Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Masanja mbona ni mtu wa watu!Angemuachia mke.Sasa kakimbilia kaburini?Marehemu ni idiot!
Sasa unaambiwa jamaa alikuwa na mahusiano Naye kitambo yaani hata baada ya ndoa na wameachana mwezi mmoja means masanja alikuwa anachitiwa kitambo zaidi ya miaka kadhaa huoni hapo ndoa iko matatani si unajua inavyouma kwa sisi wanaume kugongewa mke
 
Nasikia ndugu zake marehemu wamegoma adi kuweka msiba wajomba ndo wameamua kubeba mwili wauzike juu kwa juu
 

Attachments

  • IMG-20221001-WA0022.jpg
    IMG-20221001-WA0022.jpg
    35.8 KB · Views: 30
Sasa unaambiwa jamaa alikuwa na mahusiano Naye kitambo yaani hata baada ya ndoa na wameachana mwezi mmoja means masanja alikuwa anachitiwa kitambo zaidi ya miaka kadhaa huoni hapo ndoa iko matatani si unajua inavyouma kwa sisi wanaume kugongewa mke
Si kwa Masanja.Masanja ana roho mzuri.Angemuachia huyo marehemu mke.
 
Back
Top Bottom