Niwaheri JF-Expert Member Joined May 2, 2020 Posts 2,994 Reaction score 4,729 Nov 2, 2020 #61 Ombi langu kwa wale vijana wa jkt mlowavalisha sare za polisi na kuwatuma zanzibar kusimamia uchaguzi msiwaache hivhiv wapeni kazi jaman
Ombi langu kwa wale vijana wa jkt mlowavalisha sare za polisi na kuwatuma zanzibar kusimamia uchaguzi msiwaache hivhiv wapeni kazi jaman
H ho chi minh JF-Expert Member Joined Sep 27, 2016 Posts 32,904 Reaction score 163,073 Nov 2, 2020 #62 Ujinga ni kujiamijisha chama chako ni kikubwa na kina wanachama wengi kuliko kilichoshinda, Hata kama kura zinarudiwa Leo matokeo yatabaki kuwa haya tu. Ni yeye! Ni yeye!
Ujinga ni kujiamijisha chama chako ni kikubwa na kina wanachama wengi kuliko kilichoshinda, Hata kama kura zinarudiwa Leo matokeo yatabaki kuwa haya tu. Ni yeye! Ni yeye!
Usher-smith MD JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 9,558 Reaction score 12,335 Nov 2, 2020 #63 Kilichofanywa na majaji wa NEC, sidhani kama kwenye mahakama zetu kuna haki [emoji22]
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 3, 2020 #64 Ngoja tuone, ila yeye ni jiwe hapangiwi... Cc: mahondaw
A Amani Msumari JF-Expert Member Joined Aug 21, 2016 Posts 1,830 Reaction score 972 Nov 3, 2020 Thread starter #65 Sexless said: Labda kama ukimaanisha miezi 5. Kesho kutakuwa na maandamano nchi nzima ya kumkataa. Unakijua hilo? Click to expand... Sexless Mshana Jr Salary Slip karibuni Dodoma mshuhudie kuapishwa kwa Mheshimiwa Rais John Magufuli. Tuanze upya #maendeleohayanachama
Sexless said: Labda kama ukimaanisha miezi 5. Kesho kutakuwa na maandamano nchi nzima ya kumkataa. Unakijua hilo? Click to expand... Sexless Mshana Jr Salary Slip karibuni Dodoma mshuhudie kuapishwa kwa Mheshimiwa Rais John Magufuli. Tuanze upya #maendeleohayanachama