Uchaguzi 2020 Ujumbe wangu kwa Watanzania wote kuelekea 28/10/2020

Uchaguzi 2020 Ujumbe wangu kwa Watanzania wote kuelekea 28/10/2020

Wewe jamaa nakuhakikishia tarehe 1 November lazima uokote makopo. Nimekuja kugundua aidha una matatizo ya akili au haupo Tanzania na huijui Tanzania na watanzania. Hakuna wa kukinukisha bongo nyote mnaandamana humu nyuma ya keyboards.
Amini nakwambia wewe ndo hutaamini kitakachotokea iyo tarehe 1. Nipo Tanzania na sasa nipo Kalambo, Magharibi mwa Tanzania.

Acha mimi ndo nikushauri wewe utembee tanzania mikoa ya Nyanda za juu kusini, Magharibi mwa Tanzania bila kusahau Mikoa ya Kusini, pamoja na Kagera, Mwanza na Mara. Hapo sijaweka Manyara, kilimanjaro na Arusha alafu sikiliza watu wanavyosema juu ya wanachopanga kumfanya huyo magufuli wako!!

Kataa kubali,Inyeshe mvua, liwake jua, hakuna namna magufuli wako atashinda uchaguzi wa mwaka huu!!
 
Wewe Mama unahaha na ramli zako chonganishi! Nitakuelewa siku ukituambia Ben sanane alimezwa na Chatu wa wapi!
 
Amini nakwambia wewe ndo hutaamini kitakachotokea iyo tarehe 1. Nipo Tanzania na sasa nipo Kalambo, Magharibi mwa Tanzania.

Acha mimi ndo nikushauri wewe utembee tanzania mikoa ya Nyanda za juu kusini, Magharibi mwa Tanzania bila kusahau Mikoa ya Kusini, pamoja na Kagera, Mwanza na Mara. Hapo sijaweka Manyara, kilimanjaro na Arusha alafu sikiliza watu wanavyosema juu ya wanachopanga kumfanya huyo magufuli wako!!

Kataa kubali,Inyeshe mvua, liwake jua, hakuna namna magufuli wako atashinda uchaguzi wa mwaka huu!!
Unaota na upeo wako wa kufikiri na kuona mbali upo chini sana. Hata hiyo mikoa yote uliyoitaja impigie kura Lissu, nakuhakikishia hawezi kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. NEVER. Sio 2020 bali kamwe. Ni rahisi Steve Nyerere kuwa Waziri mkuu kuliko Tundu Lissu kuwa Raisi wa Tanzania. Bado siku 21 tu, Stay tuned.
 
Unaota... na upeo wako wa kufikiri na kuona mbali upo chini sana. Hata hiyo mikoa yote uliyoitaja impigie kura Lissu, nakuhakikishia hawezi kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. NEVER. Sio 2020 bali kamwe. Ni rahisi Steve Nyerere kuwa Waziri mkuu kuliko Tundu Lissu kuwa Raisi wa Tanzania. Bado siku 21 tu, Stay tuned.
Nakushauri tu. Anzisha poll humu kati ya Lissu na Magufuli. Akishinda Magufuli nakuja na Verified id

Kama wewe ni Mungu aliyemponya risasi 16 Lissu nitaamini maneno yako kuwa Lissu hawezi kuwa Raisi. Ila as long as wewe ni kapuku wa Lumumba, popoma na mshikiwa akili na polepole maneno yako nayachukulia kama ramli tu!!
 
Nakushauri tu. Anzisha poll humu kati ya Lissu na Magufuli. Akishinda Magufuli nakuja na Verified id

Ndo maana nikakwambia huna akili. Sehemu zote sababu zinakusababisha ushupaze shingo kuamini Lissu atashinda uraisi ni za kitoto na kipumbavu. Eti kura JF!??,..humu JF, FB, Twitter, Instagram nk Lissu ni 92% na JPM 8% , Ila nakuhakikishia Tundu Lissu hawezi kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. NEVER. Sio 2020 bali kamwe.

Ni rahisi Steve Nyerere kuwa Waziri mkuu kuliko Tundu Lissu kuwa Rais wa Tanzania. Huwezi kunielewa sababu huna akili. Endelea kushupaza shingo sio siku nyingi utanielewa, hii ni Tanzania, sio Malawi wala Zambia.
 
Ndo maana nikakwambia huna akili. Sehemu zote sababu zinakusababisha ushupaze shingo kuamini Lissu atashinda uraisi ni za kitoto na kipumbavu. Eti kura JF!??,..humu JF, FB, Twitter, Instagram nk Lissu ni 92% na JPM 8% , Ila nakuhakikishia Tundu Lissu hawezi kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. NEVER. Sio 2020 bali kamwe. Ni rahisi Steve Nyerere kuwa Waziri mkuu kuliko Tundu Lissu kuwa Raisi wa Tanzania. Huwezi kunielewa sababu huna akili. Endelea kushupaza shingo sio siku nyingi utanielewa, hii ni Tanzania, sio Malawi wala Zambia.
Kwani jf wako wakenya wasiopiga kura??? Unajua kuwa Tanzania ndo nchi inayoongoza Africa mashariki kwa matumizi ya mitandao????

Kwa iyo Leo hii kwenye mitandao Kuna watanzania wa vijijini na mijini. Hivyo poll yeyote ya kwenye mitandao sio ya kudharau!!!!

Acha nikupe Siri we kilaza wa Lumumba, Magufuli kakataliwa na wafanyakazi, wafanyabiashara, wakulima na hata vijana.
Haya sio maneno yangu mimi tu!! Katibu Mkuu wako kalalamika leo huko Zenji, angalia hapa
9A24553A-8F9A-4177-95C8-CF92FCAF77D5.jpeg
 
Wewe jamaa nakuhakikishia tarehe 1 November lazima uokote makopo. Nimekuja kugundua aidha una matatizo ya akili au haupo Tanzania na huijui Tanzania na watanzania. Hakuna wa kukinukisha bongo nyote mnaandamana humu nyuma ya keyboards.
[/QUOTE
Ndo maana nikakwambia huna akili. Sehemu zote sababu zinakusababisha ushupaze shingo kuamini Lissu atashinda uraisi ni za kitoto na kipumbavu. Eti kura JF!??,..humu JF, FB, Twitter, Instagram nk Lissu ni 92% na JPM 8% , Ila nakuhakikishia Tundu Lissu hawezi kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. NEVER. Sio 2020 bali kamwe. Ni rahisi Steve Nyerere kuwa Waziri mkuu kuliko Tundu Lissu kuwa Raisi wa Tanzania. Huwezi kunielewa sababu huna akili. Endelea kushupaza shingo sio siku nyingi utanielewa, hii ni Tanzania, sio Malawi wala Zambia.
Unakumbuka ile poll ya TWAWEZA, na mlichomfanya mkurugenzi wa hiyo taasisi baada ya kutoa matokeo ya kweli?
 
Uchaguzi huu Chadema wameshashindwa kwa mara nyingine. Wajipange upya kwa ajili ya uchaguzi wa 2025.
 
Kwani jf wako wakenya wasiopiga kura??? Unajua kuwa Tanzania ndo nchi inayoongoza Africa mashariki kwa matumizi ya mitandao????

Kwa iyo Leo hii kwenye mitandao Kuna watanzania wa vijijini na mijini. Hivyo poll yeyote ya kwenye mitandao sio ya kudharau!!!!

Acha nikupe Siri we kilaza wa Lumumba, Magufuli kakataliwa na wafanyakazi, wafanyabiashara, wakulima na hata vijana.
Haya sio maneno yangu mimi tu!! Katibu Mkuu wako kalalamika leo huko Zenji, angalia hapaView attachment 1591600
Bashiru kila akiongea huwa anatoa boko,ona hapo katoa boko.
 
Wale madiwani wa CHADEMA waliomuua ulUVCCM iringa saivi wanajuta walichofanya sababu Lissu na Msigwa hawawatambui, watafia jela na familia zao zikifa njaa

Huku Lissu wanae wapo ulaya wanakula maisha na yeye October lazima arudi nyumbani kwake ulaya
Haki haijawahi kuja kwa njia rahisi huwa inakuja kwa baadhi ya watu kuumia kufa na hata kufungwa magereza yenye manyanyaso makali, kwa hiyo ndugu yangu hilo wala haliwezi kuwazuia watu kufanya jambo lao,hasa katika kudai haki,
 
Naongelea average person, Mbowe na Sugu wao walikuwa jela lakini mishahara yao na biashara zao zinaingiza millions daily na hata familia zao na maisha yao huko jela sio sawa na mlalahoi anaekamuliwa buku 2 kila leo na Lissu

Mtu kama mdude anaozea jela na hakuna kiongozi yeyote wa chadema anaetaka kumsikia tena, ni funzo kwa wenye akili nyepesi wamejazwa upepo mitandaoni wanafikiri ubovu wa maisha yao ni mwanasiasa atauondoa kitu ambacho hakipo duniani

Hakuna mwanasiasa wa kukuwekea pes mfukoni na hakuna mwanasiasa wa kuku fikiria pindi umeingia kwenye matatizo ya kumpigania aingie ikulu.
Sielewi hata hoja yako ni nini. Kwamba masikini asiingie barabarani kudai haki yake ila awaachie kina Mbowe sababu wana pesa?

Mkuu huyo mdude aliingia jela sababu ya Mbowe au yeye mwenyewe kupinga utawala wa magufuli?

Kama ni maslahi kwani Lissu akisema aende CCM atakosa ata ukuu wa mkoa/uanasheria Mkuu? Atakula bata milele.... Ssa upinzani ana maslahi gani wakati kampeni tu anategemea michango?

Kuna watu humu JF hata sielewi mnaitwaje great thinkers. Illogical arguments
 
Usitutishe
Tukuitwa kwa Muumba mbona poa tu
Wewe unapata hasara gani kwa mfano
Msitufanye sie mabwege
Come what may..
 
Tunachagua mtanzania mwenzetu Safari hii mzalendo halisi mtetezi wa wanyonge na sio anaenyonga wanyonge
 
Heri kupigwa mabomu kuliko kupigwa njaa miaka 5 tena
 
Wewe ulishiriki upotevu wa Ben Saanane?, Kwa maslahi ya CCM na Magufuli si ndiyo?.
Acha kila mtu ashiriki kwenye siasa kadiriaonavyo inamfaa.
 
Back
Top Bottom