Eshacky
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 965
- 252
Amekwenda kuandaa jeshi la ukombozi wa Tanzania kutoka mikononi mwa mafisadi. Tunamshauri aanze kusajiri vijana tuko tayari
Utakuta uko norway mkuu! Si wa mipakani tumetulia kimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekwenda kuandaa jeshi la ukombozi wa Tanzania kutoka mikononi mwa mafisadi. Tunamshauri aanze kusajiri vijana tuko tayari
Huyo jamaa alinifundisha Monduli aisee...
Sasa kama hajatoroka kaenda wapi? Nyaraka sio mpaka aondoke na makaratasi. Kama mtu alikuwa IT lazima anajua siri za jeshi nyingi sana. Taka ustake IT department ndio roho ya organizani/ taasisi yoyote. IT expert, nyaraka ni ubongo wako na so makaratasi. Kwa hyo huyu msemaji wa jeshi hajui analo ongea.
Huyo jamaa alinifundisha Monduli aisee...
Hii nikama kufanya propaganda.
1. Mkufunzi - mtaalamu wa IT
2. Luteni Kanali - level ya kujadili mikakati, kuplan na kufanya maamuzi ya kimkakati.
Haya mambo mawili yanatosha kumfanya huyu jamaa kuondoka na kila aina ya taarifa nyeti alizozihitaji
Mkufunzi wa IT, hii inamaana kwamba alipokuwa akifanya kazi huyu jamaa alikuwa akifanya pia consultation.......
Kama hiyo haitoshi, katika maofisi ya wakubwa wenzake lazima alikuwa akiwasaidia pale walipokwama nk
Lt kanali
Hapa huyu jamaa lazima amehudhuria mikutano ya kimkakati kama jeshi mara kadhaa na ya malengo tofauti.
Kukanusha kwamba hajaondoka na kitu chochote nikujitekenya na kucheka wenyewe, JWTZ linamdanganya nani........!!!
Mkuu ulichoandika kina maana sana.
Sijui km wana jeshi wetu wana akili gani za Jeshi, za CCM au Za Chadema..au za akina Kinje...Siamini km hawajui kuwa huyo jamaa wa computer no matter what alihitaji sana access kwa computer za ndani na network, halafu access ya compound za jeshi na mwisho access to human networking.Mengine ni time.
Wanajeshi wanaamini kuwa ktk art of espionage,intelligence ni lazima upewe mkononi ndipo uweze ondoka nazo?Sasa wangezifuata kwa nini?Habarai unazitafuta,unaziifuata, una pokonya, unaiba, unakamua ,unazificha ili mwenyewe asizione tena, una futa traces zote na una una potosha intelligentia ya wengine.
Mungu ibariki Tanzania.I have all the reason to believe that my fellow Tanzanians are first degree dumb ass....baadaya kilio yatakuwa busy kulaumiana tuu ktk irriversible things.Hakuna Agency, wana mdanganya nani sasa?Kagame ambaya ana kila kitu alichokitaka au raia watakaoshuhudia kuanguka kwa nchi km maadui watafanikiwa?
Hayo yamesemwa na msemaji wa JWTZ Meja Erick Komba, na kwamba askari huyo mtoro Luteni Kanali Colestine Seromba NI MTANZANIA. Wakimpata hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake!
Source: ITV habari saa 2 usiku huu!
-------------------------------