Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
"Asiye fanya kazi na asile" hii aya ipo kwenye kitabu cha Biblia na ni maneno ya Mwenyezi Mungu kupitia nabii wake Yesu kama sijakosea.
Waislamu kuna mahala wanaambiwa wakishafanya ibada watawanyike wakatafute ridhki.
Hata dini zinaamini kwenye kufanya kazi.
Watanzania na Waafrica tunaumiza vichwa sana juu ya mkwamo tulionao na kujikosesha majibu kwa makusudi kwa kuukwepa ukweli asiyefanya kazi na asile.
JE WATANZANIA TUNAFANYA KAZI? ILI MWISHO WASIKU TULE?, JIBU: HAPANA.
idadi ya wazarishaji ni wachache na waliowengi ni walaji na hapa nini tufanye wengi wazarishe na wachache wale kwa sababu maalumu TUMEKWAMA HATUNA JIBU.
Hakuna mahala unaweza kujenga taifa kwa kutegemea watu legelege na wamizahamizaha kama jamii ya Kitanzania, Tuna watu wengi wazembe na legelege ambao hawazarishi na hata wanaozarisha wanazarisha kidogo na muda mwingi wanautumia kwenye mizaha na ujingaujinga.
Mataifa yaliendelea duniani kwa watu kufanya kazi kwa bidii na kuwa serious na maendeleo ya mataifa yao, vizazi hivi vilivyojitolea vimeacha urithi thabiti kwa watu wake kuanzia nguvu, akili, uelewa, ustaarabu nk, urithi huu ndio hutumika mpaka leo kutawala wajinga wajinga WaAfrica wanaolialia na kuendekeza upumbavu.
KILA MMOJA ABADILIKE ALIPO YEYE NA KIZAZI CHAKE KAMA KWELI TUNATAKA KULETA MAENDELEO NA KUACHA ALAMA KWENYE HII ARDHI, HAKUNA MAHALA WATU LEGELEGE NA WAMIZAHAMIZAHA WALIWEZA KULETA MAENDELEO.
Waislamu kuna mahala wanaambiwa wakishafanya ibada watawanyike wakatafute ridhki.
Hata dini zinaamini kwenye kufanya kazi.
Watanzania na Waafrica tunaumiza vichwa sana juu ya mkwamo tulionao na kujikosesha majibu kwa makusudi kwa kuukwepa ukweli asiyefanya kazi na asile.
JE WATANZANIA TUNAFANYA KAZI? ILI MWISHO WASIKU TULE?, JIBU: HAPANA.
idadi ya wazarishaji ni wachache na waliowengi ni walaji na hapa nini tufanye wengi wazarishe na wachache wale kwa sababu maalumu TUMEKWAMA HATUNA JIBU.
Hakuna mahala unaweza kujenga taifa kwa kutegemea watu legelege na wamizahamizaha kama jamii ya Kitanzania, Tuna watu wengi wazembe na legelege ambao hawazarishi na hata wanaozarisha wanazarisha kidogo na muda mwingi wanautumia kwenye mizaha na ujingaujinga.
Mataifa yaliendelea duniani kwa watu kufanya kazi kwa bidii na kuwa serious na maendeleo ya mataifa yao, vizazi hivi vilivyojitolea vimeacha urithi thabiti kwa watu wake kuanzia nguvu, akili, uelewa, ustaarabu nk, urithi huu ndio hutumika mpaka leo kutawala wajinga wajinga WaAfrica wanaolialia na kuendekeza upumbavu.
KILA MMOJA ABADILIKE ALIPO YEYE NA KIZAZI CHAKE KAMA KWELI TUNATAKA KULETA MAENDELEO NA KUACHA ALAMA KWENYE HII ARDHI, HAKUNA MAHALA WATU LEGELEGE NA WAMIZAHAMIZAHA WALIWEZA KULETA MAENDELEO.