Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Bongo kesi za mauwaji zinapangwa na kuamuliwa mitandaoni na vijiweni wao hospital wanatoa cheti cha Kifo tu
Sababu zinaandikwa jinsi alivyokutwa tu KAJINYONGA basi imetoka hiyo mtu anazikwa

Hapa kama ni devil [emoji48] advocate I don't believe all this vipi kama wamesuka auwawe na kula njama hizi?

Inakuwaje jamaa yupo kwenye Twitter tu all day wakati ni tatizo kubwa hili?

Mimi naangalia tofauti na wengine kabisa
 
Ningekua na namba zako za whatsapp ningekutumia ujionee mwenyewe as alianza kupost video zake alipokua dubai kwenye honeymoon then akapost wimbo wa mapenzi yanauma w harmonize akapost anaaga anasema kwaherini ya mwisho ndo hilo gazeti la monica
Kajinga kweli[emoji28][emoji28]

Ni kweli mapenzi yanauma na nimeshapitia maumivu yake ilibaki kidogo nidate lakini sikufikiria kujiua

Ikawa mwendo wa pombe tu, yalipotulia maisha yakaendelea na nimerudi nikiwa imara zaidi maana hakuna mwanamke anaweza kunibabaisha. Hakuna na hatatokea
 
Hakuna kanuni ya kumtuliza mwnamke hawa watu mara nyingi huwa wanapagawa zaidi na kile ambacho mwanaume wake hana na ukweli ni kwamba hakuna binadamu mwenye kila kitu.. ukiwa na kazi utagongewa na jobless ukiwa jobless utagongewa na mwenye kazi, ukiwa mfupi utagongewa na mrefu ukiwa mrefu utagongewa na mfupi, ukiwa na pesa utagongewa na masikini ukiwa masikini utagongewa na mwenye pesa, ukiwa maarufu utagongewa na ambae sio maarufu usipokua maarufu utagongewa na mtu maarufu, ukiwa na kitambi utagongewa na mwenye six pscks ukiwa na six packs utagongewa na mwenye kitambi
Sawasawa mkuu...
 
Makatibu wote ujumbe ni huu
Sisi kama makatibu tunahitaji kumsitiri katibu mwenzetu maana makatibu popote tulipo lazima peace iendelee, hatuwezi kumtenga katibu mwenzetu.
Katibu kafikwa na janga ni muhimu makatibu tukafahamu namna gani janga hili litapita maana cheo ni dhamana leo unaweza kua katibu na kesho usiwe katibu.
Makatibu wote tufike hapa tujadili tuone linalowezekana ni lipi.
 
fat-person-sleep-on-wood-260nw-1701333130.jpg
 
Utasikia source ya habari hii ni MANGE KIMAMBI.
 
Cha msingi masanja aendelee tu kua na mke wake , maana aliyekua anamgongea ameshajiua .
Ishu ni huyo Monica Kama amepata mwingine Wa kumkuna
Amejiua au ameuawa?
 
Sahihi kabisa, huyo kijana hakuwa mstaarabu ukishashtukiwa acha haraka tena ukishaonywa

Kuna jamaa amewahi kugundua napita na mkewe, alivyonionya nikafuta namba na kunyamaza milele sijawahi kuzungumza tena na yule mwanamke na sitaki.

Ukipata bahati ya kuonywa ni Mungu anakupa nafasi nyingine, kuendelea kukomalia basi lipo unalotafuta
Ni hadi uwe wa kuishinda nguvu hio
 
Back
Top Bottom