Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kajinga kweli[emoji28][emoji28]Ningekua na namba zako za whatsapp ningekutumia ujionee mwenyewe as alianza kupost video zake alipokua dubai kwenye honeymoon then akapost wimbo wa mapenzi yanauma w harmonize akapost anaaga anasema kwaherini ya mwisho ndo hilo gazeti la monica
Sawasawa mkuu...Hakuna kanuni ya kumtuliza mwnamke hawa watu mara nyingi huwa wanapagawa zaidi na kile ambacho mwanaume wake hana na ukweli ni kwamba hakuna binadamu mwenye kila kitu.. ukiwa na kazi utagongewa na jobless ukiwa jobless utagongewa na mwenye kazi, ukiwa mfupi utagongewa na mrefu ukiwa mrefu utagongewa na mfupi, ukiwa na pesa utagongewa na masikini ukiwa masikini utagongewa na mwenye pesa, ukiwa maarufu utagongewa na ambae sio maarufu usipokua maarufu utagongewa na mtu maarufu, ukiwa na kitambi utagongewa na mwenye six pscks ukiwa na six packs utagongewa na mwenye kitambi
Amejiua au ameuawa?Cha msingi masanja aendelee tu kua na mke wake , maana aliyekua anamgongea ameshajiua .
Ishu ni huyo Monica Kama amepata mwingine Wa kumkuna
Kwani masanja kamuoa lini huyo mwanamke?Umesema kweli, hawana formula.
Uwe unatupia na picha ili waelewe vizuri mkuu!yan ukitaka kujua nundu zilizokuwepo ni hatari angalia nlivyoandika kimawenge, mkuu we acha kbsa yani...
Ni hadi uwe wa kuishinda nguvu hioSahihi kabisa, huyo kijana hakuwa mstaarabu ukishashtukiwa acha haraka tena ukishaonywa
Kuna jamaa amewahi kugundua napita na mkewe, alivyonionya nikafuta namba na kunyamaza milele sijawahi kuzungumza tena na yule mwanamke na sitaki.
Ukipata bahati ya kuonywa ni Mungu anakupa nafasi nyingine, kuendelea kukomalia basi lipo unalotafuta
Hata asipojua aibu itamtafuna hadi kaburiniJamaa angejiua bila kuacha ujumbe wa maandishi! Sasa kamuachia msala huyo kipenzi chake Monica. Tusishangae nacho KIKIJIUA!
Alikuwa anatoka naye akiwa ameshaolewa na Masanja au kabla?Naamini afya ya akili ya huyo kijana ilikuwa na dosari.
Unaingiaje deep na mke wa mtu?
Nadhan, halafu hao wahuni wanataka kumsingizia masanja kijanjaKuna harufu ya mtu kanyongwa na wahuni
🤣🤣🤣🤣 umenifanya nicheke nikiwa kwenye majonziMapenzi ni hatari zaidi ya upanga wa jumong