Waliompiga risasi wapo sehemu salama wakigonga mvinyo.Wale madiwani wa CHADEMA waliomuua ulUVCCM iringa saivi wanajuta walichofanya sababu Lissu na Msigwa hawawatambui, watafia jela na familia zao zikifa njaa
Huku Lissu wanae wapo ulaya wanakula maisha na yeye October lazima arudi nyumbani kwake ulaya
Huyu tumemwona kwa miaka 5 akipuyanga tu. Aliingia kwa gia ya viwanda, ambayo kwa sasa hazungumzii tena, hata sijuwi anayo agenda gani sasa hivi.Una guaranteed gani Na huyo LISSU kwamba ndio ataponesha Nchi ?
Kwa sababu ana Sera bora na pia yeye ni akili kubwaUna guaranteed gani Na huyo LISSU kwamba ndio ataponesha Nchi ?
Hii ni 2020 tunachotaka tuwe na uhakika na vitu tunavyo zalisha kupata solo LA uhakika mbaazi tulikuwa tunauza kilo elfu tatu ufuta gunia ilikuwa laki moja moja na nusu Leo hii vyote vimeporomoka tunalima kwa garama kubwa tunakuja kukuta tunapata hasara tuUhuru upi huo?
Leo Lissu akiwa Rais nini utapata moja kwa moja kutoka mikononi mwake?
Hakuna chochote, Lissu atatimiza makubaliano na mabeberu kutaifisha rasilimali zote, wananchi mtaambiwa fanyeni kazi kwa bidii mlipe kodi muendeshe maisha yenu binafsi na mgharamie serikali
Hakuna chochote cha ziada.
Umekaririshwa mpaka mwisho wa fikira zako. Pakiwa na watu 10 wa aina yako kati ya 2000 wanaoishi mtaa mmoja, wastani wa IQ katika mtaa huo itaporomoka mpaka kiwango cha utaahira.Uhuru upi huo?
Leo Lissu akiwa Rais nini utapata moja kwa moja kutoka mikononi mwake?
Hakuna chochote, Lissu atatimiza makubaliano na mabeberu kutaifisha rasilimali zote, wananchi mtaambiwa fanyeni kazi kwa bidii mlipe kodi muendeshe maisha yenu binafsi na mgharamie serikali
Hakuna chochote cha ziada.
Nimekupa like yangu mkuu.Ndugu zangu Watanzania wenye mapenzi mema na Taifa hili poleni Kwa shughuli za ujenzi wa Taifa.
Ndugu zangu Watanzania hakuna asie juwa katika kipindi cha uchaguzi Raia/wananchi hutumika kama mtaji wakisiasa na ndio maana kila chama hupenda kuonyesha wingi wa hadhira imekwenda shuhudia mikutano yake hata Kwa picha za kupika jikoni.
Mwananchi ndio nguvu ya Mwanasiasa yeyote duniani na ndio maana panapo tokea machafuko mwananchi ndie anaumia while wanasiasa hukaa ktk meza kujadili masilahi Yao huku wakihesabiana watu wanao kufa kama hawatoelewana mapema. Yani Sisi Raia huwa London wa kafara Kwa masilahi ya watu wachache Ambao hata hawatujuwi na kamwe hawatotujuwa.
Ndugu zangu watanzania dalili zinaonyesha uchaguzi wa mwaka huu roho za watanzania masikini zitatumika kuonyeshana ubabe Yani patahitajika ushahidi wa vifo ili mradi Tu ni vya kisiasa. Wapanga hii mipango watakuwa very smart kuhakikisha wao hawausiki ili wafanikishe kile wanajuwa wamekipanga.
Ndugu zangu watanzania naomba Kwa unyenjekevu muwaombe hao wanaofoka mithili ya nyoka fira ktk mawindo nadhani mtasikia nakuamini Sisi ni mtaji wa Wana siasa. Hivyo tuzinduke na tusoke alama za nyakati.
Sikia lakuambiwa Ila usisubiri kuona mikutano ya wiki inayo Anza 12.10.2020 itakuwa na mvumo mkali Sana hasa vyama vya Fulani. Ndugu zangu angalieni TV Acha kujitoa muhanga utawahishwa Kwa masilahi ya watu wachache. Nawakumbusha kesi ya Akwilina na sisemi Sana Ila akili zakuambiwa changanya na za kwako.
Jambo lingine siku ya uchaguzi mwananchi piga Kura Rudi nyumbani kama Wana Linda Kura waambieni viongoz wa chama na familia zao wakalinde ili kikiwanukia watumie fedha za chama kutibiana. Wewe piga Kura Rudi nyumbani nakwambia tena piga Kura Rudi nyumbani.
Matokeo yakitoka wewe Raia shangilia kama chama chako kimeshinda kama hakijashinda tafadhali usidanganyike kuingia barabarani kumbuka wewe ni mtaji kifo chako ni ulaji Kwa mwanasiasa. Kataa Kuwa sadaka ya mwanasiasa kama anashida aende mahakamani wasituchoshe.
Yapo tusioyajuwa Ila tarehe 28.10.2020 mtanielewa japo Kwa uchache. Asante
Ndio uje uingie barabarani baada ya October 28.Huu ushauri ni bora ukae na wana Lumumba wenzako ndo uwashauri
Mmeona mmeshikwa pabaya mmeanza kutisha watanzania eeeh???! Si mlisema kwa kejeli mmeua upinzani???!!
Kuua muue nyie, kupiga risasi watu mpige nyie, kubambikia kesi watu mbambikie nyie, mipango ovu ya kuiba kura mpange nyie alafu bado mnahamasisha watanzania wawe kama mazuzu mbele yenu kuhalalisha mnavyokula keki ya Taifa!!!
Sasa peleka ujumbe kwa waliokutuma!!! Ufedhuli wenu umefika kikomo. Mmeshafanya mengi na ushahidi wote umeshakusanywa sasa subiri kuvuna matunda ya mlichopanga!!!
Mwaka huu ndo mtajua kuwa hamjui vilaza wakubwa nyie!!
Acha kutia watu uoga Kuna watu hatuna cha Kupoteza ndio kizazi hiki walio wengiSawa Sawa Mkuu Nakutakia Kila la kheri kwenye Maandamano yenu Maana yatakuwep Sababu hamtapita
Ukivunjika Miguu, Ukipofuka Macho, Uki vunjika mikono.
Usisahau kuja kutuambia na Tutakujibu "Pole Sana" [emoji38][emoji28]