Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

phillemon michael

Tunachoongelea hapa ni ukabila, hizi habari za private sector kuwa na ajira sio issue at hand. Tafadhali jibu hoja niliyokuuliza page 47 artical 1 maana hujaijibu na unataka kupinda kona isiyoeleweka. (kichwa cha habari ukabila, ujenzi, mambo ya nje, Mipango, TRA, Benki Kuu na ofisi nyeti za serikali).
 
bakaa or whoever it is ,i told you that partisan politics is not my foremost aim.....so i dont bother what you guess of me ...neverthless what you have just said is waht irk me most ,when you guys brings allegation or accsation that lucks base of proofs...i will not comment to such allegations unless you bring proof in support..kwa sababu inaonekana some of you guys hata mkipewa facts mnaendelea kuhubiri hear saying hapa na chuki against one section of UNITED republic of TANZANIA
 
DUA najaribu kutoa picha ya ajira kwa ujumla ili tunapojadili ajira kwenye sekta binafsi tusibweteke tujue kwamba tunachijadili hapa ni not even 10% of the total labour force available eligible to work [wenye uwezo wakufanya kazi ni milioni 18.....hata ungeambiwa uandike paper juu ya haya tunayoongelea lazima ingekubidi utoe background ya ajira kwa ujumla wake kabla hujajadili SPECIFIC PROBLEM...so i guess i am right....kata ishu ukijia kuwa bado tnayo safari ndefu...na wale ambao bado kupata kazi wasisubiri kazi za mbao za matangazo au magazeti au inshu za connections...natoa wito waingie vitani wapambane na maisha wakati wanangojea miujiza ya kupanua ajira serikalini...au mtu afe ,afukuzwe au a retire..those are the most immediate sources of vacancy ....
 
phillemon mikael

Hata hiyo hesabu yako ya 18 million sio sahihi kwa sababu Tanzania ina population ya about 36 million au tuseme 40 million. Hiyo hesabu ni wrong?

Bado nasubiri jibu la swali?
 
you are right ni tunakimbilia 40...lakini unapoongelea work force unaongelea all citizens above 18yrs kutoa watoto[minors],vikongwe,wasiojiweza[tena baadhi kama si wengi siku hizi pia wanafanya kazi vema tu]....hiyo details tuliijadili kwenye mkutano wa TANZANIA BUSINESS FORUM pale movenpick royal palm mtoa mada akiwa mh iddi simba[tafuta makala zake za informal sector..ni nzuri tu]akishirikiana na watu wengine wakereketwa wa informal sector kama joseph warioba,hassy kitine,dr mosha [mzee wa NICO],MENGI.,E.MUSIBA na wengine wengi...

Lengo lilikuwa kuonyesha mchango uliosahauliwa wa informal sector kama muajiri NAMBA MOJA tanzania tangu kuingia kwa uchumi wa soko na sera za ubinafsishaji kushika kasi..........so usije kaa chini ukingoja mtu afe ,astaafu ndio uajiriwe ...JIAJIRI KWANZA..HIYO NDIO DEAL!!!!!!

[KIBWAGIZO] kuna member hapa amesema mahakama kuu kuna ukabila..kutokana na wale wazee wa mahakama ya rufaa kuwa na majina asiyoyapenda ...sikui wameshawahi kumnyima mtu haki kwa ajili ya majina yao....napendekeza wafukuzwe wote kazi tuajiri vijana fresh kama majaji wa mahakama za rufaa...maana at least bench la mahakama kuu na juzi wameteuliwa kidogo afadhali...

mnakumbuka jk kwenye mkutano wake wa kampeni tabora aliongelea ukabila akasema"....huwezi kwa mfano kufukuza madaktari pale muhimbili ukasema ni wachagga ,kwa sababu hata nikitaka kuwaweka wakwere wenzangu pale sintaweza kupata wakutosha,kwa hiyo ni lazima tukubali...kuna jamii ambazo zinapenda kusomea baadhi ya kazi..."correct me if wrong post the original link..nitaitafuta ile hotuba ya tabora na mimi nijaribu kuwaletea hapa....

Lazima tukubali wakurya wengi ni majasiri [warfare] na hawaogopi mapambano...sasa kutakuwa na ubaya gani ukiwa na idadi kubwa ya wapiganaji kutoka huko...kwanza wana interest ,moyo wa dhati...so wakati tunangojea kupata vijana wenye moyo wa mapambano kutoka huko...tuache kusajili wakurya..,wangoni,wahehe,wamasai ets ambao wanapenda kazi ya jeshi? kwa sababu tunapeleka nafasi 25 za ajira ya jeshi kila mkoa lakini wanaoomba ni hao hao na hata wakiomba wengine wengi hushindwa kuendelea kwenye mafunzo magumu ya medani...tufanyeje ...tuwabebe au tufanye for merits.

Lazima mrudi kwenye historia mjue kila jamii walikuwa na kazi walizozipenda tangu asili tunao WAHUNZI,WAKULIMA,WAFUGAJI,WAFANYABIASHARAets na hii imeinfluence hata tabia za baadhi ya makabila leo hii..PALE watoto wanapochagua carrier zao wazazi au wenyewe huvutiwa zaidi na masomo yao ya asili au FANI ZA WAZAZI WAO..mara nyingi mfano familia ya daktari haitakosa mtoto kuwa daktari ,mtoto wa barracks atavutiwa kuwa ASKARI..ETC

Tusidharau historia au role models [wazazi] kama determinant ya future za watoto wetu.
 
Mikael.
Kwahiyo hapa unatwambia kuwa Wachaga nihakiyao kuwa wengi TRA.
Kwakuwa wao wamesoma sana Accouts na tax.(nawatu wengine hawaja soma)
Kwahiyo wataweza zaidi kuthamini vitu vinavyo ingia nchini?
Wewe chadema wacha longalonga hizo.
 
phillemon michael

Wakati nasubiri unipe majibu naona nikusaidie katika hili la idadi ya wabongo n.k

Population 37 445 392 hii ni estimate iliyokubalika.

Miaka 0-14 ni asilimia 43.7

Miaka 15-64 ni asilimia 53.6

Miaka 65 na zaidi ni asilimia 2.6

Labour force unayoongelea Kilimo ni asilimia 80

Industry and services asilimia 20

CORRECTION - Hakuna member aliyesema mahakama kuu kuna ukabila kutokana na wale wazee ........etc. Hiyo ni artical ambayo MKJJ ameinukuu kutoka Daily News tazama vizuri naona unapotoka hapo na vile vile kwenye ajira unaweza kuweka ushahidi hapa kuonyesha sehemu ambazo kwa maneno yako kwamba makabila mengine hayapendi hizo kazi i.e. Jeshini na Udaktari Muhimbili? kwa sababu sasa hivi Tanzania kila aliyesoma hachagui kazi na bado mtindo huu wa ukabila ambao tunaongelea unaendekezwa na baadhi ya wachaga pale TRA.
 
PM,
Ama kweli wewe mkabila vibaya sanaa!

Yaani kweli umefikia kutoa imani za kihindi kuhusiana na kazi za makabila?..
Unaposema hivyo una maana vitengo vya ukulima ufugaji na biashara havina dept ya Uhasibu na ukusanyaji kodi?.. vipi wewe mbona unaanza kubwata vitu kama vile sio msomi.

Utanisamehe sana lakini maneno yako yamejaa dharau kubwa sana kwa makabila mengine.
Sasa ngoja nikuambie kitu kimoja. Nimesoma DSA na IFM miaka ya 70 na mwanzoni 80's hapakuwepo na hesabu kubwa ya wachagga kama mnavyodai kwa miaka zaidi ya minne niliyosoma. Ukichukua waliokuwa mbele yangu na nyuma yangu bado kulikuwa na mchanganyiko mkubwa wa makabila. You can check the record kama huamini.

Na ukipiga hesabu utakuta wengi wao leo hii watakuwa zaidi ya miaka 40 kwa umri kiasi kwamba wamevuka umri wa 18 na sio zaidi ya umri wa kustaafu..sasa sielewi message yako ina lead wapi!

Kisha unaweza kunambia ni kitu gani hasa kilichofikia watu kusimamishwa kazi TRA kama alivyoeleza Mzee Mwanakijiji. Ni sehemu gani serikalini umewahi kusikia namba kubwa ya watu kuachishwa kazi kisha ajira zitolewe upya!..what's going on TRA?

Mzee wangu acha kuzuga watu na maswala ya elimu kama vile wewe ndiye mwenye takwimu za elimu nchini. wakati wa Nyerere hakuna cha Wachagga wala kabila gani kuwa mbele, elimu ilikuwa ni jukumu la kila mtu, tena basi naweza kusema kutokana na hali mbali ya kiuchumi na mishahara midogo vijana wengi wa kichagga miaka hiyo walikuwa wafanya biashara toka udogo. Ni wakati pekee wachagga wengi walianza kuingia mikoani kutafuta biashara hata ziwe za kuuza matairi ama kupiga kiwi viatu, kuuza madawa ya mchubuo, sabuni na kadhalika. That is a fact kwa hiyo usitake kudharau makabila mengine kwa imani zako za Kihindi.

Ndugu yangu usituletee kabisa hapa hesabu mbovu ambazo hazina ukweli wowote na hakuna mtoto mdogo hapa.
 
Duh Bob Mkandara!
Kumbe mzee wa longi taimu huh!
Enzi unasoma College Brutus alikuwa anacheza chandimu shule ya msingi na watoto wa makabila lukuki!
Nikichafua viatu lazima niende kwa Mangi avipige kiwi!
 
Ili kieleweke, itabidi Mswahili apambanue ni nini hasa anasema. Ni yapi kati ya yafuatayo anasema huyu mwenzetu?

1. Wachaga wana ubaguzi wa kikabila
2. Kuna baadhi ya Wachaga ambao wana ubaguzi wa kikabila
3. Kuna ubaguzi wa kikabila TRA
4. Wachaga wa TRA wana ubaguzi wa kikabila
5. Baadhi ya Wachaga wa TRA wana ubaguzi wa kikabila.


Baadhi ya Wahehe, Wadengereko, Wamakonde, Wasukuma n.k. wana ubaguzi wa kikabila. Kwa hivyo, kama Mswahili anasema kuna Wachaga wenye ubaguzi wa kikabila, basi mimi nasema hivi: what else is new?

By the way, Mswahili ameuliza: "Kwani Tenga sio Mchaga?" Ndiyo sio Mchaga, ni Mpare. Haina maana, lakini tumejibu swali.

Augustine Moshi
 
Brutus,
Wa long babu ila ndio hivyo nakwenda sambamba na vijana!

Mzee Mwenzangu Augustine,
Hakuna haja ya Mswahili kukujibu kwa sababu inaonyesha wazi kwamba kinachokataliwa hapa ni kutajwa kwa jina Chagga.
Maswali yako yote yamekuwa na neno hilo na kuna moja tu ambalo wewe unaweza kulikubali, basi chukulia hilo hilo unaloliona wewe kulikubali kisha tulifanyie kazi. Pick anything! unachoona wewe kinaweza kukubalika na wengi.
 
Mkandara endapo itaoneshwa kuwa wakati TRA kama tunavyoijua sasa ilipoundwa mwaka 96 na wafanyakazi zaidi ya 1400 kutemwa, kulitokea ubaguziwa kikabila huoni kuwa hiyo itamaliza kabisa mjadala huu? Endapo itaoneshwa kuwa walioachwa kwenye mabadiliko hayo wengi walikuwa ni watu wasio wachagga na wachagga wakapewa nafasi hizo bila ya shaka itakuwa ni ushahidi wa kisayansi unaoweza kukubalika katika mahakama yoyote ile ya sheria. Endapo pia itaoneshwa kuwa tang wakati ule 96 hadi hivi sasa kumekuwa na systematic firing of non Chaggas, and hiring of Chaggas only hiyo pia itatosha. Kuonesha majina kumi kati ya wafanyakazi 3000, is a joke!!! unless there is a control group of another tribe to compare them with.
 
Mzee mwanakijiji,
Bado nitasema maswali yako ni mepesi sana....Nitakujibu maswali yako tofauti na nyie mnaotafuta maswali juu ya swali bila kujibu yenu.

Unajua hata sehemu zinazolalamikiwa kuto wapa ajira wanawake haina maana kuwa ilitakiwa kuwepo na hesabu sawa kati ya wanaume na wanawake. Swala hapa ni kutoajiri wanawake kwa sababu ya gender!...na hii haina maana ofisi ama kiwanda hakina kabisa wanawake.

Marekani hadi leo hii watu wanalalamika kuhusu Ubaguzi haina maana hakuna wazungu wenye kuhusiano mzuri na watu weusi. Inaonyesha una miss the big picture hapa. Hata jeshi letu wakati akina Sarakikya walifikia wakati wakagoma kutokana na ubaguzi uliokuwepo jeshini wakati bado Muingereza akiendesha jeshi letu. Vyeo vyote vya juu walikamata wao na hata Captain wa kiafrika alilala ktk nyumba ya jumla tofauti na Captain wa Kiingereza, hawakula meza moja na mengine chungu nzima kiasi kwamba jeshi lilitaka kuleta vurugu.
Leo hii tunaona Ubaguzi nchini wazungu wakiajiri wazungu wenzao na kuwapa mishahara mikubwa wakati mtu mweusi mwenye elimu tena pengine zaidi ya mzungu huwekwa benchi ama kushika madaraka chini ya mzungu, yet unaweza kuta shirika zima Watanzania ni asilimia 80. Huu wote ni ubaguzi..
Mzee mwanakijiji, kuna aina nyingi sana za Ubaguzi na zenye mifano ya kila aina. Kuna hata watu wengine hawawezi kula meza moja na wafanya kazi. inaitwa pia ubaguzi wa class!.. kifupi ni mmoja kujiona mbora kuliko binadamu mwenzake bila sababu za kimsingi.
Hilo la kufukuza kazi watu 1996 unaweza liweka lakini sio hoja iliyopo ubaoni kwa sababu Hata Ubaguzi Marekani ulipigwa vita miaka 50 iliyopita na kuna mifano chungu nzima ya kuonyesha vita hivyo katika kipindi cha miaka hiyo. Tatizo kubwa linalowasumbua watu ni kwamba Ubaguzi bado Upo.
Kinachotakiwa hapa kutazamwa ni hayo madai ya kuwepo na Ukabila TRA ktk utoaji wa ajira. Simple as that!
 
mkandara wewe umesoma saana hongera!!!!!!!!!!!!!!!!!
hata mimi naona hivyo,
dua ,bado hujaelewa dhana ya informal sector tanzania tafuta machapisho yake uyapitie.....
bakaa unaendeleza yale yale ...kuendeleza kuihubiri chuki dhidi ya wachagga na kujaribu kuni temper kwa kungangania uzushi ambao nilishakataa...

nili joke hapa kuhusu uchagga wa majaji na madaktari ,na nikaeleza ujeshi wa wakurya,wangoni,wahehe,....huo haujaonekana kama ni ishuu...kisa TRA ,kwani huko kuna nini............basi amueni moja tukubaliane kuweka masharti ya ajira TRA kuwa muombaji ASIWE MCHAGGA...nadhani hii itakuwa haki..mnaonaji na wachagga wote wakipewa forced retirement..does it sound good..ok go ahead do that cos that is where you are heading to...

as long as mmeshaamua kuwatenga na kuwajengea chuki baadhi ya watu....nawa[enda wooote!

kwa pamoja hii inanifanya niamini kuwa pro mswahili hawataki kusikia hoja,facts or anything....
 
PM,
Sijasoma ndugu yangu hizi ni hekima na busara za utu uzima na elimu ya Madrasa tu...

hayo ya kutoajiri TRA Wachagga ni ya kwenu sisi tunataka TRA itupiwe macho hivi sasa kwa wale waliomo ndani na jinsi gani wamezipata nafasi hizo. kama tunavyotaka kuona vyeti feki vikishughulikiwa na sio tuanze sasa kutazama watakao kuja na vyeti feki.
Huo mpango wa CCM kudai tuyaache ya nyuma tugange yanayokuja hali wakiendelea kutufilisi sii mpango mzuri hata kidogo kwani walioko madarakani ndio wanaofanya mchezo huo.

Hii ni sauti ya wanyonge!
 
Kinga ni Bora kuliko Tiba lakini kama tayari Ugonjwa umeshamkamata mtu basi anatakiwa kupatiwa Tiba na Kukinga uwezakano wa kuleta madhara zaidiyasababishwayo na Gonjwa hilo na matumizi ya dawa za kuponyesha gonjwa hilo(Complications).
 
KNKCU

OK I take that back and rephrase it, You know I know dhana ya informal sector kwa nini usijibu hoja nilizouliza?
 
Mwanakijiji na PM.
Mimi sina chuki na wachaga bwana.
Wewe angalia wafanya kazi wa TRA pale tanga 80%.
Moshi holili ni 95%.
nahorhoro nako 75%.
Nenda kaangalie huko.
Lakini mimi najua kuwa nyinyi munajua yote haya bali uchaga umewatawala na hamtaki kitu chochote isipokuwa kufaidika nyinyi tu.
NAKUHARIBU MIJI YA WATU.
 
Back
Top Bottom