Hii nikama kufanya propaganda.
1. Mkufunzi - mtaalamu wa IT
2. Luteni Kanali - level ya kujadili mikakati, kuplan na kufanya maamuzi ya kimkakati.
Haya mambo mawili yanatosha kumfanya huyu jamaa kuondoka na kila aina ya taarifa nyeti alizozihitaji
Mkufunzi wa IT, hii inamaana kwamba alipokuwa akifanya kazi huyu jamaa alikuwa akifanya pia consultation.......
Kama hiyo haitoshi, katika maofisi ya wakubwa wenzake lazima alikuwa akiwasaidia pale walipokwama nk
Lt kanali
Hapa huyu jamaa lazima amehudhuria mikutano ya kimkakati kama jeshi mara kadhaa na ya malengo tofauti.
Kukanusha kwamba hajaondoka na kitu chochote nikujitekenya na kucheka wenyewe, JWTZ linamdanganya nani........!!!