Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Masanja Simpendagi tu..na sina sababu yoyote ila kwa hili kwa kweli anapita kwenye hard time..halafu tucheki scenarios mbili...
1.inawezekana masanja aligundua huu uhusiano akaupiga pini
2.Na baada ya kuupiga pini ndani ya mwezi akaamua kumaliza mchezo kabisa
Pia hawa mastaa na matajiri huwa na mambo mengi ya ushirikina asije kuwa kamtoa Kafara huyo katibu!!! Ili.ku boost biashara zake
 
Trust no woman! Kwamba mke wangu anasali sana ananena kwa Lugha hawezi tafunwaa. [emoji23][emoji23] Maisha haya.
Ngoja tuendelee kuzichakata tu maana hata usipo chakata, mkeo jua anachakatwa.
 
Back
Top Bottom