Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye X (Twitter) mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe huu hapa

Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye X (Twitter) mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe huu hapa

Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:

Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839

What is your point? Naona mbuzi mnatoka zisizo?’!!
 
Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:

Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
Kama ulikubaliana na maneno yake ya wakati ule ujue alikuwa anakuambia jambo sahihi. Na hili analosema sasa ni sahihi kutokana na mabadiliko ya wakati. Inshort alichosema Heche wakati ule ni sahihi, na asemacho sasa ni sahihi.
 
mbowe kabadilika tokea atokee ikulu alipo kuwa gerezani.
huelewi nini?
 
Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:

Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
Inadaiwa alinukuliwa vibaya
 
Inadaiwa alinukuliwa vibaya
Mbowe muda wake ulishakwisha, hana ushawishi kwa wanachama labda kwa machawa kama wewe.
Nyakati hazipo upande wake,inawezekana 2020 alikuwa anaaminika lakini kwa sasa haaminiki tena
 
Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:

Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
......ya kale hayanuki .
 
Kwa hivyo hivi sasa sie yeye? 2026 atasema Lissu ni mlevi?
2020 Mbowe alikuwa hajaitwa ikulu kuridhiana na kununuliwa.
Alikuwa anaaminika lakini kwa sasa rangi zake halisi tumezielewa na haaminiki tena.
Mtaokoteza kila aina ya utetezi lakini mwamba kachokwa na hana ushawishi kwa sasa
 
Mbowe muda wake ulishakwisha, hana ushawishi kwa wanachama labda kwa machawa kama wewe.
Nyakati hazipo upande wake,inawezekana 2020 alikuwa anaaminika lakini kwa sasa haaminiki tena
Haya
 
Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:

Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
Teknolojia inatunza kumbukumbu ya kudumu hauwezi kuwadanganya watu.Heche ni wa hovyo sana
 
Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:

Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
Kwani watu hawaruhusiwi kujifunza na kubadilika?

Heche mwenyewe anasemaje?
 
Ujumbe ulioandikwa na John Heche kwenye Twitter. mwaka 2020 ukimuhusu Mbowe. Huu hapa ni ujumbe wake:

Kamati kuu yetu ina wajumbe 35. Kila anayehamahama au kufukuzwa anamshambulia Mbowe, maamuzi ya cc yanaitwa ya Mbowe. Ni mkakati piga mchungaji kondoo watawanyike. Akihama mtu hata kwenye kitongoji anakaririshwa namna ya kusema.
View attachment 3202839
Kwa hiyo...?

Au Malaria 2 imepanda kichwani na kuwa malaria 2000..!!??🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Back
Top Bottom