Ujumbe wa JWTZ kuhusu kutoroka kwa Luteni Kanali Coelestine Seromba

Ujumbe wa JWTZ kuhusu kutoroka kwa Luteni Kanali Coelestine Seromba

Status
Not open for further replies.
Watajulia wapi mambo ya ujasusi wa kimataifa na flow of information hawa?wanachojua hawa ni kupiga wagu mtwara,ili wauziwe bia kwa bei rahisi na nyinyiem.
 
kuna umuhimu mkubwa sana Tanzania kuishambulia Rwanda. tena umuhimu mkubwa mno. nafikiri tutalazimika kufanya hivyo.
 
Hii nikama kufanya propaganda.

1. Mkufunzi - mtaalamu wa IT

2. Luteni Kanali - level ya kujadili mikakati, kuplan na kufanya maamuzi ya kimkakati.


Haya mambo mawili yanatosha kumfanya huyu jamaa kuondoka na kila aina ya taarifa nyeti alizozihitaji

Mkufunzi wa IT, hii inamaana kwamba alipokuwa akifanya kazi huyu jamaa alikuwa akifanya pia consultation.......

Kama hiyo haitoshi, katika maofisi ya wakubwa wenzake lazima alikuwa akiwasaidia pale walipokwama nk


Lt kanali

Hapa huyu jamaa lazima amehudhuria mikutano ya kimkakati kama jeshi mara kadhaa na ya malengo tofauti.

Kukanusha kwamba hajaondoka na kitu chochote nikujitekenya na kucheka wenyewe, JWTZ linamdanganya nani........!!!


Uchakachuaji mpaka jeshini? Kweli Tanzania ndiyo maana JK imemshinda, yeye kila siku nje ya nchi kutalii na kufuatilia biashara zak anazozifanya Ikulu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom