Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #41
Excuse ya Amani ndyo imetufikisha hapa, mpaka leo hii wauwaji na watekaji hawaguswi kwa Excuse ya kulinda hiyo Amani.
Kwa nini hivi vyama visifutwd jamani. Tanzania hatujazoea kuwa na vurugu hizi kisa 4r za samia.
Huu ni mwanzo wa vurugu, kama haki isipo tendeka basi hali itakuwa mbaya zaidi.Kwa nini hivi vyama visifutwd jamani. Tanzania hatujazoea kuwa na vurugu hizi kisa 4r za samia.
Binafsi sioni kama Vyama vingi ni tatzo, ila tatzo ni baadhi ya watu kutumia nguvu kubwa kubaki madarakani ingali wananchi hawawataki.Tulikosea kama taifa!na Nyerere alikosea pia!
Tusingefanya chama kimoja kishike madaraka milele,tungeokoa nguvu KAZI ya taifa iliyopotea kulinda chama changu hiki!!
Tungeandaa vyama mbadala walau kimoja kipokezane na hiki!ingesaidia kuhodhi mawazo ya wananchi na kizazi kipya!!
Naona aibu kuitwa mtanzania sometimes,uwezo wetu was ku handle mambo ni wa hovyo sana!!
Tusubiri tuone ataisha wapi na hivyo vitisho vyake.Huyo OCD atakufa muda siyo mrefu. Lisu huwa hadhihakiwi.
Lete yako Genuine!!Duh
Siyo fake hii 🐼
Ujasusi wetu haukurusu chama mbadala kushika Dola zaidi ya CATHOLIC CHURCH MOVEMENT iliyodumu Hadi leo!Binafsi sioni kama Vyama vingi ni tatzo, ila tatzo ni baadhi ya watu kutumia nguvu kubwa kubaki madarakani ingali wananchi hawawataki.
Huo ujasusi ulitambua kwamba utafika wakati damu za watu zitamwagwa kulinda madaraka?Ujasusi wetu haukurusu chama mbadala kushika Dola zaidi ya CATHOLIC CHURCH MOVEMENT iliyodumu Hadi leo!
Walijua wanajua lakini hawakua na utayari wa kufanya chochote walibaki wakilinda maslahi yao badala ya taifa!Huo ujasusi ulitambua kwamba utafika wakati damu za watu zitamwagwa kulinda madaraka?
Ni kama tayari alisha kufa, Labda wajaribu kumuuwa kwa mara ya pili.Unamtishia kumvunja mguu mtu uliyemshambulia kwa risasi 38? Watafute kitu kingine cha kumtisha.
Basi huu ndio wakati wa wananchi kurejesha nchi yetu katika mamlaka yetuWalijua wanajua lakini hawakua na utayari wa kufanya chochote walibaki wakilinda maslahi yao badala ya taifa!
Hiyo sms haikuwa rasmi au mahususi kwa ajili ya kusomwa na uma, bali alituma kwa mtu binafsi.Mm❎
Mimi✔️
Ss❎
Sisi✔️😀,,,Lissu,,Mwanasheria Mbobezi Kwa nini anaandika kama GenZ?au posti ya mchongo hii
Damu itamwagwa sana!watawala hawana hekima !wanawaza maslahi yao!!Basi huu ndio wakati wa wananchi kurejesha nchi yetu katika mamlaka yetu
Mapinduzi huambatana na Sacrifice, hakuna jambo rahisi na nguvu ya uma ndyo suluhisho pekee.Damu itamwagwa sana!watawala hawana hekima !wanawaza maslahi yao!!
Ndio uwezo wa siasa zao unapoishia. Hawana ubunifu wowote chanya wenye kuweza kulisaidia TaIfa.Duh
Siyo fake hii 🐼
Haki gani mnaitaka. Kuchukua nchi bila kupigiwa kura ndo hakiHuu ni mwanzo wa vurugu, kama haki isipo tendeka basi hali itakuwa mbaya zaidi.