TOHATO
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,336
- 4,653
Mzungu anaweza kukushafua dakika chache kupitia media zake hadi zako au akajisifia yeye mpaka kwa media zako.
Kuhusu hawa watu kuna mambo na jiuliza sana hasa swala la afya mana kuna biashara zao wanaziendesha kupitia mwaya wa elimu yetu ndogo au kufata tu mkumbo.
Mfano (MATANGAZO YA KUSISITIZA UMEZAJI DAWA ZA ARV'S NI MKUBWA SANA KULIKO MATANGAZO YA WATU WAJIKINGE NA KUPATA HIV ZA UKIMWI) hata hivyo hivyo zaman kwenye malaria sema wameona soko la malaria siku hizi ni taifodi na U.T.I .
Naingiwa na mashaka kwa ule msemo wa kuwa ni ili ku promote uzati wa dawa zao
Kuhusu hawa watu kuna mambo na jiuliza sana hasa swala la afya mana kuna biashara zao wanaziendesha kupitia mwaya wa elimu yetu ndogo au kufata tu mkumbo.
Mfano (MATANGAZO YA KUSISITIZA UMEZAJI DAWA ZA ARV'S NI MKUBWA SANA KULIKO MATANGAZO YA WATU WAJIKINGE NA KUPATA HIV ZA UKIMWI) hata hivyo hivyo zaman kwenye malaria sema wameona soko la malaria siku hizi ni taifodi na U.T.I .
Naingiwa na mashaka kwa ule msemo wa kuwa ni ili ku promote uzati wa dawa zao