Ndugai bado anafaa.
Naomba pia uelekeze (Kama mwenyekiti wa CCM taifa) pati kokasi kuhakikisha inalishawishi bunge kupitia sheria mbalimbali zinazolalamikiwa ili zilete tija zaidi kwa watanzania. Mfano mmoja wapo ni sheria ya mafao ya wastaafu pamoja na fao la kujitoa kwa watumishi wa kazi za muda mfupi.
Kasi yako kwenye maendeleo imeonekana kuanzia usambazaji wa umeme vijijini, maji, huduma za afya na elimu, kilimo, barabara na nidhanu serikalini. Umekuwa sauti ya wale wasio na sauti na kuwawezesha kuwa na sauti.
Pamoja na hayo, wapo baadhi ya viongozi ambao hawawajibiki ipasavyo, unakuta ni mpaka ufike wewe mwenyewe ndio unakuta viongozi wanawajibika.
Mheshimiwa Rais naomba sana hili ukaliangalie ili wateule wako wachape kazi zaidi na kutatua kero za wananchi na wewe ukifika usikutane na shida ndogondogo.
Naomba ikikupendeza, waelekeze wateule wako wahangaike usiku na mchana kubuni miradi, kupanua wigo wa vipato vya halmashauri, kudhibiti rushwa na kuhakikisha wanasimamia sera za serikali ili vijana waweze kujiajiri.
Kilimo, ufugaji na ujasiriamali vikipewa msukumo mkubwa zaidi katika ngazi za wilaya na halmashauri, Mheshimiwa Rais tutatoa ajira nyingi na Kukuza uchumi wa taifa letu.
Ninakutakia afya njema na kila lililo jema.
Amani Msumari
Tanga
Cc: Dkt. Bashiru Ally Kakurwa
Katibu Mkuu - CCM
Nchi nzima unaijua wewe? Ndivyo mnavyojiaminishaga kiuongo eti nchi nzima mnakubalika hivyo mngepaswa kushinda uchaguzi, haya ndio leo ngoja tuyaoneLabda kama ukimaanisha miezi 5. Kesho kutakuwa na maandamano nchi nzima ya kumkataa. Unakijua hilo?
Safu ya uspika ibaki ile ile. Tulia pata uzuefu hadi kipindi kouachi 2025Ndugu Rais, nakusalimu.
Awali ya yote ninakupongeza kwa dhati kabisa kwa kuchaguliwa kwako kwa kishindo kuingoza tena Tanzania kwa miaka mingine mitano. Ushindi huo sio bahati mbaya. Watanzania wameridhishwa na uongozi wako unaoacha alama.
Ndugu Rais, ninaomba niende moja kwa moja kwenye hoja yangu. Serikali hii utakayoiongoza kwa kipindi hiki cha miaka mitano itakuwa ni serikali yenye deni kubwa sana kwa watanzania. Kipindi cha kampeni uliomba watanzania wakuletee madiwani na wabunge wa CCM, nao wamekusikia.
Ninaamini spika wa bunge atatoka CCM hivyo ninaomba akapatikane mtu ambaye atashirikiana vizuri na serikali katika kuendesha bunge ili kuhakikisha watanzania wanapata neema zaidi. Ikiwapendeza, Job Yustino Ndugai bado anafaa.
Naomba pia uelekeze (Kama mwenyekiti wa CCM taifa) pati kokasi kuhakikisha inalishawishi bunge kupitia sheria mbalimbali zinazolalamikiwa ili zilete tija zaidi kwa watanzania. Mfano mmoja wapo ni sheria ya mafao ya wastaafu pamoja na fao la kujitoa kwa watumishi wa kazi za muda mfupi.
Kasi yako kwenye maendeleo imeonekana kuanzia usambazaji wa umeme vijijini, maji, huduma za afya na elimu, kilimo, barabara na nidhanu serikalini. Umekuwa sauti ya wale wasio na sauti na kuwawezesha kuwa na sauti.
Pamoja na hayo, wapo baadhi ya viongozi ambao hawawajibiki ipasavyo, unakuta ni mpaka ufike wewe mwenyewe ndio unakuta viongozi wanawajibika.
Mheshimiwa Rais naomba sana hili ukaliangalie ili wateule wako wachape kazi zaidi na kutatua kero za wananchi na wewe ukifika usikutane na shida ndogondogo.
Naomba ikikupendeza, waelekeze wateule wako wahangaike usiku na mchana kubuni miradi, kupanua wigo wa vipato vya halmashauri, kudhibiti rushwa na kuhakikisha wanasimamia sera za serikali ili vijana waweze kujiajiri.
Kilimo, ufugaji na ujasiriamali vikipewa msukumo mkubwa zaidi katika ngazi za wilaya na halmashauri, Mheshimiwa Rais tutatoa ajira nyingi na Kukuza uchumi wa taifa letu.
Ninakutakia afya njema na kila lililo jema.
Amani Msumari
Tanga
Cc: Dkt. Bashiru Ally Kakurwa
Katibu Mkuu - CCM
Kwani fao la kujitoa watu hawapewi? Maana kuna kipindi rais alitoa amri kanuni za zamani ziendelee kutumika.Ndugu Rais, nakusalimu.
Awali ya yote ninakupongeza kwa dhati kabisa kwa kuchaguliwa kwako kwa kishindo kuingoza tena Tanzania kwa miaka mingine mitano. Ushindi huo sio bahati mbaya. Watanzania wameridhishwa na uongozi wako unaoacha alama.
Ndugu Rais, ninaomba niende moja kwa moja kwenye hoja yangu. Serikali hii utakayoiongoza kwa kipindi hiki cha miaka mitano itakuwa ni serikali yenye deni kubwa sana kwa watanzania. Kipindi cha kampeni uliomba watanzania wakuletee madiwani na wabunge wa CCM, nao wamekusikia.
Ninaamini spika wa bunge atatoka CCM hivyo ninaomba akapatikane mtu ambaye atashirikiana vizuri na serikali katika kuendesha bunge ili kuhakikisha watanzania wanapata neema zaidi. Ikiwapendeza, Job Yustino Ndugai bado anafaa.
Naomba pia uelekeze (Kama mwenyekiti wa CCM taifa) pati kokasi kuhakikisha inalishawishi bunge kupitia sheria mbalimbali zinazolalamikiwa ili zilete tija zaidi kwa watanzania. Mfano mmoja wapo ni sheria ya mafao ya wastaafu pamoja na fao la kujitoa kwa watumishi wa kazi za muda mfupi.
Kasi yako kwenye maendeleo imeonekana kuanzia usambazaji wa umeme vijijini, maji, huduma za afya na elimu, kilimo, barabara na nidhanu serikalini. Umekuwa sauti ya wale wasio na sauti na kuwawezesha kuwa na sauti.
Pamoja na hayo, wapo baadhi ya viongozi ambao hawawajibiki ipasavyo, unakuta ni mpaka ufike wewe mwenyewe ndio unakuta viongozi wanawajibika.
Mheshimiwa Rais naomba sana hili ukaliangalie ili wateule wako wachape kazi zaidi na kutatua kero za wananchi na wewe ukifika usikutane na shida ndogondogo.
Naomba ikikupendeza, waelekeze wateule wako wahangaike usiku na mchana kubuni miradi, kupanua wigo wa vipato vya halmashauri, kudhibiti rushwa na kuhakikisha wanasimamia sera za serikali ili vijana waweze kujiajiri.
Kilimo, ufugaji na ujasiriamali vikipewa msukumo mkubwa zaidi katika ngazi za wilaya na halmashauri, Mheshimiwa Rais tutatoa ajira nyingi na Kukuza uchumi wa taifa letu.
Ninakutakia afya njema na kila lililo jema.
Amani Msumari
Tanga
Cc: Dkt. Bashiru Ally Kakurwa
Katibu Mkuu - CCM
Fao la kujitoa lipo ila ni kwa wale wasio na ujuzi ambao hawataajirika. Mtu professional anapewa fao la kukosa ajira. Fao hili n 33.3% ya iliyokuwa basic salary yako na hutilewa kwa kipindi cha miezi 6 huku ukitarajiwa kuwa utakuwa umeshapata kazi katika kipindi hicho.Kwani fao la kujitoa watu hawapewi? Maana kuna kipindi rais alitoa amri kanuni za zamani ziendelee kutumika.
Ndugai bado yuko NgangariSafu ya uspika ibaki ile ile. Tulia pata uzuefu hadi kipindi kouachi 2025
Wasio na ujuzi kivipi? Operator wa grader hana ujuzi? Engineer wa mradi kama Sgr ukiisha hapati fao la kujitoa?Fao la kujitoa lipo ila ni kwa wale wasio na ujuzi ambao hawataajirika. Mtu professional anapewa fao la kukosa ajira. Fao hili n 33.3% ya iliyokuwa basic salary yako na hutilewa kwa kipindi cha miezi 6 huku ukitarajiwa kuwa utakuwa umeshapata kazi katika kipindi hicho.
Kiukweli fao hili la kukosa ajira n zuri na linamlinda mtu kipindi cha kutafuta ajira. Hatahivyo, wapo watu ambao wasingependa kuendelea na ajira, watu hawa wanatamani kujiajiri, kuajiri wengine na Kukuza vipato vyao na uchumi wa nchi. Hawa wanatazamwaje?
Nadhani kwa maelezo zaidi fika ofisi ya NSSF iliyokaribu nawe.Wasio na ujuzi kivipi? Operator wa grader hana ujuzi? Engineer wa mradi kama Sgr ukiisha hapati fao la kujitoa?
Acha kupotosha watu,Mh rais alitoa tamko kanuni za zamani ziendelee kutumika. Na watu wanapokea fao la kujitoa miradi ya muda mfupi ikiisha.Nadhani kwa maelezo zaidi fika ofisi ya NSSF iliyokaribu nawe.
Acha kupotosha watu,Mh rais alitoa tamko kanuni za zamani ziendelee kutumika. Na watu wanapokea fao la kujitoa miradi ya muda mfupi ikiisha.