Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utaelewa siku member of your family akifa kwa changamoto hiyoHata hawaeleweki yaani. Full kujichanganya
Kwani hujaelewa nini hapo? Siyo lazima aseme Covid kwasababu hata akisemahaitabadilisha chochoteMwaibambe usisite kusema ukweli hii ni Covid na wewe unajua....usiwe mbabaishaji kama Osati...haya ni maisha ya watu na yana thamani kuliko kitu chochote.
We only live once.
Baadaye Waliouandika Huo Waraka WatafarakanaWanakiri tatizo la changamoto ya upumuaji lipo
Changamoto la upumuaji lipo miaka mingi sana. Ni ugonjwa unaoshika nafasi ya pili kwa kuua baada ya Malaria. Hata bila covid lilikuwepo. Fuateni taratibu za kujikinga badala ya kuleta ushabikiWanakiri tatizo la changamoto ya upumuaji lipo
Hapa hakuna uwazi wowote. Naona tamko limetolewa kiwoga woga na hata hailieleweki dhumuni lake ni nini. Hivi kweli na madaktari wanatoa tamko la aina hii?Hatimaye wametuweka wazi