Hamas haikubaka raia.
Pia usisahau alianza Israel kwa kuharibu mashamba ya Palestina na kuvunja nyumba zao.
NDio maana mataifa mengi sasa hivi yanamkataa Israel.
ULiwahi kujiuliza kwanini wajumbe UNGA waliinuka na kumsusia kikao Netanyahu??
JE umewahi jiuliza kwanini France inaitisha Israel awekewe katazo la kupewa silaha!?
Wewe ni mtu mzima tumia akili sio makamasi.
Hizi habari umeshakaririshwa umezihifadhi kama unahihadhi quran vileHivi unajua kama Oktoba Hamas ilipovamia France naye alipeleka msaada wa silaha kupitia US navy!?
Umesahau kama makombora ya May ya Iran France alitumia ndege vita zake kuyadungua!?
Kwa hiyo waliobakwa na kuuwawa na magaidi Hamas ni wanyama wale?Hamas haikubaka raia.
Pia usisahau alianza Israel kwa kuharibu mashamba ya Palestina na kuvunja nyumba zao.
NDio maana mataifa mengi sasa hivi yanamkataa Israel.
ULiwahi kujiuliza kwanini wajumbe UNGA waliinuka na kumsusia kikao Netanyahu??
JE umewahi jiuliza kwanini France inaitisha Israel awekewe katazo la kupewa silaha!?
Wewe ni mtu mzima tumia akili sio makamasi.
Kabisahuyu mtu hana msimamo
Huyo ni kati wana wa Ibilisi wa JF wao huropoka Hamas walikuwa kwenye harakati za kukomboa ardhi yao na wasivyo na soni huenda mbali wakiifananisha hamas na ANC 🤣😂Wewe hakuna Siku utalaani matendo ya hamas hizibolah Wala huoth kwa Israel. We unafikili aasingerusha Yale maboomu Ile tarehe 7. Hii vita ingekuwepo mpaka Leo?. Acheni unafiki wa kiarabu
Mpumbafu huyu lini Israel atashinda bila support ya Nato, eti isreal ina defend civilization? Civilization ipi hiyo anayo ongelea. Iran hakupiga civilian target, Hezbullah hawajapiga civilian target kidogo sana kapiga civilian target sababu ya Iron Dome. Israel ndio kazi yake kufanya genocideMuda muchache uliopita Waziri mkuu wa Israel ametoa ujumbe mzito kwa Rais wa Ufaransa.
Asema Israel haitaji msaada wowote kutoka Ufaransa na itashinda vita.
Je Macron kafanya nini ,kilichomfanya Netanyahu kuchukia hivi?
View: https://x.com/netanyahu/status/1842631521070669937?t=haRCH8srVRASu35KYUur7A&s=19
Kabisa mkuu. Jinga la akili sana.Huyo ni kati wana wa Ibilisi wa JF wao huropoka Hamas walikuwa kwenye harakati za kukomboa ardhi yao na wasivyo na soni huenda mbali wakiifananisha hamas na ANC 🤣😂
Basha wako nini mbona imekuuma sanaChizi mama yako mzazi kobazi wewe mtaisha nyau nyieeee
Bora wanyimwe kwanini hawaui wahusika wana matumizi mabovu mno na uharamiaKuinyima Silaha Israel, wakati Iran inajaza Arsenals za Hezbollah,Hamas ni sawa na kutaka Israel iwe destroyed
Unfortunately israel haiitegemei France kupata ammunitions.Nchi ambazo Israel anazozitegemea zinamuona Macron kama msema hovyo.Bora wanyimwe kwanini hawaui wahusika wana matumizi mabovu mno na uharamia
Tofautisha base za IDF haziko kwenye makazi ya raia lakini base za magaidi ya Hamas na Hezbollah ziko kwenye makazi ya raia ndio maana ukishambulia base za IDF hutaweza kuua raia lakini ukiwashambulia magaidi lazima utaua pia raia. Sasa kwa kuwa magaidi yanashambulia kupitia uraiani basi kipigo kitawapata pia raia.Hii naona Sasa akili Zinamjia Netanyau, kama kweli Western countries wameanza kampeni asipewe silaha, maana yake wamemchoka.
Na nchi za West zinalumiwa na raia wao jamaa anaua Raia badala ya kupigana na anaowaita magaidi.
Juzi tumeona magaidi hawajaua raia hata mmoja badala yake wamepiga military bases, wameharibu miundombinu ya kijeshi. Netanyau anapiga maeneo ya raia na kuua wanawake na watoto, hapo gaidi ni yupi? Kwa nini wasimnyime silaha?
Suala La palestina ameambiwa two state solution hataki anataka makombora auwe wapalestina, kwa nini wasimnyime silaha?
Mkuu usipende kutetea ujinga, kuwa mtu wa haki. Mpaka case imefungukiwa ICC kidhibitisha mauaji ya raia wasio na hatia kwa maelfu.Tofautisha base za IDF haziko kwenye makazi ya raia lakini base za magaidi ya Hamas na Hezbollah ziko kwenye makazi ya raia ndio maana ukishambulia base za IDF hutaweza kuua raia lakini ukiwashambulia magaidi lazima utaua pia raia. Sasa kwa kuwa magaidi yanashambulia kupitia uraiani basi kipigo kitawapata pia raia.
Kama una ushahidi si peleka huko ICC sasa mbona uko hapa kulalamika tu!! Kwani Hamas October 7 2023 walikuwa wanaua wanyama siyo raia?Mkuu usipende kutetea ujinga, kuwa mtu wa haki. Mpaka case imefungukiwa ICC kidhibitisha mauaji ya raia wasio na hatia kwa maelfu.
Upo ushahidi wa kutosha kwamba wanapiga makusudi kuua raia ili Raia wawe against viongozi wao lakini haijawa hivyo.
Hii ni tabia ya Israel na US miaka yote. Angalia vita vya Afghanistan, Iraq, Libya n.k. na tumeona mentor wa Ukraine ni US na Ukraine anafanya kama mentor wake. Israel nae anafanya kama mentor wake.
Shule, hospitali, kambi za wakimbizi, makazi ya raia na kituko zaidi hata makaburi yamepigwa maboom.
We ndio mbulila wa mwisho, hujaona ushahidi umepelekwa Huko na South Africa na nchi zingine 13. Hii ndio shida kumbe nabishana mtu hata asiyejua anachosemaKama una ushahidi si peleka huko ICC sasa mbona uko hapa kulalamika tu!! Kwani Hamas October 7 2023 walikuwa wanaua wanyama siyo raia?
Kuwa makiniHii naona Sasa akili Zinamjia Netanyau, kama kweli Western countries wameanza kampeni asipewe silaha, maana yake wamemchoka.
Na nchi za West zinalumiwa na raia wao jamaa anaua Raia badala ya kupigana na anaowaita magaidi.
Juzi tumeona magaidi hawajaua raia hata mmoja badala yake wamepiga military bases, wameharibu miundombinu ya kijeshi. Netanyau anapiga maeneo ya raia na kuua wanawake na watoto, hapo gaidi ni yupi? Kwa nini wasimnyime silaha?
Suala La palestina ameambiwa two state solution hataki anataka makombora auwe wapalestina, kwa nini wasimnyime silaha?
Shithole!! Sasa ICC imefanya nini mbona bado mabwana zako wanapata kipigo hata wakikimbilia kwa raia bado kipondo kipo palepale!We ndio mbulila wa mwisho, hujaona ushahidi umepelekwa Huko na South Africa na nchi zingine 13. Hii ndio shida kumbe nabishana mtu hata asiyejua anachosema
The Hague inamuita mdogo mdogo Benjamin netanyahuNyahuMuda muchache uliopita Waziri mkuu wa Israel ametoa ujumbe mzito kwa Rais wa Ufaransa.
Asema Israel haitaji msaada wowote kutoka Ufaransa na itashinda vita.
Je Macron kafanya nini ,kilichomfanya Netanyahu kuchukia hivi?
View: https://x.com/netanyahu/status/1842631521070669937?t=haRCH8srVRASu35KYUur7A&s=19
Hague ni kwa ajili ya nchi za dunia ya tatu mkuu. Kwani kesi ya SA huko ICC ilikuwa na impact yoyote kwa Israel?The Hague inamuita mdogo mdogo Benjamin netanyahu
We ni fwala Netanyahu aombe silaha zipi wakati wanaopigana ni wao wanatengeneza hizo silaha USA.Acha kujiumbua wewe kama hujui kitu.
Ni sahihi alivyosema mleta mada Netanyahu amesema Israel itashinda vita hata isipopewa silaha.
Inaonekana wewe ndio hujui kilichoongelewa.