Ujumbe wa Ayatollah Khomen kwa Israel Hawezi Mshinda vita Hezbullah

Aache vionjo na vichekesho....Kuna taatifa Israel wakaanzisha offensive attack ndani ya Lebanon
 
Tatizo la myahudi yeye haongei
Ni vitendo tuu
 
Hezbollah wanalilia aende akawasaidie yeye anakwepa ombi lao badala yake anawajaza ujinga huku wanapukutishwa kama mahindi kutoka kwenye magunzi!

Waendelee tu kurusha makombora yao, ili waendelee kupewa majibu. Sisi tunaendelea kufuatilia na kusubiri clips kama kipindi kile tunafuatilia Prison Break, 24 hours na Will Traveler na The Person Unknown
 
Mkuu, soma vizuri historia ya vita hizi. Israel ilianza na Gaza ili iwafikie Hezebollah ikielekea Iran na hitimisho likiwa ni kile kichwa cha Moscow.
Ulaya yote iko na Israel. Utanikumbuka siku noja nilichokuambia.
Nina uhakika Israel atawashinda Hamas, Hezibollah, na Iran.
Lakini ni ndoto kuwashinda Russia.
Ukitaka kujua ukweli wa hili basi fuatilia kwa nini Israel alikataa kuwapa Ukraine mfumo wa kujilinda wa anga wa Iron Dome.
Alikataa kuwapa Ukraine msaada wowote wa kivita ili waishinde Russia.
Russia nao wana intelijensia kubwa kama Marekani na Israel.
Russia wana silaha kali kuliko Israel.
Russia amazuia Israel na mshirika wake wasiiondoe serikali ya Assad wa Syria.
Russia pia ina wayahudi waisrael wengi tena matajiri wanaoshikilia uchumi wa Russia.
 
Mkuu, soma vizuri historia ya vita hizi. Israel ilianza na Gaza ili iwafikie Hezebollah ikielekea Iran na hitimisho likiwa ni kile kichwa cha Moscow.
Ulaya yote iko na Israel. Utanikumbuka siku noja nilichokuambia.
Pale Gaza sawa kwa sababu Palestinian wao hawana jeshi ukitoa kundi dogo la Hamas ambao sasa mwaka unatimia Israel hajafanikiwa chochote zaidi ya kuangusha majumba na kuua watu wasio na hatia lakini hata hiyo Hezbollah Israel hawezi kutoboa, utajanambia pia, Iran ni level nyengine.

History inavunjwa na history, Mulisema Israel ni mtaalam na mwamba wa vita sasa hawezi fanya lolote bila msaada kutoka US toka siku ya kwanza amepelekewa meli za silaha lakini wanyama bado wanaye wanamtibua. kama palestine haitakalika na Israel pia litabaki jangwa. Israel ni taifa bandia hawana ata kipande cha ardhi kule mashariki ya kati walibebeshwa uhuru na kutangazwa kama taifa 1948 ata babu yako ni mkubwa kwa umri kuliko taifa la israel.
 
Ayatollah ana elimu gani kuwazidi wapanga mipango wa Israel? Au amejitamkia tu kwa mujibu wa allah
 
sasa unafikiri angeongea nini zaidi ya hiki? vita ya silaha ashindwe, akili kapitwa tena kwa mbali mno ardhi na mbingu, hata maneno nayo kubwabwaja hovyo ashindwe?
 
sasa unafikiri angeongea nini zaidi ya hiki? vita ya silaha ashindwe, akili kapitwa tena kwa mbali mno ardhi na mbingu, hata maneno nayo kubwabwaja hovyo ashindwe?
Israel huyo omba omba huko US na Europe ndio ana akili? We hukuona walivyo kuwa wanalia miezi mitatu US kaninyima silaha akaenda kulalamika huko kwenye bunge na kudai hi vita si yeye pekee anapigana anapigana yeye na US na European 😄

Mwenye akili hasaidiwi kijana, we ukijiona huwezi kulisha na kulinda watoto zako bila kusaidiwa jijuwe ni bwege tu
 
Mkuu Hamas siyo ndogo kama unavyofikiria. Kuna Russia, Iran na China pale. IDF imekuta maandishi ya kampuni za Kichina ndani ya manandaki, na ndio waliyajenga. Tuliambiwa makombora ya Hamas hutengeneza wenyewe kumbe la.Hamas wana assembling units tu ndani ya mashimo. Wao wanaletewa missile ikiwa vipandevipande ili isigundulike.
 
Mimi niwaunge mkono wajukuu wa Paulo aliye leta hesabu ya 1=3 kwani mimi kichaa.

Israel hawezi kushinda vita hata US na Europe yote wamsaidie, America kila kukicha anapeleka silaha na Europe huko Israel zinaishia kama fireworks mchezo wa kitoto sababu hapigi silaha anaishia vunja majumba na kuwauwa raia wasio kuwa na hatia.

Amebahatika kuwauwa viongozi wa Hezbullah kwa kushirikiana na wanafiki huko Lebanon, na kutumia pager na Walkie Talkie, zaidi ya hapo hana jipya.
 
Mkuu, soma vizuri historia ya vita hizi. Israel ilianza na Gaza ili iwafikie Hezebollah ikielekea Iran na hitimisho likiwa ni kile kichwa cha Moscow.
Ulaya yote iko na Israel. Utanikumbuka siku noja nilichokuambia.
Exactly
 
Silaha wanazo nyingi sana lakini wameshindwa kuifuta Israel itoke kwenye ardhi yao?
Umefuatilia vita za Israel na waarabu nani anaingilia!??
Kila vita anayopigana Israel akielekea kushindwa USA na EU wanaingilia kati.
Mfano mzuri suala hili la sasa hivi unajua USA,UK na France kikao cha UNGA wameomba wao kutokee majadiliano ya wiki tatu kumaliza vita!??
Jiulize kwanini USA na washirika wake wametoa hilo ombi!?
Kama isingekua hao USA na Westerners basi Israel isingesalia hapo ilipo.
 
Hakuna cha Russia,China wala nini.
Ushahidi upo kuwa yale mahandaki walijenga wenyewe Hamas.
China kamwe hawezi jihusisha na vita za namna hiyo katu.
 
sawa maamuma
 

Iran nje gumu kama yao ila ndani ni Urojo - Katz Waziri wa Israel asema

"Iran is like an egg: hard on the outside and soft on the inside," Katz wrote in a post to X.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…