Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:
Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
Kama ulikubaliana na maneno yake ya wakati ule ujue alikuwa anakuambia jambo sahihi. Na hili analosema sasa ni sahihi kutokana na mabadiliko ya wakati. Inshort alichosema Heche wakati ule ni sahihi, na asemacho sasa ni sahihi.Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:
Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
Inadaiwa alinukuliwa vibayaUjumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:
Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
Mbowe hakubaliki kwa sasaKwa hivyo hivi sasa sie yeye? 2026 atasema Lissu ni mlevi?
Mbowe muda wake ulishakwisha, hana ushawishi kwa wanachama labda kwa machawa kama wewe.Inadaiwa alinukuliwa vibaya
......ya kale hayanuki .Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:
Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
2020 Mbowe alikuwa hajaitwa ikulu kuridhiana na kununuliwa.Kwa hivyo hivi sasa sie yeye? 2026 atasema Lissu ni mlevi?
HayaMbowe muda wake ulishakwisha, hana ushawishi kwa wanachama labda kwa machawa kama wewe.
Nyakati hazipo upande wake,inawezekana 2020 alikuwa anaaminika lakini kwa sasa haaminiki tena
Kwa nini MaCCM ukweli mnaitwa matusi!!??Matusi ya nini? Yeye anafanya nini sasa kama sio hayo hayo?
Teknolojia inatunza kumbukumbu ya kudumu hauwezi kuwadanganya watu.Heche ni wa hovyo sanaUjumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:
Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
Kwani watu hawaruhusiwi kujifunza na kubadilika?Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:
Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
Kwa hiyo...?Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:
Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839