Sidhani kama ni kweli kwamba chombo kinachotakiwa kupima mizigo bandarini Tanga kimewekwa Rombo. Mtu ashushe mzigo bandarini Tanga, aubebe hadi Rombo kuupima, kisha ndio aurudishe Tanga? Naamini haiwezi kuwa kweli.
Kuna bidhaa nyingi zinaingia nchini kupitia Holili. Kwa hivyo, inabidi kuwepo vifanyia kazi Holili. Lakini siamini kwamba hilo linafanya mizigo ya Tanga ikapimwe Rombo. Kama mizigo inayoshushwa bandarini Tanga ingebidika kupimwa mahali pengine, basi ingepimiwa Dar.
Nakupongeza Mzee wa Kijiji kwa kutumia LOGIC. Your counterparts are not doing the same. The law of evidence requires Mswahili and his cohorts to produce evidence that there is tribalism at TRA, and that this tribalism is perpetrated by the Wachagga. Instead of doing that, they have merely used the following illogical argument: there are many Wachagga at TRA, and therefore there is Chagga Tribalism at TRA. Well, non sequitur (it does not follow). As has been pointed out by Mzee wa Kijiji and others, you also have many Wachagga in faculty positions at UDSM, MUCHS, Sokoine, and so on. Are Mswahili and co. claiming Chagga Tribalism in all these places? Note also that we have very many Wachagga in the City of Dar, in Mwanza and in Arusha. Is this state of affairs due to tribalism?
I can see a certain amount of unholy jealousy in some of the arguments presented. Mswahili expresses outright hatred of the claim that the Wachagga are relatively better educated. It is the truth, and the truth does seem to hurt some people. We should emulate rather than hate the Wachagga in their education endeavor.
Augustine Moshi