Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Mwl Nyerere Alisema.. kubaguana ni kama kula nyama ya mtu!
Siamini kama watu bado tuko roho za kibaguzi hivi!
Duh!
 
M. Mwanakijiji.
Hao wengine wachaga tunazungumza kiswahili hapa.
Kwani nyinyi munadhani kitendo cha wachga kujaza mabaa kila kona ya Dar na Tanga kuendeleza nasio kuharibu.
Kufuga maguruwe sehemu zakuishi watu harufu mbaya kila mali Tanga sasa.
 
Bakaa,
On this I think you are out of order. Kama mabaa yamejaa kila kona mjini Dar ni kwa sababu kuna wateja. Hakuna mtu kalazimishwa kunywa bia au kula nguruwe.
 
Jasusi.
Mumejenga mabaa katika sehemu za kuishi watu kwani hamlijui hilo.
Wachaga munaharibu mazingira.
Nawachaga wanafuga nguruwe sehemu wanazo ishi watu.
Turudi kwenye mada hicho kilikuwa ni kibwagizo tu.
TRA wachaga mumeifanya yakwenu.(nimesema kuwa wamejazwa Tanga,moshi na holili.)
 
Bakaa,
On this I think you are out of order. Kama mabaa yamejaa kila kona mjini Dar ni kwa sababu kuna wateja. Hakuna mtu kalazimishwa kunywa bia au kula nguruwe.


Mbavu zangu!

Anyway, kifupi tusipindishe mada bana. Hii ya kujaa kwa bar/guest/mabucha ya vitimoto etc inaweza kuanzishwa kama topic kama ina umuhimu wake lakini issue hapa ni Ukabila IKULU, UJENZI, MAMBO YA NJE, MIPANGO, TRA, BENKI KUU na OFISI NYETI ZA SERIKALI.

Bado tumepaandama TRA tu bado Ikulu, Ujenzi, Mambo ya Nje, Mipango, BoT na ofisi nyeti (kama alivyosema mwanzishaji wa topic) za serikali.

Vipi kwingine mbona hatugusi???
 
Good point worM. Mimi nasubiri majibu yangu kabla sijaingia sehemu nyingine.
 
Jasusi, nimesema toka mwanzo.. start breaking the principle and the principle will find a way of breaking you..! watu wameanzia TRA, hawataishia huko! wameanzia na Wachagga hawataishia huko!... Ubaguzi wa kikabila unaodaiwa kuwepo TRA hakuna hata mmoja aliyetoa ushahidi usiopingika! at least siyo ushahidi wa kisayansi! zaidi ni ushahidi wa idadi!

Je wachagga waliopo TRA wamekula njama kushirikiana?
Je, katika njama hizo wanaiibia serikali?
Je, wachagga wote wanafahamiana? Hivi tukikuta wasukuma nane kwenye idara fulani ni lazima wajuane?
Kama suala ni idadi ya watu wa kabila moja kwenye nafasi nyeti nimewapa mfano wa Mahakama Kuu mbona hilo hakuna anayeangalia.

Dua amekuwa akisisitiza maneno ya Mmanda kuhusu jeshi, alichosema Mmanda ni kweli kuwa kama mnaangalia idadi tu na kutoka idadi basi mnahitimisha ukabila, sasa tuseme jeshini kuna ukabila kwa vile kuna/kulikuwa na vijana wengi toka Musoma? Kama suala ni idadi katika nafasi nyeti lets keep breaking the principle twende Chuo Kikuu Mlimani na MUCHS.
 
MKJJ

Hatuongelei idadi au wingi wa wafanyakazi bali kitendo cha ukabila uliokithiri. Sasa wewe unampinga Mmanda ambaye anafanya kazi pale? Wanaofanya ukabila pale ni wale wenye uwezo wa kuajiri, unataka kuniambia wachaga wote wanaofanya kazi pale wana uwezo huo?

Usichanganye mambo ya wizi na rushwa kwenye ukabila vitu tofauti ndugu yangu. Ushahidi wote uliotolewa wewe huwezi kuukubali kwa sababu zako unazozifahamu kwani hata angekuja malaika leo huwezi kukubali ndio tunasema kwa hili wewe endeleza huo msimamo hadi pale hatua madhubuti zitakapochukuliwa na serikali kuutokomeza ukabila huo.
 
I give UP!

Sasa mjadala umeharibika, toka leo itanibidi niwe na tune nyingine kabisa kila napotazama swala!...Sina imani na baadhi ya watu kwa kila wayasemayo. Mswahili naye sijui kafungiwa! ama kweli Bongo nchi ya watu.
Vita mpyaaaaaa!
 
Mkandara,

Hakuna alofungiwa hadi sasa. This' just for your info!
 
MKJJ

Hatuongelei idadi au wingi wa wafanyakazi bali kitendo cha ukabila uliokithiri.

Mnaouzungumzia ni ukabila upi? Je ni ajira ya watu wa kabila moja zaidi? Kama ni hilo nileteeni basi idadi kuna wachagga wangapi TRA ukilinganisha na makabila mengine?

Sasa wewe unampinga Mmanda ambaye anafanya kazi pale? Wanaofanya ukabila pale ni wale wenye uwezo wa kuajiri, unataka kuniambia wachaga wote wanaofanya kazi pale wana uwezo huo?

Kama ni suala la uwezo, nilinganishie basi wachagga waliopo hapo na watu wa makabila mengine waliopo hapo!

Usichanganye mambo ya wizi na rushwa kwenye ukabila vitu tofauti ndugu yangu. Ushahidi wote uliotolewa wewe huwezi kuukubali kwa sababu zako unazozifahamu kwani hata angekuja malaika leo huwezi kukubali ndio tunasema kwa hili wewe endeleza huo msimamo hadi pale hatua madhubuti zitakapochukuliwa na serikali kuutokomeza ukabila huo.

Sawa, lakini ukabila una athari zake siyo tu ajira bali pia kimahusiano na uchumi. Kama kuna njama ya kuajiri wachagga peke yao bila ya shaka kuna watu wananufaika!
 
hee hee
anaemwaga manyanga chini na amwage tu, si aanze kutoa visingizio hivi na vile
jamani tuendeleeni, au ndo tuseme tayari tushamfunga paka kengele?
 
TRA Kila mtu anapataka kwani mshahara wa mfagizi na mhudumu wa ofisi ni mkubwa kuliko hata wa Daktari kabla haujapandishwa mwaka jana.
 
TRA's ethics committee to curb staff unbecoming behaviours
Correspondent ERNEST AMBALI
Daily News; Thursday,November 02, 2006 @00:03

FINANCE Minister Zakia Meghji
TEN years after it started operating in July 1996, the Tanzania Revenue Authority (TRA) is now counted as among top institutions, which are making relentless efforts to fight corruption to collect more revenue.

THE Tanzania Revenue Authority (TRA) is fighting corruption among its staff by among other things, ensuring that before they are fully employed declaration of their personal assets is an imperative requirement and then they undergo a probation period of one year. However, it is possible some undeserving people manage to go through.

And, as an employee continues in service, their behaviour are monitored through an established procedure for receiving allegations against them.

The procedure includes a mechanism for 'whistle blowing' - systems under which informers alert the Authority about alleged corrupt staff.

Records of unbecoming behaviour of some of the staff are maintained by the Ethics Committee under the present chairperson, Deputy Commissioner General Placidus J. Luoga, who is assisted by four departmental heads as committee members.

According to Mr Luoga, the committee was established on end May, 2003 at the TRA headquarters. Before the establishment of the TRA there was no formal, comprehensive framework for managing ethics and integrity of staff in the tax administration.

When the TRA started operating in July 1996, initial integrity framework was developed. Before the TRA was formed, staff integrity was managed by the then Tax Audit and Investigation Department and later on by the Internal Audit Department, says Mr Luoga.

This was then followed by adoption of the first TRA's Anti-corruption Strategy of 1999 and incorporation of the TRA's Strategy into the National Anti-Corruption Strategy and Action Plan (NACSAP) in the year 2001.

In May 2003, the Authority decided to enhance management of ethics and integrity by forming the Management Ethics Committee to oversee staff integrity matters in the Authority.

"Precisely, on May 2, 2003 the TRA management decided to establish the Management Ethics Committee at the TRA headquarters with effect from June 1, 2003.

"Since its establishment in June 2003, the committee had convened a total of 32 meetings by July 31, 2006," Mr Luoga says.

Terms of reference given to the Ethics Committee include but not limited to establishing and monitoring procedures for receiving allegations, including setting a mechanism for 'whistle blowing'.

Also included in the long list of inputs in the terms of reference, is the reviewing of allegations and encun. Course of action to be taken against the allegations raised.

This means identifying the various types of allegations, as for example, allegations on corruption, which require external enquiry by the Preventions of Corruption Bureau (PCB) Police Force or other external agencies.

Allegations on tax evasion to be referred to the Tax Investigation Department to investigate internal fraud allegations to be referred to the Internal Audit Department.

Allegations, which do not necessarily require any specialised investigation, hence suggesting administrative action or follow-up to be made by respective heads of department or regional mangers.

Allegations which may be considered by the committee as baseless. The Ethics Committee is charged with the responsibility of receiving and evaluating the results of the investigations carried out against the staff.

The other responsibility is evaluating the adequacy of the measures in place to combat corruption and recommending the management on further measures.

The list of terms of reference also includes reviewing the monthly reports received from the heads of department and regional managers on the implementation of NACSAP and reviewing the Quarterly Strategic Management and Good Governance Report before it is submitted to the government.

Also added to these, the Ethics Committee is required to perform any other duties related to staff integrity as delegated by the management.

"In August 2004, Regional Ethics Committees were established in every up-country region, at the Institute of Tax Administration, Dar es Salaam and TRA Zanzibar.

"All committee chairpersons underwent special training on good governance and control of self-assessment. The Good Governance Co-ordinating Unit (GGCU) and the PCB were among key resource persons to the training," says Mr Luoga.

The government issued a directive in September 2005, requiring all MDAS and local councils to form integrity committees by December 30, 2005. It was expected that by then, the Authority would have established, already, its ethics committees at the headquarters and in every up-country regions.

The TRA management then decided to go further down to establish ethics committees at district level and in each of the newly-formed Dar es Salaam tax regions.

Mr Luoga said that the TRA management had devised an effective mechanism to ensure that the committees perform their role according to the terms of reference they were given.

First, the chairman of the Management Ethics Committee is required to submit to the commissioner general, quarterly reports on the committee's affairs for onward submission to the standing committee of the board of directors.

Secondly, the chairman of regional ethics committees and of Zanzibar and Institute of Tax Administration Ethics committees are required to submit to the chairman of the Management Ethics Committee at TRA headquarters, quarterly reports on the committee affairs on implementing the terms of reference given to them.

Thirdly, chairman of district ethics committees are required to submit to chairman of the respective regional ethics committees, quarterly reports on the committees' affairs on the implementation of the terms of reference given to them.

Fourthly, all heads of department should perform I-annual operational reviews in the every regions to assess progress of implementation of the various management policies including effectiveness of ethics committees in the regions.

Lastly the director for Internal Audit should perform regular reviews effectiveness of managerial controls in the regions, which include management of ethics, and integrity in the work stations.

On what he termed as punitive measure, Mr Luoga says all members of staff taken over by the TRA from the defunct tax administration on July 1, 1996 were placed under a one-year probation period to measure their performance and behaviour.
"At the end of that period 239 employees were not confirmed in their new employment," he says.

These unfortunate new employees were not confirmed because of two main reasons. Firstly they could not meet the performance standards of the TRA and secondly of their unbecoming behaviours.
In the second punitive measure, the Authority has established and is implementing a code of conduct, which provides specific penalties for violating it. The management has continually
taken action against the culprits.

"As a result of the measures taken by the Authority since its establishment, we are proud to state that the level of staff integrity has recorded an improved and satisfactory performance," Mr Luoga says.

These staff control measures employed during the first 10 years of the TRA have led to seven achievements.

These are enhanced commitment by senior management to effectively manage ethics and integrity; transparency in handling and resolving staff integrity matters has been enhanced.

Awareness on integrity management has been increased throughout the Authority, from the headquarters down to district level.

TRA policy on corruption had been and shall continue to be 'zero tolerance' concentrations has been given to proactive and holistic approaches.

Ethics awareness among the staff had been enhanced, whicle detective investigative strategies have been developed and implemented to address internal fraud and tax evasion.

The code of conduct has been effectively enforced. The management continues working on a few remaining staff with unbecoming behaviour to ensure that the core values stipulated in the Second Corporate Plan for 2003/04-2007/08 are sustained to build the TRA's corporate culture.

"It is not possible to state that the Authority is fully corrupt-free and that a lot of good measures have been taken by the Authority to enhance integrity and ethics and that their levels have very significantly improved.

"The Authority is one of the leading institutions in the country which are in the forefront of the war against corruption.
"More efforts will be taken in order to maintain this status in future," Mr Luoga concludes.


Naomba mnitafutie idara nyingine yoyote ambayo imechukua hatua za kuzuia ufisadi kama TRA!!
 
posted by Dua:
Uliongelea James Mbatia ambaye aliajiriwa TRA bila cheti, cheti alichokuwa nacho ni cha Form VI je aliajiriwa katika mazingira gani? Alisomea Engineering kutokana na habari uliyotuletea, ilikuwaje TRA wamwajiri?
Dua, Kichuguu,wana JamboForums,
James Mbatia ameburuzwa humu ndani na Mswahili wakati alipokuwa akiwakashifu "wakilimanjaro" kwa kutoa wagombea Uraisi[Anna Senkoro,Mrema,Anna Komu] wasiokuwa na "elimu."

Nilimtetea Mbatia kwasababu hakuwahi kugombea Uraisi. Vilevile huyu James Mbatia amekosa shahada ya chuo kikuu kwasababu ya kufukuzwa kwa kuongoza mgomo wa wanafunzi. Naamini mtu yeyote fair hawezi kumuunganisha ktk kundi moja na Augustino Mrema.

Labda niongeze tu, wakati anafukuzwa, Mbatia alikuwa mwanafunzi wa kitivo cha Engineering mwaka 3. Naamini sote tunaelewa ugumu wa kujiunga UDSM miaka ile, na zaidi ku-survive mwaka wa 2 civil engineering. Narudia, Mbatia aliondolewa mlimani akiwa mwaka wa 3 faculty of engineering.

Nategemea wengi hapa mtakuwa mmejielimisha kuhusu TRA, na mnafahamu kwamba ilianzishwa rasmi mwaka 1996 kutokana na mapendekezo ya "Tume ya Edwin Mtei." Kama sijakosea James Mbatia alikuwa mbunge wa Vunjo kati ya mwaka 1995--2000. Kwa msingi huo basi, yeyote anayedai kwamba aliajiriwa TRA alikuwa na nia mbaya ya KUMCHAFUA James Mbatia kwasababu ya kabila lake MCHAGA.
 
Back
Top Bottom