Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unaambiwa jamaa alikuwa na mahusiano Naye kitambo yaani hata baada ya ndoa na wameachana mwezi mmoja means masanja alikuwa anachitiwa kitambo zaidi ya miaka kadhaa huoni hapo ndoa iko matatani si unajua inavyouma kwa sisi wanaume kugongewa mkeMasanja mbona ni mtu wa watu!Angemuachia mke.Sasa kakimbilia kaburini?Marehemu ni idiot!
Si kwa Masanja.Masanja ana roho mzuri.Angemuachia huyo marehemu mke.Sasa unaambiwa jamaa alikuwa na mahusiano Naye kitambo yaani hata baada ya ndoa na wameachana mwezi mmoja means masanja alikuwa anachitiwa kitambo zaidi ya miaka kadhaa huoni hapo ndoa iko matatani si unajua inavyouma kwa sisi wanaume kugongewa mke
Umeelewa kweli?yeye kafa na mpenzi wake kawa mke wa mtu, kajikomoa mwenyewe.
Unapangwa nn? Kabla hajafa katuma hiyo msg kwa watu wake wa karibu , mke wa Masanja na rafiki zake.Hivi hii inshu ni kweli au tunapangwa?
Ndo hivyo bado alikuwa anagawa kwa kondoo wakeMonica si alikua mlokole mimba kwaya..hata yanatoka wapi
Anayechafua ni Nani? Huyo mke wa Masanja aliyekua anachepuka, au huyo mchepuko aliyekufa?Acheni kuchafua watu, huyo yupo kwenye ndoa yake sasa
Ndoa ilikuwa tayar masanja pesa anayo time na mke hana kutwa kutafuta pesa wacha wamsaidie kumpakulia mkeweSi kwa Masanja.Masanja ana roho mzuri.Angemuachia huyo marehemu mke.
Akili za jamaa ni wale wanaenda kununua sumu ili ajiue then anasubiria chenchi ya nn? Wakati anaenda kufa hatotumia tenaKulikua na sababu gani ya kuamua kuharibu huku nyuma na yeye keshaamua kujiua?