Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo katibu alioa ila akawa anatamani penzi la mke wa mtu?Masanja kila leo USA halafu anasafiri peke yake. Ndo maana anachapiwa mkewe. Monaco itakuwa kapata mwingine wa kumkuna ndo maana akamwaga katibu eti kisa kaoa. R.I.P katibu.
Hata Mimi namuelewa,ni mzuri msukuma wa watu Hadi mtu kajikillKweli naamini uzuri wa mtu upo machoni pa muangaliaji. Mimi namuelewa sana mke wa masanja.
Ushawahi gonna demu mwenye matege tena awe fundi kidogo? Ukitoka kwenye show huoni matege tenaDemu mwenyewe mbaya tu halafu ana matege.Je angekuwa kama Nandy ingekuwaje? Jamaa mpumbavu kabisa.
Hawajui hata kudanganya?Hebu fikiria ujumbe unasema ,nimeona huu ujumbe nikutumie wewe usisome toka mtandaoni,Sasa huku mtandaoni umefikaje Tena??Ina maana msukuma kautuma mtandaoni?
Hebu weka picha huyo Dem tuoneDemu mwenyewe mbaya tu halafu ana matege.Je angekuwa kama Nandy ingekuwaje? Jamaa mpumbavu kabisa.
Yap. Itakuwa ndo alikuwa sugar mama wake. Si unajua mariooo tena.Kwahiyo katibu alioa ila akawa anatamani penzi la mke wa mtu?
Exactement.Kwa hiyo kitanda chako kinalaliwa na degree sita tu? Kiukweli nisiwe mnafiki wanawake wenye degree tatu na kuendelea huwa mna utelezi wa kutosha.
Heko kwako.
Anajifariji tu.Ukweli huko ndani kunawaka moto.Hizi culture nilishasema ni kivutio cha uzinzi
View attachment 2374856
Inasemakana aliweka status piaKama ujumbe aliutuma kwa Monica mbona Sasa upo mtandaoni?Ina maana Mrs Pastor karuhusu hii siri owe hadharani?
Katibu kuambiwa feel free ndo akachapa mke wa mchungaji
Ndoa hizi zina siri kubwa, aisee