Wadau,
Hivi TCRA walipokuja na zoezi la usajili wa namba na kutuaminisha kuwa ni kinyume cha sheria kwa mtumiaji yeyote hapa nchini kutumia simu pasipop kusajili, walikuwa wanatutania eenh? Tena utani wa maungoni kabisa. Namba hiyo katika waraka huu, ya 0715-270136 HAIJASAJILIWA!!
Vinginevyo, tunaweza anza kuhoji the authentisity ya the whole statement. Upuuzi wa mwisho kabisa huu ikiwa maafisa wetu tu wenyewe hawawezi tii sheria zilizopo. Kumbe inawezekana?
Nimetukana bonge la tusi.
Bazobonankira