Maisha bora duniani na mwisho kwenda ahera je hii ni akili iliyochoka?! WhatWewe sio muislam. Muislam hana akili iliochoka kama hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha bora duniani na mwisho kwenda ahera je hii ni akili iliyochoka?! WhatWewe sio muislam. Muislam hana akili iliochoka kama hii
Maisha bora duniani na mwisho kwenda ahera je hii ni akili iliyochoka
Moshi na mara wamekomaa na pombe na kuuana . Bora yupiUkanda wa pwani all the way from Tanga to Mtwara wamekomaa na madrasa wakimaliza shughuli kuu mahala pa kazi ni kupigana ma boosher na kutumiana ma popobawa
Wana mambo 😂🥺😂Waislamu bwana hahahahha
Yuko sahihiWeka akiba yako ya maneno
@Evody kamgisha kwani hao marekan pia wamesoma madrasa kipindi wanapiga mabomu palestina na Iran pamoja na kuuwa watoto.??Dini unaijua wewe? Ulimbukeni tu ukiamini kusoma madrasa ndo maadili,mbona wengine wanasoma madrasa wanawaua wenzao bila hatia? Unatuletea story za alifulela olela hapa. Dini kama unaijua ijuwe wewe na sio kutaka Kila mmoja afate unachofanya.Kila mmoja mbingu ataipata mbingu Kwa nafasi yake.
Wapewe elimu ya bikra 72 na mito ya pombe au vepeeNaomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.
Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.
1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.
Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga. Ukiumwa tu mtoto wa shule bila madrsa atataka ufe atumie mali, huruma hana
2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu
MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU
Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)
“Na maisha ya dunia si chochote ila ni mchezo na pumbao. Lakini nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa walio mcha Mungu. basi hutaelewa?” (Quran, Al-An'aam: 32)
Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.
Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.
1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.
Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga. Ukiumwa tu mtoto wa shule bila madrsa atataka ufe atumie mali, huruma hana
2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu
MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU
Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)
“Na maisha ya dunia si chochote ila ni mchezo na pumbao. Lakini nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa walio mcha Mungu. basi hutaelewa?” (Quran, Al-An'aam: 32)
Kama tuna vijana wa hivi basi tunatakiwa kukuza skills zao ili tuje tuwe na strong miitary in the future, kazi kuwafundisha haitakua kubwa sana!Elimu yenyewe kama hii ina faida gani?View attachment 2826970