Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Bongo kesi za mauwaji zinapangwa na kuamuliwa mitandaoni na vijiweni wao hospital wanatoa cheti cha Kifo tu
Sababu zinaandikwa jinsi alivyokutwa tu KAJINYONGA basi imetoka hiyo mtu anazikwa
Hapa kama ni devil [emoji48] advocate I don't believe all this vipi kama wamesuka auwawe na kula njama hizi?
Inakuwaje jamaa yupo kwenye Twitter tu all day wakati ni tatizo kubwa hili?
Mimi naangalia tofauti na wengine kabisa
Sababu zinaandikwa jinsi alivyokutwa tu KAJINYONGA basi imetoka hiyo mtu anazikwa
Hapa kama ni devil [emoji48] advocate I don't believe all this vipi kama wamesuka auwawe na kula njama hizi?
Inakuwaje jamaa yupo kwenye Twitter tu all day wakati ni tatizo kubwa hili?
Mimi naangalia tofauti na wengine kabisa