Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa Rais Macron wa Ufaransa

Wewe hakuna Siku utalaani matendo ya hamas hizibolah Wala huoth kwa Israel. We unafikili aasingerusha Yale maboomu Ile tarehe 7. Hii vita ingekuwepo mpaka Leo?. Acheni unafiki wa kiarabu
 
Hivi unajua kama Oktoba Hamas ilipovamia France naye alipeleka msaada wa silaha kupitia US navy!?
Umesahau kama makombora ya May ya Iran France alitumia ndege vita zake kuyadungua!?
Hizi habari umeshakaririshwa umezihifadhi kama unahihadhi quran vile
 
Kwa hiyo waliobakwa na kuuwawa na magaidi Hamas ni wanyama wale?
Ushetani umekujaa kwenye roho yako mwana wa Ibilisi mtupu. Ungezaliwa M.E ungekuwa full gaidi wewe na zamani ungekuwa ushawahishwa kuzimu kunywa mito ya pombe.
 
Wewe hakuna Siku utalaani matendo ya hamas hizibolah Wala huoth kwa Israel. We unafikili aasingerusha Yale maboomu Ile tarehe 7. Hii vita ingekuwepo mpaka Leo?. Acheni unafiki wa kiarabu
Huyo ni kati wana wa Ibilisi wa JF wao huropoka Hamas walikuwa kwenye harakati za kukomboa ardhi yao na wasivyo na soni huenda mbali wakiifananisha hamas na ANC 🤣😂
 
Mpumbafu huyu lini Israel atashinda bila support ya Nato, eti isreal ina defend civilization? Civilization ipi hiyo anayo ongelea. Iran hakupiga civilian target, Hezbullah hawajapiga civilian target kidogo sana kapiga civilian target sababu ya Iron Dome. Israel ndio kazi yake kufanya genocide
 
Huyo ni kati wana wa Ibilisi wa JF wao huropoka Hamas walikuwa kwenye harakati za kukomboa ardhi yao na wasivyo na soni huenda mbali wakiifananisha hamas na ANC 🤣😂
Kabisa mkuu. Jinga la akili sana.
 
Tofautisha base za IDF haziko kwenye makazi ya raia lakini base za magaidi ya Hamas na Hezbollah ziko kwenye makazi ya raia ndio maana ukishambulia base za IDF hutaweza kuua raia lakini ukiwashambulia magaidi lazima utaua pia raia. Sasa kwa kuwa magaidi yanashambulia kupitia uraiani basi kipigo kitawapata pia raia.
 
Mkuu usipende kutetea ujinga, kuwa mtu wa haki. Mpaka case imefungukiwa ICC kidhibitisha mauaji ya raia wasio na hatia kwa maelfu.

Upo ushahidi wa kutosha kwamba wanapiga makusudi kuua raia ili Raia wawe against viongozi wao lakini haijawa hivyo.

Hii ni tabia ya Israel na US miaka yote. Angalia vita vya Afghanistan, Iraq, Libya n.k. na tumeona mentor wa Ukraine ni US na Ukraine anafanya kama mentor wake. Israel nae anafanya kama mentor wake.

Shule, hospitali, kambi za wakimbizi, makazi ya raia na kituko zaidi hata makaburi yamepigwa maboom.
 
Macron amempoteza Ukraine na kuongea pasipo vitendo
 
Kama una ushahidi si peleka huko ICC sasa mbona uko hapa kulalamika tu!! Kwani Hamas October 7 2023 walikuwa wanaua wanyama siyo raia?
 
Kama una ushahidi si peleka huko ICC sasa mbona uko hapa kulalamika tu!! Kwani Hamas October 7 2023 walikuwa wanaua wanyama siyo raia?
We ndio mbulila wa mwisho, hujaona ushahidi umepelekwa Huko na South Africa na nchi zingine 13. Hii ndio shida kumbe nabishana mtu hata asiyejua anachosema
 
Kuwa makini

Kuna kuuziwa nakupewa

Macron ,anazungumzia kununua
 
We ndio mbulila wa mwisho, hujaona ushahidi umepelekwa Huko na South Africa na nchi zingine 13. Hii ndio shida kumbe nabishana mtu hata asiyejua anachosema
Shithole!! Sasa ICC imefanya nini mbona bado mabwana zako wanapata kipigo hata wakikimbilia kwa raia bado kipondo kipo palepale!
 
The Hague inamuita mdogo mdogo Benjamin netanyahu
Hague ni kwa ajili ya nchi za dunia ya tatu mkuu. Kwani kesi ya SA huko ICC ilikuwa na impact yoyote kwa Israel?
 
Acha kujiumbua wewe kama hujui kitu.
Ni sahihi alivyosema mleta mada Netanyahu amesema Israel itashinda vita hata isipopewa silaha.
Inaonekana wewe ndio hujui kilichoongelewa.
We ni fwala Netanyahu aombe silaha zipi wakati wanaopigana ni wao wanatengeneza hizo silaha USA.
Niliweka bandiko hapa siku
waisrael wamepandishwa ndege Km dcm za mbagala Toka US baada tu ya tar 7.
Kwenda kufagia Hamas.
Na nilisema jamaa wanaenda sio Gaza tu watapita mpk kwa wafadhili wao.
Kwa taarifa yako walianza na hezbollar kabla hata ya kwenda Gaza kufagia.
We unajua nini kobazi wewe wa maji machafu.
Kaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…