Ujumbe: Taifa hujengwa kwa watu kufanya kazi kwa bidii, nguvu na akili nyingi na sio mizahamizaha na kuendekeza ujinga

Ujumbe: Taifa hujengwa kwa watu kufanya kazi kwa bidii, nguvu na akili nyingi na sio mizahamizaha na kuendekeza ujinga

Nangu Nyau

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2022
Posts
5,015
Reaction score
14,139
"Asiye fanya kazi na asile" hii aya ipo kwenye kitabu cha Biblia na ni maneno ya Mwenyezi Mungu kupitia nabii wake Yesu kama sijakosea.

Waislamu kuna mahala wanaambiwa wakishafanya ibada watawanyike wakatafute ridhki.
Hata dini zinaamini kwenye kufanya kazi.

Watanzania na Waafrica tunaumiza vichwa sana juu ya mkwamo tulionao na kujikosesha majibu kwa makusudi kwa kuukwepa ukweli asiyefanya kazi na asile.

JE WATANZANIA TUNAFANYA KAZI? ILI MWISHO WASIKU TULE?, JIBU: HAPANA.
idadi ya wazarishaji ni wachache na waliowengi ni walaji na hapa nini tufanye wengi wazarishe na wachache wale kwa sababu maalumu TUMEKWAMA HATUNA JIBU.

Hakuna mahala unaweza kujenga taifa kwa kutegemea watu legelege na wamizahamizaha kama jamii ya Kitanzania, Tuna watu wengi wazembe na legelege ambao hawazarishi na hata wanaozarisha wanazarisha kidogo na muda mwingi wanautumia kwenye mizaha na ujingaujinga.

Mataifa yaliendelea duniani kwa watu kufanya kazi kwa bidii na kuwa serious na maendeleo ya mataifa yao, vizazi hivi vilivyojitolea vimeacha urithi thabiti kwa watu wake kuanzia nguvu, akili, uelewa, ustaarabu nk, urithi huu ndio hutumika mpaka leo kutawala wajinga wajinga WaAfrica wanaolialia na kuendekeza upumbavu.

KILA MMOJA ABADILIKE ALIPO YEYE NA KIZAZI CHAKE KAMA KWELI TUNATAKA KULETA MAENDELEO NA KUACHA ALAMA KWENYE HII ARDHI, HAKUNA MAHALA WATU LEGELEGE NA WAMIZAHAMIZAHA WALIWEZA KULETA MAENDELEO.
 
"Asiye fanya kazi na asile" hii aya ipo kwenye kitabu cha Biblia na ni maneno ya Mwenyezi Mungu kupitia nabii wake Yesu kama sijakosea.
Waislamu kuna mahala wanaambiwa wakishafanya ibada watawanyike wakatafute ridhki.
Hata dini zinaamini kwenye kufanya kazi.

Watanzania na Waafrica tunaumiza vichwa sana juu ya mkwamo tulionao na kujikosesha majibu kwa makusudi kwa kuukwepa ukweli asiyefanya kazi na asile.

JE WATANZANIA TUNAFANYA KAZI? ILI MWISHO WASIKU TULE?, JIBU: HAPANA.
idadi ya wazarishaji ni wachache na waliowengi ni walaji na hapa nini tufanye wengi wazarishe na wachache wale kwa sababu maalumu TUMEKWAMA HATUNA JIBU.

Hakuna mahala unaweza kujenga taifa kwa kutegemea watu legelege na wamizahamizaha kama jamii ya Kitanzania, Tuna watu wengi wazembe na legelege ambao hawazarishi na hata wanaozarisha wanazarisha kidogo na muda mwingi wanautumia kwenye mizaha na ujingaujinga.

Mataifa yaliendelea duniani kwa watu kufanya kazi kwa bidii na kuwa serious na maendeleo ya mataifa yao, vizazi hivi vilivyojitolea vimeacha urithi thabiti kwa watu wake kuanzia nguvu, akili, uelewa, ustaarabu nk, urithi huu ndio hutumika mpaka leo kutawala wajinga wajinga WaAfrica wanaolialia na kuendekeza upumbavu.

KILA MMOJA ABADILIKE ALIPO YEYE NA KIZAZI CHAKE KAMA KWELI TUNATAKA KULETA MAENDELEO NA KUACHA ALAMA KWENYE HII ARDHI, HAKUNA MAHALA WATU LEGELEGE NA WAMIZAHAMIZAHA WALIWEZA KULETA MAENDELEO.
Nimefanya kazi zaidi ya punda mwaka jana nikajua ndo natoka kimaisha.!
Loo.! Nakuja kuvuna mazao yng bei sokoni iliniangusha.
Nimeuza water pump sahizi nipo na boda boda nakusanya buku buku zinazo onekana kwa macho.
 
Screenshot_20210719-152814_Instagram.jpg
 
Mkuu maendeleo hayaji tu kwa kusimama imara,,,au kuwa wa kwanza kuamka halafu ni wa mwisho kulala....

People are struggling out here,,,Machozi Jasho na Damu lakini ngoma bado zinagonga miamba....Kama taifa maendeleo yataletwa na mipango na mikakati endelevu,,,na sio ukurupukaji na kukosa Consistency....

No days Off,,, Mtaa unatupeleka mbio sana mkuu..... Japo Wazembe pia hawaezi kosa.
 
Watu wanafanya kazi ila gharama za maisha zipo juu,leo nimesikia waziri fulani katika radio fulani akijibu swali la mwananchi fulani ya kuwa

"Hivi hawa viongozi wanaoanzisha au wanaopelekea gharama za maisha kuwa juu nao wanaishi uraiani?" nafkiri swali hilo kama sijalinukuu vizuri basi maana ya muuliza swali ni kama hiyo...

Jibu la muulizwa swali alijibu ya kuwa nao wanaishi Uraiani kama kawaida ama kama wananchi wengine tu.
Hivyo ana maana ya kuwa (hata matumizi ya vi2 mfano bundle ni sawa tu na wananchi)

Nakubaliana na jibu lake ila tofauti ni kwamba hapo tunaangalia kipato cha watu hawa wawili (viongozi dhidi ya wananchi wa kawaida )licha ya matumizi baina yao na wananchi vinafanana
 
"Asiye fanya kazi na asile" hii aya ipo kwenye kitabu cha Biblia na ni maneno ya Mwenyezi Mungu kupitia nabii wake Yesu kama sijakosea.
Waislamu kuna mahala wanaambiwa wakishafanya ibada watawanyike wakatafute ridhki.
Hata dini zinaamini kwenye kufanya kazi.

Watanzania na Waafrica tunaumiza vichwa sana juu ya mkwamo tulionao na kujikosesha majibu kwa makusudi kwa kuukwepa ukweli asiyefanya kazi na asile.

JE WATANZANIA TUNAFANYA KAZI? ILI MWISHO WASIKU TULE?, JIBU: HAPANA.
idadi ya wazarishaji ni wachache na waliowengi ni walaji na hapa nini tufanye wengi wazarishe na wachache wale kwa sababu maalumu TUMEKWAMA HATUNA JIBU.

Hakuna mahala unaweza kujenga taifa kwa kutegemea watu legelege na wamizahamizaha kama jamii ya Kitanzania, Tuna watu wengi wazembe na legelege ambao hawazarishi na hata wanaozarisha wanazarisha kidogo na muda mwingi wanautumia kwenye mizaha na ujingaujinga.

Mataifa yaliendelea duniani kwa watu kufanya kazi kwa bidii na kuwa serious na maendeleo ya mataifa yao, vizazi hivi vilivyojitolea vimeacha urithi thabiti kwa watu wake kuanzia nguvu, akili, uelewa, ustaarabu nk, urithi huu ndio hutumika mpaka leo kutawala wajinga wajinga WaAfrica wanaolialia na kuendekeza upumbavu.

KILA MMOJA ABADILIKE ALIPO YEYE NA KIZAZI CHAKE KAMA KWELI TUNATAKA KULETA MAENDELEO NA KUACHA ALAMA KWENYE HII ARDHI, HAKUNA MAHALA WATU LEGELEGE NA WAMIZAHAMIZAHA WALIWEZA KULETA MAENDELEO.
Sema tu umekosa pozi la kuingizia zile porojo zenu za kusifia TOZO! Mwisho wa siku umeishia tu kufoka foka.
 
Taifa ujengwa kwa viongozi wake kuwajengea watu wake mazingira wezeshi ya watu wake kufanya Kazi kwa kuwaondolea vikwazo vya uzalishaji.
 
Katika andiko hili dhumuni langu ni kugusa watu wote kwa pamoja, kama wote kwa pamoja iwe viongozi na raia wataacha mzahamzaha na ulegelege na kila mtu kusimamia nafasi yake basi kila kiumbe kitakuwa productive.
 
Sema tu umekosa pozi la kuingizia zile porojo zenu za kusifia TOZO! Mwisho wa siku umeishia tu kufoka foka.


ninaposema watu legelege na wamizahamizaha ni pamoja na hiki unachojaribu kukileta hapa.

sisi raia aka wananchi tumechukua hatua gani kuonyesha hasira zetu katika hili la tozo? au hasira tunazionyesha kwenye keyboard?

Ninapozungumzia wananchi legelege ni pamoja na watawala kujifanyia watakavyo na wewe raia upo tu huchukui hatua yeyote.
 
Taifa ujengwa kwa viongozi wake kuwajengea watu wake mazingira wezeshi ya watu wake kufanya Kazi kwa kuwaondolea vikwazo vya uzalishaji.

Hivi vikwazo visipoondolewa na watawala wewe kama mwananchi unachukua hatua gani kuonyesha hasira zako?

Wewe kama mwananchi ukishaondolewa vikwazo nawe unatimiza wajibu wako? jipime mfano kesho vikwazi vyote vipo clear, wewe uko tayari?
 
Watu wanafanya kazi ila gharama za maisha zipo juu,leo nimesikia waziri fulani katika radio fulani akijibu swali la mwananchi fulani ya kuwa

"Hivi hawa viongozi wanaoanzisha au wanaopelekea gharama za maisha kuwa juu nao wanaishi uraiani?" nafkiri swali hilo kama sijalinukuu vizuri basi maana ya muuliza swali ni kama hiyo...

Jibu la muulizwa swali alijibu ya kuwa nao wanaishi Uraiani kama kawaida ama kama wananchi wengine tu.
Hivyo ana maana ya kuwa (hata matumizi ya vi2 mfano bundle ni sawa tu na wananchi)

Nakubaliana na jibu lake ila tofauti ni kwamba hapo tunaangalia kipato cha watu hawa wawili (viongozi dhidi ya wananchi wa kawaida )licha ya matumizi baina yao na wananchi vinafanana

Wananchi tunapoona hali ya maisha inakuwa ngumu tunachukua hatua gani?
 
"Asiye fanya kazi na asile" hii aya ipo kwenye kitabu cha Biblia na ni maneno ya Mwenyezi Mungu kupitia nabii wake Yesu kama sijakosea.
Waislamu kuna mahala wanaambiwa wakishafanya ibada watawanyike wakatafute ridhki.
Hata dini zinaamini kwenye kufanya kazi.

Watanzania na Waafrica tunaumiza vichwa sana juu ya mkwamo tulionao na kujikosesha majibu kwa makusudi kwa kuukwepa ukweli asiyefanya kazi na asile.

JE WATANZANIA TUNAFANYA KAZI? ILI MWISHO WASIKU TULE?, JIBU: HAPANA.
idadi ya wazarishaji ni wachache na waliowengi ni walaji na hapa nini tufanye wengi wazarishe na wachache wale kwa sababu maalumu TUMEKWAMA HATUNA JIBU.

Hakuna mahala unaweza kujenga taifa kwa kutegemea watu legelege na wamizahamizaha kama jamii ya Kitanzania, Tuna watu wengi wazembe na legelege ambao hawazarishi na hata wanaozarisha wanazarisha kidogo na muda mwingi wanautumia kwenye mizaha na ujingaujinga.

Mataifa yaliendelea duniani kwa watu kufanya kazi kwa bidii na kuwa serious na maendeleo ya mataifa yao, vizazi hivi vilivyojitolea vimeacha urithi thabiti kwa watu wake kuanzia nguvu, akili, uelewa, ustaarabu nk, urithi huu ndio hutumika mpaka leo kutawala wajinga wajinga WaAfrica wanaolialia na kuendekeza upumbavu.

KILA MMOJA ABADILIKE ALIPO YEYE NA KIZAZI CHAKE KAMA KWELI TUNATAKA KULETA MAENDELEO NA KUACHA ALAMA KWENYE HII ARDHI, HAKUNA MAHALA WATU LEGELEGE NA WAMIZAHAMIZAHA WALIWEZA KULETA MAENDELEO.
Watu wanaleta utani kwenye masuala ya maendeleo..

Hii imetokana na kudekezwa kwa miaka mingi ndio maana mtu analalamika kukatwa elfu 4 kwenye mil.3..

Huu ndio wakati wa serikali kuonyesha msimamo na kusimamia sheria kama zilivyopitishwa..

Nimeshuhudia mara kadhaa Huko Ulaya watu waliandamana na kuparulana na Polisi wakipinga sheria za serikali lakini Serikali ilishikilia msimamo pale pale..

Serikali kamatia hapo hapo hakuna kurudi nyuma,hatuna mjomba wa kupeleka maji Vijijini Wala vituo vya afya nk..
 
Pipa lisipozibwa kunakovuja hata ujaze maji Kwa Kasi kiasi Gani halita jaa kamwe. Shida ya nchi za Dunia ya tatu ni Ufisadi uliokithili. Huu usipo dhibitiwa hata ufanye kazi Kwa siku 365 bila kupumzika hutaona maendeleo.
 
Pipa lisipozibwa kunakovuja hata ujaze maji Kwa Kasi kiasi Gani halita jaa kamwe. Shida ya nchi za Dunia ya tatu ni Ufisadi uliokithili. Huu usipo dhibitiwa hata ufanye kazi Kwa siku 365 bila kupumzika hutaona maendeleo.

hapa ndio napata shida, huu ufusadi unaishaje sasa mkuu.? yaani unataka ufisadi umalizwe na walewale wanaonufaika nao.

legelege na watu wa mizahamizaha nipamoja na wewe mwananchi kushindwa kuchukua hatua kulinusuru Taifa lako.

Vijana na wananchi wa Egypt walikubali kujitoa muhanga na wengine kufa kujinasua kwenye mikono ya Hosni Mubaraka, unafikiri Mubaraka angekuwa ametoka madarakani mpaka leo?
 
Hivi vikwazo visipoondolewa na watawala wewe kama mwananchi unachukua hatua gani kuonyesha hasira zako?

Wewe kama mwananchi ukishaondolewa vikwazo nawe unatimiza wajibu wako? jipime mfano kesho vikwazi vyote vipo clear, wewe uko tayari?
Mwananchi mmoja pekee hawezi Pambana na watawala Ili kubadili mfumo.Vikwazo vikishaondolewa ni lazima wajibu utatimizwa.Hii nadharia ya kusema vijana ni wavivu naipinga sio wavivu sema wamekata tamaa ni vipofu hawana uwezo wa kuona fursa,wajengee uwezo wa kuzalisha wakishindwa ndipo useme ni wavivu.Mfano jenga schemes za umwagailiaji,ondoa kodi za importations of commercial vehicle zote Ili magari ya biashara yaingie cheap nchini yazalishe ajira kupitia sekta ya usafirishaji,wafunze jinsi ya kuzalisha nishati za kuendeshea mashine, mitambo na magari Ili wapate ajira na ukoe pesa za kununua mafuta nje.
Hakuna kijana anaependa kushinda njaa kama mkate wa kula upo.
Kwann vijana wa Ulaya au China wao awakwami jibu ni mifumo yao ni wezeshi mtelezo haina mikwamo kukwama utake mwenyewe.
 
Mwananchi mmoja pekee hawezi Pambana na watawala Ili kubadili mfumo.Vikwazo vikishaondolewa ni lazima wajibu utatimizwa.Hii nadharia ya kusema vijana ni wavivu naipinga sio wavivu sema wamekata tamaa ni vipofu hawana uwezo wa kuona fursa,wajengee uwezo wa kuzalisha wakishindwa ndipo useme ni wavivu.Mfano jenga schemes za umwagailiaji,ondoa kodi za importations of commercial vehicle zote Ili magari ya biashara yaingie cheap nchini yazalishe ajira kupitia sekta ya usafirishaji,wafunze jinsi ya kuzalisha nishati za kuendeshea mashine, mitambo na magari Ili wapate ajira na ukoe pesa za kununua mafuta nje.
Hakuna kijana anaependa kushinda njaa kama mkate wa kula upo.
Kwann vijana wa Ulaya au China wao awakwami jibu ni mifumo yao ni wezeshi mtelezo haina mikwamo kukwama utake mwenyewe.

umetolea mfano wa China na Ulaya, kabla ya kufika huko huko nyuma vizazi vilipambana kuhakikisha hiyo mifumo inakuwa mizuri kwa faida ya baadaye, ndio maana unaona leo hii vijana wao wanaenjoy maisha.

Sacrifice ni pamoja na kijana kupambana kuhakikisha mifumo inakaa imara kwa faida ya vizazi vijavyo, mimi, wewe na yule tukikubaliana na kukaza kamba hao watawala tutawashinda tu, TRUMP ALIWAJI KUSEMA WAAFRICA WANASHINDWA KUKUBALIANA KATIKA JAMBO FULANI NA KUCHUKUA HATUA HATA KAMA JAMBO HILO NI BAYA NA LINAWATESA WOTE.

Nakukatalia pale unaposema vijana wanapambana au watanzania wanapambana, SI KWELI, ni wachache sana katika nchi hii ni productive kwa maana ya productive, tuliowengi tumerelax na wengine ni wavivu huko makazini.
 
umetolea mfano wa China na Ulaya, kabla ya kufika huko huko nyuma vizazi vilipambana kuhakikisha hiyo mifumo inakuwa mizuri kwa faida ya baadaye, ndio maana unaona leo hii vijana wao wanaenjoy maisha.

Sacrifice ni pamoja na kijana kupambana kuhakikisha mifumo inakaa imara kwa faida ya vizazi vijavyo, mimi, wewe na yule tukikubaliana na kukaza kamba hao watawala tutawashinda tu, TRUMP ALIWAJI KUSEMA WAAFRICA WANASHINDWA KUKUBALIANA KATIKA JAMBO FULANI NA KUCHUKUA HATUA HATA KAMA JAMBO HILO NI BAYA NA LINAWATESA WOTE.

Nakukatalia pale unaposema vijana wanapambana au watanzania wanapambana, SI KWELI, ni wachache sana katika nchi hii ni productive kwa maana ya productive, tuliowengi tumerelax na wengine ni wavivu huko makazini.
Mfumo ndio umewafanya wawe masikini, kwa maana ya umasikini unaletwa na watawala Ili iwe rahisi kuwatawala watu, huwezi mtawala mwenye shibe.
 
Back
Top Bottom