Uchaguzi 2020 Ujumbe wangu kwa Watanzania wote kuelekea 28/10/2020

Uchaguzi 2020 Ujumbe wangu kwa Watanzania wote kuelekea 28/10/2020

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Ndugu zangu Watanzania wenye mapenzi mema na Taifa hili poleni Kwa shughuli za ujenzi wa Taifa.

Ndugu zangu Watanzania hakuna asie juwa katika kipindi cha uchaguzi Raia/wananchi hutumika kama mtaji wakisiasa na ndio maana kila chama hupenda kuonyesha wingi wa hadhira imekwenda shuhudia mikutano yake hata Kwa picha za kupika jikoni.

Mwananchi ndio nguvu ya Mwanasiasa yeyote duniani na ndio maana panapo tokea machafuko mwananchi ndie anaumia while wanasiasa hukaa ktk meza kujadili masilahi Yao huku wakihesabiana watu wanao kufa kama hawatoelewana mapema. Yani Sisi Raia huwa London wa kafara Kwa masilahi ya watu wachache Ambao hata hawatujuwi na kamwe hawatotujuwa.

Ndugu zangu watanzania dalili zinaonyesha uchaguzi wa mwaka huu roho za watanzania masikini zitatumika kuonyeshana ubabe Yani patahitajika ushahidi wa vifo ili mradi Tu ni vya kisiasa. Wapanga hii mipango watakuwa very smart kuhakikisha wao hawausiki ili wafanikishe kile wanajuwa wamekipanga

Ndugu zangu watanzania naomba Kwa unyenjekevu muwaombe hao wanaofoka mithili ya nyoka fira ktk mawindo nadhani mtasikia nakuamini Sisi ni mtaji wa Wana siasa. Hivyo tuzinduke na tusoke alama za nyakati

Sikia lakuambiwa Ila usisubiri kuona mikutano ya wiki inayo Anza 12.10.2020 itakuwa na mvumo mkali Sana hasa vyama vya Fulani. Ndugu zangu angalieni TV Acha kujitoa muhanga utawahishwa Kwa masilahi ya watu wachache. Nawakumbusha kesi ya Akwilina na sisemi Sana Ila akili zakuambiwa changanya na za kwako

Jambo lingine siku ya uchaguzi mwananchi piga Kura Rudi nyumbani kama Wana Linda Kura waambieni viongoz wa chama na familia zao wakalinde ili kikiwanukia watumie fedha za chama kutibiana. Wewe piga Kura Rudi nyumbani nakwambia tena piga Kura Rudi nyumbani.

Matokeo yakitoka wewe Raia shangilia kama chama chako kimeshinda kama hakijashinda tafadhali usidanganyike kuingia barabarani kumbuka wewe ni mtaji kifo chako ni ulaji Kwa mwanasiasa. Kataa Kuwa sadaka ya mwanasiasa kama anashida aende mahakamani wasituchoshe.

Yapo tusioyajuwa Ila tarehe 28.10.2020 mtanielewa japo Kwa uchache. Asante
 
Mnajaribu kuwatia watu hofu kwa faida ya Nani? Wananchi ndio wenye Nchi, mmeshakosa mvuto, mmechokwa kwanini mlazimishe madaraka?

CCM imeua wangapi mpaka hapo ilipo leo uongee huu ujinga? Mnahofu gani?...Si huwa mnasema hii nchi haikabidhiwi kwa makaratasi? Tulieni tulieni CCM
 
Haturudi nyuma.mbona manasema turudi nyumbani kwani kuna nini. Sheria inasema tulinde kura mita 200.
Sawa Sawa Mkuu Nakutakia Kila la kheri kwenye Maandamano yenu Maana yatakuwep Sababu hamtapita
Ukivunjika Miguu, Ukipofuka Macho, Uki vunjika mikono.

Usisahau kuja kutuambia na Tutakujibu "Pole Sana" [emoji38][emoji28]
 
Mnajaribu kuwatia watu hofu kwa faida ya Nani? Wananchi ndio wenye Nchi, mmeshakosa mvuto, mmechokwa kwanini mlazimishe madaraka? Ccm imeua wangapi mpk hapo ilipo Leo uongee Huu ujinga? Mnahofu gani?...Si hua mnasema hii Nchi haikabidhiwi kwa makaratasi? Tulieni tulieni ccm
Wale madiwani wa CHADEMA waliomuua ulUVCCM iringa saivi wanajuta walichofanya sababu Lissu na Msigwa hawawatambui, watafia jela na familia zao zikifa njaa

Huku Lissu wanae wapo ulaya wanakula maisha na yeye October lazima arudi nyumbani kwake ulaya
 
Wale madiwani wa chadema waliomuua uvccm iringa saivi wanajuta walichofanya sababu sio Lissu sio msigwa anawatambua, watafia jela na familia zao zikifa njaa

Huku Lissu wanae wapo ulaya wanakula maisha na yeye October lazima arudi nyumbani kwake ulaya
Huu ujinga mnatoaga wapi. Kwani wakati Mbowe na sugu wamefungwa jela kuna mwanachama wa CHADEMA alilala ndani? Why ikiwa other way round mnadai ni kwa maslahi yao.

Kura ni ya mwananchi sio ya Mbowe au Lissu so issue ya kuingia barabarani ni ya mwananchi kudai haki yake ya kuchagua kuheshimiwa sio kumpa maslahi Mbowe. Maana kma madhila kuna mCHADEMA kapata madhila level ya Lissu au Mbowe?

Tuache selfish minds za kujiangalia wenyewe otherwise Nyerere angekubali post serikali ya kikoloni ale bata
 
Huu ushauri ni bora ukae na wana Lumumba wenzako ndo uwashauri

Mmeona mmeshikwa pabaya mmeanza kutisha watanzania eeeh???! Si mlisema kwa kejeli mmeua upinzani???!!

Kuua muue nyie, kupiga risasi watu mpige nyie, kubambikia kesi watu mbambikie nyie, mipango ovu ya kuiba kura mpange nyie alafu bado mnahamasisha watanzania wawe kama mazuzu mbele yenu kuhalalisha mnavyokula keki ya Taifa!!!

Sasa peleka ujumbe kwa waliokutuma!!! Ufedhuli wenu umefika kikomo. Mmeshafanya mengi na ushahidi wote umeshakusanywa sasa subiri kuvuna matunda ya mlichopanga!!!

Mwaka huu ndo mtajua kuwa hamjui vilaza wakubwa nyie!!
 
Hayo uliyoandika yaliwahi kutokea lini Tanzania? Kwa nini kuwa na tahadhari na hofu kwa kiwango hicho. Kwani huu ni uchaguuzi wa kwanza hapa nchini?

Ni nani huyo alitekusudia kuwatoa raia muhanga kwa ajili uongozi wake? Akishindwa atakuwa amepoteza nini? Atakaeshinda ni mmoja kati ya kadhaa (zaidi ya mmoja). Na haiwezekani kushinda zaidi ya mmoja. Tatizo liko wapi? Wewe mwandishi unampendelea nani? Kwanini?

Akishinda anaetetea madaraka nani anaweza kuleta taabu? Akishinda anaeomba ridhaa ya kuongoza ambae hajawahi kushika wadhifa huo anaweza kuleta shida? Kwanini? Kwanini kuwe na taharuki? Kinachoogopwa ni nini?

Kuna aliekusudiwa kushinda na wengine washindwe? Kwanini iwe hivyo? Kwa manufaa ya nani? Kwanini hao wengine wasiwe na haki ya kushinda? Kwa maslahi ya nani? Kulikuwa na haja gani ya wao kugombea iwapo hawastahili kushinda?
Ufupi angalizo ulilolitoa lina maswali mengi kuliko majibu.

Kama Mungu ameweza kutuepusha na janga la Covid 19 linaloichachafya dunia kwa wepesi bila mbinu bobezi za kisayansi na kitaalamu atashindwaje kutuepusha na mabaya hayo unayotutahadharisha nayo?
 
Sawa Sawa Mkuu Nakutakia Kila la kheri kwenye Maandamano yenu Maana yatakuwep Sababu hamtapita
Ukivunjika Miguu, Ukipofuka Macho, Uki vunjika mikono.

Usisahau kuja kutuambia na Tutakujibu "Pole Sana" [emoji38][emoji28]
Heheee kwanza Lissu mmeshampeleka segerea kama mlivyo ahidi?? Vipi mmeshakosa target tena??
 
Huu ujinga mnatoaga wapi. Kwani wakati Mbowe na sugu wamefungwa jela kuna mwanachama wa CHADEMA alilala ndani? Why ikiwa other way round mnadai ni kwa maslahi yao.

Kura ni ya mwananchi sio ya Mbowe au Lissu so issue ya kuingia barabarani ni ya mwananchi kudai haki yake ya kuchagua kuheshimiwa sio kumpa maslahi Mbowe. Maana kma madhila kuna mCHADEMA kapata madhila level ya Lissu au Mbowe?

Tuache selfish minds za kujiangalia wenyewe otherwise Nyerere angekubali post serikali ya kikoloni ale bata
Naongelea average person, Mbowe na Sugu wao walikuwa jela lakini mishahara yao na biashara zao zinaingiza millions daily na hata familia zao na maisha yao huko jela sio sawa na mlalahoi anaekamuliwa buku 2 kila leo na Lissu

Mtu kama mdude anaozea jela na hakuna kiongozi yeyote wa chadema anaetaka kumsikia tena, ni funzo kwa wenye akili nyepesi wamejazwa upepo mitandaoni wanafikiri ubovu wa maisha yao ni mwanasiasa atauondoa kitu ambacho hakipo duniani

Hakuna mwanasiasa wa kukuwekea pes mfukoni na hakuna mwanasiasa wa kuku fikiria pindi umeingia kwenye matatizo ya kumpigania aingie ikulu.
 
Wale madiwani wa chadema waliomuua uvccm iringa saivi wanajuta walichofanya sababu sio Lissu sio msigwa anawatambua, watafia jela na familia zao zikifa njaa

Huku Lissu wanae wapo ulaya wanakula maisha na yeye October lazima arudi nyumbani kwake ulaya

Wapigania Uhuru wangekuwa na akili kama zako wala tusinge kuwa huru fanyeni uchaguzi uwe huru muone nani ataleta vulugu na nchi hii vurugu itakuja letwa na CCM.
 
Sio mbaya wachache tukiumia ili nchi, taifa na wengi wapone
Wewe jamaa nakuhakikishia tarehe 1 November lazima uokote makopo. Nimekuja kugundua aidha una matatizo ya akili au haupo Tanzania na huijui Tanzania na watanzania. Hakuna wa kukinukisha bongo nyote mnaandamana humu nyuma ya keyboards.
 
Wapigania Uhuru wangekuwa na akili kama zako wala tusinge kuwa huru fanyeni uchaguzi uwe huru muone nani ataleta vulugu na nchi hii vurugu itakuja letwa na ccm
Uhuru upi huo?
Leo Lissu akiwa Rais nini utapata moja kwa moja kutoka mikononi mwake?

Hakuna chochote, Lissu atatimiza makubaliano na mabeberu kutaifisha rasilimali zote, wananchi mtaambiwa fanyeni kazi kwa bidii mlipe kodi muendeshe maisha yenu binafsi na mgharamie serikali

Hakuna chochote cha ziada.
 
Huu ujinga mnatoaga wapi. Kwani wakati Mbowe na sugu wamefungwa jela kuna mwanachama wa CHADEMA alilala ndani? Why ikiwa other way round mnadai ni kwa maslahi yao.

Kura ni ya mwananchi sio ya Mbowe au Lissu so issue ya kuingia barabarani ni ya mwananchi kudai haki yake ya kuchagua kuheshimiwa sio kumpa maslahi Mbowe. Maana kma madhila kuna mCHADEMA kapata madhila level ya Lissu au Mbowe?

Tuache selfish minds za kujiangalia wenyewe otherwise Nyerere angekubali post serikali ya kikoloni ale bata
Bora umewatolea uvivu hawa Mataga wachumia tumbo wa Lumumba,wanadhani kura ni hisani ya NEC,Polisi na CCM. Haya mawazo ya kijima Mwaka huu ndio yatakuwa mwisho wake.
 
Uhuru upi huo?
Leo Lissu akiwa Rais nini utapata moja kwa moja kutoka mikononi mwake?

Hakuna chochote, Lissu atatimiza makubaliano na mabeberu kutaifisha rasilimali zote, wananchi mtaambiwa fanyeni kazi kwa bidii mlipe kodi muendeshe maisha yenu binafsi na mgharamie serikali

Hakuna chochote cha ziada.
Kama mkulima na mzalishaji wa mazao nitaweza kuuza mazao yangu popote penye bei Nzuri sio saivi nakatazwa kuuza mazao yangu niliyoyalima kwa jasho kubwa sehemu zenuw bei Nzuri na nalazimishwa kuyauza Chama cha Ushirika
 
Back
Top Bottom