Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Yaani meseji zitumwe zamani halafu ajinyonge Jana?Unataka kusemaje hapa[emoji848]

Labda Tunatofautiana Uelewa!
Nimeuliza Umethibitishaje Kuwa Muhusika Ndio Kaandika?
Labda Niulize Hizo meseji zote ni za Siku Moja?
Kuna Jamaa yangu Mmoja zamani Jamaa walimkamata kwenye tukio wakamuamrisha Aandike wanachotaka Atume meseji kuoitia Simu yake!
Then wakammaliza!
Ndio Maana Nakuuliza Una uhakika Kiasi Gani Amejiua?
Report ya Polisi Imetoka?
 
Ok.nimekuelewa sasa
 
Mkuu,unaambiwa hiyo marehemu aliandika huo ujumbe akamtumia WhatsApp mke wa masanja.na hiyo marehemu alikua na mke pia.so mke ndo alieweza kufungua simu ya mumewe anjue nini kimempata ndo akakutana na hayo..
Ayah!
 
Hiyo kazi ya kuchunguza ni kujitafutia umaskini. sitakaa kuja kuifanya
 
Nilikuwa nasoma offline lakini comment yako imenifanya ni log in ili ujue kuwa nimeisoma.na huo ndo ukweli halisi.

Mkuu umegusa maisha halisi na huo ndio ukwel
 
Kiukwel nahisi polisi wakiingia kazin kabisa kuna story nyuma ya pazia. Yaweza kua hata kauwawa huyu dogo au kuna tukio jingne la kiuharifu nyuma yake. Sema kwakua wachungaji wanachuliwa wapigaji watu wanafurahia na kuona jamaa kaabika na kakomeshwa.
 
Kiukwel nahisi polisi wakiingia kazin kabisa kuna story nyuma ya pazia. Yaweza kua hata kauwawa huyu dogo au kuna tukio jingne la kiuharifu nyuma yake. Sema kwakua wachungaji wanachuliwa wapigaji watu wanafurahia na kuona jamaa kaabika na kakomeshwa.
Yani yule kaondolewaa...!!
 
Lisemwalo lipo,huyu jamaa tetesi za kuuza unga amekuwa nazo ni muda mrefu sana na ni watu wake wa karibu ndio wanayazungumza,jiulize Masanja ana biashara gan za kwenda nje ya nchi kila mara?[emoji848],kingine kama anajiamini na biashara zake anazofanya why amekua ni chawa wa kusifiasifia kila kitu kinachofanywa na serikali hata kama hakistahili kusifiwa
 
Enzi zile Ana ki Nissan March
Hakuna kitu pale....ukiwajuwa watu
Raha sana......

Ova

Yes kumbe unampata ,kuna sehemu alikuwa anakuja kununua zana anenda kupiga gemu sana na mademu.
 
Tutulie tuli,muda Ni hakimu mzuri sana..ye aendelee na uchawa wake tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…