AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
[emoji1787][emoji1787][emoji3]Hapo mkewe anawaza ntapata wapi tena mwingine WA kunisugua... Huyu masanja Hana jambo.
Usikute masanja hana nguvu za kiume !! Jiulize mkewe mpaka anaamua kugawa penzi nje , ni nini alikosa kwa masanja?Yaani anavyojisifiaga na nkewe .Yaani watu wanaojianika huku mitandaoni kuwa wanapendana ni uongo mtupu.Reality nyuma ya pazia ni machozi tu. Refer Emmanuel na Flora Mbasha. Kuna interview yao moja walisema wana hadi bank account moja. Kumbe kiukweli ndoa yao ilikuwa machungu tu.
Ndiyo Ukweli WenyeweYaani anavyojisifiaga na nkewe .Yaani watu wanaojianika huku mitandaoni kuwa wanapendana ni uongo mtupu.Reality nyuma ya pazia ni machozi tu. Refer Emmanuel na Flora Mbasha. Kuna interview yao moja walisema wana hadi bank account moja. Kumbe kiukweli ndoa yao ilikuwa machungu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna kanuni ya kumtuliza mwnamke hawa watu mara nyingi huwa wanapagawa zaidi na kile ambacho mwanaume wake hana na ukweli ni kwamba hakuna binadamu mwenye kila kitu.. ukiwa na kazi utagongewa na jobless ukiwa jobless utagongewa na mwenye kazi, ukiwa mfupi utagongewa na mrefu ukiwa mrefu utagongewa na mfupi, ukiwa na pesa utagongewa na masikini ukiwa masikini utagongewa na mwenye pesa, ukiwa maarufu utagongewa na ambae sio maarufu usipokua maarufu utagongewa na mtu maarufu, ukiwa na kitambi utagongewa na mwenye six pscks ukiwa na six packs utagongewa na mwenye kitambi
Mtulivu kwenye pichaTaarifa hii inasambaa kwa kasi sasa hivi baada ya kuripotiwa kuwa katibu wa kanisa la Masanja mkandamizaji amejinyonga na kuacha ujumbe wa kwamba asamehewe kwani alikuwa anatembea kimapenzi na mke wa mchungaji Masanja.
Ujumbe huo umeshitua wengi kwani mke wa Masanja ni mtulivu sana.View attachment 2374737
Huwezi jua huko ndani. Ikute huko Ndani Masanja ni katili sana. Halafu Masanja huwa anasafiri sana. Ikute pia yeye Masanja ana michepuko mingi.Usikute masanja hana nguvu za kiume !! Jiulize mkewe mpaka anaamua kugawa penzi nje , ni nini alikosa kwa masanja? Pesa ipo, anakula vizuri,analala vizuri, hajui nyumba ya kupanga,usafiri mkali kanunuliwa ,nguo za bei kali n.k?? Nini alikosa kama sio mjegeje?
Ndioo alichokisemaaa..na kasemaa tumuombeeeBila shaka mchungaji atasema haya ni majaribu tu
Wamegusa GusaNzi kafia kwenye kidonda 🤣🤣. Vijana bwana
Hakuutuma kwa monica alipost kwenye whatsapp status yake ndo mana umesambaa,hujaona hiyo status?Kama ujumbe aliutuma kwa Monica mbona Sasa upo mtandaoni?Ina maana Mrs Pastor karuhusu hii siri owe hadharani?
Yani huyu ni mbinafsi sana....angemwacha make wa mtu ...afe mwenyeweAkili za jamaa ni wale wanaenda kununua sumu ili ajiue then anasubiria chenchi ya nn? Wakati anaenda kufa hatotumia teba
maoni ni nini, je swali haliwezi kuwa maoniNi swali au maoni yako?