UK inaweza kuwa nchi ya kwanza na ya mwisho kupigwa na kombola la Nuclear la Urusi, kaingia kwenye mtego mazima.

UK inaweza kuwa nchi ya kwanza na ya mwisho kupigwa na kombola la Nuclear la Urusi, kaingia kwenye mtego mazima.

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
2,789
Reaction score
4,951
Screenshot_20230823-134052.jpg

Baada ya kusoma habari hiyo, ni wakati sasa wa kuamini kwamba UK kaingia kwenye mtego wa Urusi na inaweza kuwa ni nchi ya kwanza na ya mwisho kutupiwa bomu la Nuclear kutoka Urusi.

Kuitambua Wagner kama kikundi Cha kigaidi maana yake ni kwamba:

1) watataka kuingia mpaka ndani ya Urusi kuwasaka Wagner ambao wamewatambua kama magaidi ,je Urusi watakubali?

2) Tumesikia Wagner wapo Belarus na Belarus ni mshirika mzuri sana wa Urusi, Je, UK wakitaka kuwatafuta Wagner ndani ya Belarus,Urusi atakubali?

3) Kama kikundi hicho kina ushirika wa Kremlin kama inavyodaiwa lakini Kremlin imekuwa ikikataa Hilo, kutaka kukivamia maana yake ni kutaka kupambana na Urusi, je Urusi watakubali?

4) Kwa tafsiri rahisi ni kutaka kulibrand Taifa zima la Urusi kama magaidi, Je Urusi watakubali?

Hebu fikiria zaida, kama Urusi asipokubaliana na hayo na akaona usalama wake unahatarishwa ,unadhani ni Nini kitatokea?

Urusi atajibu na atajibu Kwa mapigo mazito na hapa ndio tutaona Urusi ikitumia silaha nzito za maangamiza kama Nuclear Kwa sababu UK ni ' formidable foe'
 
Nuclear nafikiri ni pigo la mwisho kabisa pale ambapo hakuna namna ingine ya kujitetea.. Kitu ambacho bado hiyo hatua haijafikiwa na Urusi, na tuombe isitokee.. athari zake zitatukuta wote
Lengo la UK ni kutaka kutumia njia ilele iliyotumiwa na Marekani kuingia uarabuni kwamba tunasaka magaidi, Sasa asogeze pua aone mziki wake
 
View attachment 2726126
Baada ya kusoma habari hiyo, ni wakati sasa wa kuamini kwamba UK kaingia kwenye mtego wa Urusi na inaweza kuwa ni nchi ya kwanza na ya mwisho kutupiwa bomu la Nuclear kutoka Urusi.

Kuitambua Wagner kama kikundi Cha kigaidi maana yake ni kwamba:

1) watataka kuingia mpaka ndani ya Urusi kuwasaka Wagner ambao wamewatambua kama magaidi ,je Urusi watakubali?

2) Tumesikia Wagner wapo Belarus na Belarus ni mshirika mzuri sana wa Urusi, Je, UK wakitaka kuwatafuta Wagner ndani ya Belarus,Urusi atakubali?

3) Kama kikundi hicho kina ushirika wa Kremlin kama inavyodaiwa lakini Kremlin imekuwa ikikataa Hilo, kutaka kukivamia maana yake ni kutaka kupambana na Urusi, je Urusi watakubali?

4) Kwa tafsiri rahisi ni kutaka kulibrand Taifa zima la Urusi kama magaidi, Je Urusi watakubali?

Hebu fikiria zaida, kama Urusi asipokubaliana na hayo na akaona usalama wake unahatarishwa ,unadhani ni Nini kitatokea?

Urusi atajibu na atajibu Kwa mapigo mazito na hapa ndio tutaona Urusi ikitumia silaha nzito za maangamiza kama Nuclear Kwa sababu UK ni ' formidable foe'
Kwani hiyo nuklia huwaga urusi anayo mwenyewe?
 
Lengo la UK ni kutaka kutumia njia ilele iliyotumiwa na Marekani kuingia uarabuni kwamba tunasaka magaidi, Sasa asogeze pua aone mziki wake
Kuna mambo matatu ...

1. Huna ufahamu na hizi ishu za kimataifa ktk matumizi ya silaha.

2. Hujaenda shule.

3. Akili huna, yaani common sense haipo kwako.

Una ushabiki wa kijinga tu.
 
View attachment 2726126
Baada ya kusoma habari hiyo, ni wakati sasa wa kuamini kwamba UK kaingia kwenye mtego wa Urusi na inaweza kuwa ni nchi ya kwanza na ya mwisho kutupiwa bomu la Nuclear kutoka Urusi.

Kuitambua Wagner kama kikundi Cha kigaidi maana yake ni kwamba:

1) watataka kuingia mpaka ndani ya Urusi kuwasaka Wagner ambao wamewatambua kama magaidi ,je Urusi watakubali?

2) Tumesikia Wagner wapo Belarus na Belarus ni mshirika mzuri sana wa Urusi, Je, UK wakitaka kuwatafuta Wagner ndani ya Belarus,Urusi atakubali?

3) Kama kikundi hicho kina ushirika wa Kremlin kama inavyodaiwa lakini Kremlin imekuwa ikikataa Hilo, kutaka kukivamia maana yake ni kutaka kupambana na Urusi, je Urusi watakubali?

4) Kwa tafsiri rahisi ni kutaka kulibrand Taifa zima la Urusi kama magaidi, Je Urusi watakubali?

Hebu fikiria zaida, kama Urusi asipokubaliana na hayo na akaona usalama wake unahatarishwa ,unadhani ni Nini kitatokea?

Urusi atajibu na atajibu Kwa mapigo mazito na hapa ndio tutaona Urusi ikitumia silaha nzito za maangamiza kama Nuclear Kwa sababu UK ni ' formidable foe'
Uk haina nuclear arsenals? we vipi?
 
) watataka kuingia mpaka ndani ya Urusi kuwasaka Wagner ambao wamewatambua kama magaidi ,je Urusi watakubali?
Penda kujifunza ,kujielimisha na kudadisi siyo kuonekana unajua au kuwa wa kwanza kutoa taarifa. Ujinga pia hufichwa kwa kukaa kimya.


Kinachoenda kutokea kwa Wagner ni kama hiki:

Iran's Revolutionary Guards set to be labelled as terrorist ...​



Iran's Revolutionary Guards set to be labelled as terrorist group by UK. The UK is preparing to formally declare that Iran's Islamic Revolution Guard Corps (IRGC) is a terrorist organisation. The legal change would mean it becomes a criminal offence in the UK to belong to the group or support its activities.


BBC - Homepage › news


Hapo umeona tishio la nuklia?
 
View attachment 2726126
Baada ya kusoma habari hiyo, ni wakati sasa wa kuamini kwamba UK kaingia kwenye mtego wa Urusi na inaweza kuwa ni nchi ya kwanza na ya mwisho kutupiwa bomu la Nuclear kutoka Urusi.

Kuitambua Wagner kama kikundi Cha kigaidi maana yake ni kwamba:

1) watataka kuingia mpaka ndani ya Urusi kuwasaka Wagner ambao wamewatambua kama magaidi ,je Urusi watakubali?

2) Tumesikia Wagner wapo Belarus na Belarus ni mshirika mzuri sana wa Urusi, Je, UK wakitaka kuwatafuta Wagner ndani ya Belarus,Urusi atakubali?

3) Kama kikundi hicho kina ushirika wa Kremlin kama inavyodaiwa lakini Kremlin imekuwa ikikataa Hilo, kutaka kukivamia maana yake ni kutaka kupambana na Urusi, je Urusi watakubali?

4) Kwa tafsiri rahisi ni kutaka kulibrand Taifa zima la Urusi kama magaidi, Je Urusi watakubali?

Hebu fikiria zaida, kama Urusi asipokubaliana na hayo na akaona usalama wake unahatarishwa ,unadhani ni Nini kitatokea?

Urusi atajibu na atajibu Kwa mapigo mazito na hapa ndio tutaona Urusi ikitumia silaha nzito za maangamiza kama Nuclear Kwa sababu UK ni ' formidable foe'
Kichwa cha habari yako na kile kilichomo ndani, ni vitu viwili tofauti! Kiufupi tu hakuna kabisa uhusiano.
 
Heading yako inatisha.

Main body yako inachekesha.

itoshe kusema una ufahamu mdogo kuhusu masuala ya usalama wa kimataifa.

Nikuhakikishie, hakuna taifa dunia hili litakuja tumia tena bomu la nuclear na siku Utawala wa korea kaskazini ukapata watu timamu, basi kitisho cha Nuclear kitakuwa kimeisha duniani.
 
Back
Top Bottom