Jamani aombwe kwanza radhi Mzeee Kulikoni, na baadaye Mswahili kwa matusii yote waliyorushiwa kwanza,
Mswahili hakusema Mzee MMJ kuwa ni muuuza unga, hiyo ni sababu tu inataka kutumiwa kumgeuza Mswahili aanze kufuata bendera, Mzeee MMJ alipokuwa upande wa CCM alitukanwa weeee sasa toka aonekane anakubalika na huo upande, basi sasa mambo yamegeuka,
Utoto huuu, mtu mmoja tu anaaka kutufanya wote humu tukubali mawazo yake, unajua nimeufuatilia kwa makini mjadala wa Zitto kujitoa, ndio utaona ukweli ulipo, mana huyo bwana mwenye majina mengi na anyeogopwa humu hana la kusema sana kwa hiyo na wayangu nao wamenyamaza kimyaaa,
Mswahili siye aliyesema juu ya shamba kuonekana kuwa la mahindi, kumbe ni ....., Mzeee Mswahili kuna tunaokuelewa msimamo wako na hoja zako na ni valid, asikutishe mtu yoyote hapa weka vitu mwanangu, kama ni radhi waanze wao kuomba!