Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Inashangaza sana!!.
Kwenye ulokole tunafichamo sana madhambi yetu!!
Hatarii
Wakati mwingine ni afadhali uoe baameidi kuliko hawa walokole feki waliojazana makanisani huko kwa manabii na mitume feki wakiombewa eti wapate wanaume wenye pesa [emoji706][emoji706][emoji706]

Yote kwa yote Kuchapiwa Hakuepukiki
 
Wakati mwingine ni afadhali uoe baameidi kuliko hawa walokole feki waliojazana makanisani huko kwa manabii na mitume feki wakiombewa eti wapate wanaume wenye pesa [emoji706][emoji706][emoji706]

Yote kwa yote Kuchapiwa Hakuepukiki
Hakuepukiki ila kwa watu kamahao inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kuwa tunaamini wana hofu ya mungu!
Sijui tutakimbilia wapi / tumuamini nani!! Makanisani kumechafuka mitaani kunanuka!!
Masanja sijui ana hali gani hapo alipo!
 
Oooo h,, Elizaaa wangu venyee unaifinyiaga ndani Aki! .. ukiniacha nshakufaa mie!!
 
Mara kadhaa tumeshauriwa Kuchunguza wake zetu mienendo yao, Hali sio nzuri kila sehemu watu wanagegedana sio mchezo. Chini hapa ni ujumbe wa kijana aliyekua anatoka kimapenzi na bibie monica ambae ni mke wa Masanja;

"...UJUMBE wangu wa Mwisho kwako MONICA

Asante Kwa kunipenda Kipindi chote hakika umenipa Upendo ambao umeacha alama moyoni mwangu ambao kila nikijaribu kuifuta nimeshindwa sioni upendo wako wa Mwanzo hivyo nimebaki Kuumia MOYONI kwa kukosa

REAL LOVE FROM YOU. MONICA Ulinipenda sana na Kuniahidi kutoniacha siku zote na Ahadi zako nilizipokea MOYONI Nami Kukuahidi Kukupenda sana na hii ndo INANIUMIZA SANA MONICA Asante kwa PENZI LAKO ambalo halijawahi kutoka MOYONI MWANGU[emoji24] SIONI TENA HAJA YA KUISHI KWENYE HII DUNIA

BILA PENZI LAKO NASEMA SIWEZI[emoji24]
MONICA SAMAHANI kwa MAAMUZI nitakayo yafanya NAJUA uamini kama naweza kufanya hivi kwa sababu ya PENZI Lako BUT NAOMBA upelewe kua umefanya nione THAMANI YA MAPENZI katika huu ULIMWENGU kupitia wewe so SIWEZI KUISHI BILA PENZI LAKO,

SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.

Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.

MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.

KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.
Nilichonoti Ni kuwa Kam mke angeendeleza penzi mnk Ni kwamba masanja alikuwa anaenda kuuwaw Kisha jamaa kubaki na mke na kanisa juu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Picha ya marehemu prease
IMG-20221002-WA0053.jpg
 
Mara kadhaa tumeshauriwa Kuchunguza wake zetu mienendo yao, Hali sio nzuri kila sehemu watu wanagegedana sio mchezo. Chini hapa ni ujumbe wa kijana aliyekua anatoka kimapenzi na bibie monica ambae ni mke wa Masanja;

"...UJUMBE wangu wa Mwisho kwako MONICA

Asante Kwa kunipenda Kipindi chote hakika umenipa Upendo ambao umeacha alama moyoni mwangu ambao kila nikijaribu kuifuta nimeshindwa sioni upendo wako wa Mwanzo hivyo nimebaki Kuumia MOYONI kwa kukosa

REAL LOVE FROM YOU. MONICA Ulinipenda sana na Kuniahidi kutoniacha siku zote na Ahadi zako nilizipokea MOYONI Nami Kukuahidi Kukupenda sana na hii ndo INANIUMIZA SANA MONICA Asante kwa PENZI LAKO ambalo halijawahi kutoka MOYONI MWANGU[emoji24] SIONI TENA HAJA YA KUISHI KWENYE HII DUNIA

BILA PENZI LAKO NASEMA SIWEZI[emoji24]
MONICA SAMAHANI kwa MAAMUZI nitakayo yafanya NAJUA uamini kama naweza kufanya hivi kwa sababu ya PENZI Lako BUT NAOMBA upelewe kua umefanya nione THAMANI YA MAPENZI katika huu ULIMWENGU kupitia wewe so SIWEZI KUISHI BILA PENZI LAKO,

SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.

Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.

MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.

KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.
Sidhani kama ni kweli
 
Mkuu usinitishe. Kuna mwanamke namwelewa sana. Ina maana ndo safari imekaribia? Ushindwe kwa damu ya Yesu [emoji16]
Mkuu tatizo kubwa haya mahusiana ya siku hizi yapo katika mfumo ambao Mwenyezi Mungu hajapanga kabisa na hapa ndio shetani anajichukulia maksi kabisa, na tusichojua nikwamba binadamu yatupasa tupendane kwa dhati toka moyoni but hatutakiwi kuaminiana hata kidogo iwe kwenye relationship even marriage, watakao survive ni wale watakao mpenda zaidi Mungu na kumuamini yeye kwanza na hutaona mambo za kijinga cjui kujinyonga kisa mapenzi Mara mitalaka kwenye ndoa na migogoro mingine ya kijinga kwenye mahusiano.
 
Masanja kila leo USA halafu anasafiri peke yake. Ndo maana anachapiwa mkewe. Monaco itakuwa kapata mwingine wa kumkuna ndo maana akamwaga katibu eti kisa kaoa. R.I.P katibu.
Sahii safari zake hzo huku umemuacha mke na genya Ni hatari nimejifunza kitu Sana kwa ss tunao safirsafir Mara kwa Mara

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Si ajabu nchi iko nyuma kimaendeleo sasa mtu kujiua ndio imekuwa habari moto ya siku.

Juzi mara mambo ya nguvu za kiume na supu za pweza leo tena mmefanyiwa spinning nyingine.

Akili zimehama tozo na ujinga mwingine umesahaulika.
 
Back
Top Bottom