Picha ya huyo mrembo iko wapi jamaniHayo ni Madhara ya kumwaga ubongo. Prof mzabzab atafafanua zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha ya huyo mrembo iko wapi jamaniHayo ni Madhara ya kumwaga ubongo. Prof mzabzab atafafanua zaidi.
Hata sijui ndugu.Nini solution ya hili tatizo mkuu?
Ujumbe katuma katuma kwa Monica na rafike zake wengine kabla hajajijuaKama ujumbe aliutuma kwa Monica mbona Sasa upo mtandaoni?Ina maana Mrs Pastor karuhusu hii siri owe hadharani?
Baba Mchg akapime DNAMdada kaolewa lini?
Ana watoto wangapi?
Wakwake private wangapi?
Kwani adriz abuu jumong anasemaje?🤣Mapenzi ni hatari zaidi ya upanga wa jumong
Feel Free is a literal translation of church age know as Leodacia (Rule of the people; democracy: choices of the people etc). Leodacia is a church age documented in the book of Revelation. Other church ages are Symnarr; Pegamus; Thyatyra and three more.Nikijaribu kujitafakari hili Jambo kwa macho ya rohoni,naona Kuna namna Nuru na giza hazichangamani ndio maana Kuna mambo lazima yawekwe nuruni....Hili kabisa la masanja watu tumekuwa na maswali mengi namna ya jinsi linavyoendeshwa,Ni Kama uhuniuhuni na usela na dhihaka, hebu lakini hatujawa na majibu Sahihi hivyo Kuendelea kuwa watazamaji...Kuna mambo Mungu anataka kuonyesha ili uwepo wake udhihirike kwetu,hebu fikiria kabisa linaitwa FEEL FREE,yaani kuwa unachotaka!Monica na marehemu waliamua kuwa free...kikubwa nilichojifunza Mungu yupo anatuangalia tu janjajanja zetu Ila akiamua kukuacha hata kwa seku de Mambo yanabadilika ghafla....Sasa bado huyo mchungaji mwenyewe ngoja siku moja adakwe pale Abudhabi na kamzigo
Otherwise anaweza kusomesha mtoto wa mtu Feza schools.Baba Mchg akapime DNA
[emoji3][emoji3]hakuna alie salama kwa hiyoHakuna kanuni ya kumtuliza mwnamke hawa watu mara nyingi huwa wanapagawa zaidi na kile ambacho mwanaume wake hana na ukweli ni kwamba hakuna binadamu mwenye kila kitu.. ukiwa na kazi utagongewa na jobless ukiwa jobless utagongewa na mwenye kazi, ukiwa mfupi utagongewa na mrefu ukiwa mrefu utagongewa na mfupi, ukiwa na pesa utagongewa na masikini ukiwa masikini utagongewa na mwenye pesa, ukiwa maarufu utagongewa na ambae sio maarufu usipokua maarufu utagongewa na mtu maarufu, ukiwa na kitambi utagongewa na mwenye six pscks ukiwa na six packs utagongewa na mwenye kitambi
🤣Otherwise anaweza kusomesha mtoto wa mtu Feza schools.
Kwani sensa si imeisha mkuu?Mdada kaolewa lini?
Ana watoto wangapi?
Wakwake private wangapi?
😁[emoji1][emoji1][emoji1]
Kuna mabinti wengi wako mitaan ni wazuri kuliko hao mastaa!
Huyo Nandy nenda mbezi beach Shule utamuona maaana kuna Ukumbi huwa anafanya mazoezi daily.
Kama hujaambiwa huwezi Jua ni yeye , ni WA kawaida saaaana
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Inashangaza sana!!.Monica si alikua mlokole mimba kwaya..hata yanatoka wapi
Angeenda kituo cha polisi akaseme kuwa anajiua kwa sababu hizo hapo ili kurahisisha upelelezi .Lazima sababu ya kifo isemwe. Ulitaka watu wapate shida ya kujua sababu?