Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Hivi nilikuwa wapi leo ndio najua hizi mambo?
 
Mara kadhaa tumeshauriwa Kuchunguza wake zetu mienendo yao, Hali sio nzuri kila sehemu watu wanagegedana sio mchezo. Chini hapa ni ujumbe wa kijana aliyekua anatoka kimapenzi na bibie monica ambae ni mke wa Masanja;

"...UJUMBE wangu wa Mwisho kwako MONICA

Asante Kwa kunipenda Kipindi chote hakika umenipa Upendo ambao umeacha alama moyoni mwangu ambao kila nikijaribu kuifuta nimeshindwa sioni upendo wako wa Mwanzo hivyo nimebaki Kuumia MOYONI kwa kukosa

REAL LOVE FROM YOU. MONICA Ulinipenda sana na Kuniahidi kutoniacha siku zote na Ahadi zako nilizipokea MOYONI Nami Kukuahidi Kukupenda sana na hii ndo INANIUMIZA SANA MONICA Asante kwa PENZI LAKO ambalo halijawahi kutoka MOYONI MWANGU[emoji24] SIONI TENA HAJA YA KUISHI KWENYE HII DUNIA

BILA PENZI LAKO NASEMA SIWEZI[emoji24]
MONICA SAMAHANI kwa MAAMUZI nitakayo yafanya NAJUA uamini kama naweza kufanya hivi kwa sababu ya PENZI Lako BUT NAOMBA upelewe kua umefanya nione THAMANI YA MAPENZI katika huu ULIMWENGU kupitia wewe so SIWEZI KUISHI BILA PENZI LAKO,

SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.

Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.

MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.

KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.
Lakini nimepata Huzuni, ile Video hawakurekodi HD bhana...
iko low quality hadi nimeboeka[emoji24][emoji24][emoji24].
 
Bongo kesi za mauwaji zinapangwa na kuamuliwa mitandaoni na vijiweni wao hospital wanatoa cheti cha Kifo tu
Sababu zinaandikwa jinsi alivyokutwa tu KAJINYONGA basi imetoka hiyo mtu anazikwa

Hapa kama ni devil [emoji48] advocate I don't believe all this vipi kama wamesuka auwawe na kula njama hizi?

Inakuwaje jamaa yupo kwenye Twitter tu all day wakati ni tatizo kubwa hili?

Mimi naangalia tofauti na wengine kabisa
Wwe tunasema hili swala umeliangalia au umeliwaza kijasusi zaidi!! Hongera sana Mkuu!!
 
sasa jambo la msingi kwenye suala hili ni kwa wale wote wenye taarifa sahihi au viashiria vya kutendeka kwa kosa kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kama kuna watu au mtu walio husika kutekeleza mauaji hayo wachukuliwe sheria.
 
Mimi Kama mtaalam wa forensic...huo ujumbe kwa asilimia kubwa hakuandika Marehemu Bali umeandikwa kwa malengo maalumu....
Nahitimisha kwa kusema huyu marehem ameuawa..
Baada ya kuuwawa, wauwaji wakachukua simu na kuandika ujumbe huo kwa lengo la kupoteza ushahidi na kuusambaza....
 
Huo ujumbe umeaachwa kwenye simu whatsapp au kwenye karatasi?

Huyo mama yake yupo?

Huyo bwana hana mtoto au ndugu mwingine kipenzi au mke ukiachana na mama mzazi? Mbona hajamtaja hapo mwisho?

Wamefahamiana tangu lini na masanja na mkewe?

Nahitaji nivute mawasiliano yao kwenye mtandao...

KUNA KILA DALILI HUYU MTU KAUWAWA... ILA HUYO MUUAJI ANA AKILI ZA KITOTO KUCHEZA MCHEZO WA KITOT
Wengi hawaoni upande huo kiwa huyu kijana ameuawa...hayo maandishi Yana gapes nyingi kuonyesha sio marehem aliyeandika hujimbe huo..
O KUFICHA USHAHIDI
 
Siwezi nikamuua mtu halafu niandike ujumbe nijitaje mimi na mke wangu kwenye huo ujumbe.

Masanja kwa hadhi aliyokuwa nayo hawezi kuwa na akili mbovu kiasi hicho coz anajua kabisa atajiharibia kibiashara na hata kiuchungaji.

Ngoja tuone.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Siwezi nikamuua mtu halafu niandike ujumbe nijitaje mimi na mke wangu kwenye huo ujumbe.

Masanja kwa hadhi aliyokuwa nayo hawezi kuwa na akili mbovu kiasi hicho coz anajua kabisa atajiharibia kibiashara na hata kiuchungaji.

Ngoja tuone.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Au ni watu wengne tu wameona wamuangushie zigo Masanja, inawezekana pia. Shughuli ipo hapa.
 
"Mapensi mapensi.. mabaya mabaya" 🙌 in Sarah_tz voice
 
Ameandika monica(msukuma wa masanja)
Masanja humwita hivyo mkewe na monica ukiingia page yake insta anajiita msukuma wa masanja so bila doubt wa kwenye meseji ni yeye,ila sasa kama ni kweli au si kweli hapo marehemu ndo katuweza🤣🤣🤣🤣
Mbona sijaona sehemu iliyoandikwa hivyo au kuna ujumbe mwingine?
 
Sahv ndoa ni utumwa tu

Kwanza huwa nawashanga watu wanaofunga ndoa sahvi

Kuna uwezekano mkubwa huyo mke wa masanj alikuwa hamfeel jamaa(masanja)
Yuko naye kwa sababu ya umaaruf na vijisenti tu

Ova
Eti mavikao makubwa, sherehe kubwa, ukumbi wa kifahari, garama kubwa ya harusi. MC wa bei mbaya, na mengineyo kisha kuna mden****e mmoja anakuja kukugongea mbususu yako kiulaini kabisa.

Nimeanza kukubaliana na ule usemi wa jamaa unaosema ukioa mke si bikra umeoa mke wa mtu.
 
Back
Top Bottom