Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
turudi kwenye ukabila TRA na vitengo vingine...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaouzungumzia ni ukabila upi? Je ni ajira ya watu wa kabila moja zaidi? Kama ni hilo nileteeni basi idadi kuna wachagga wangapi TRA ukilinganisha na makabila mengine?
Kama ni suala la uwezo, nilinganishie basi wachagga waliopo hapo na watu wa makabila mengine waliopo hapo!
Sawa, lakini ukabila una athari zake siyo tu ajira bali pia kimahusiano na uchumi. Kama kuna njama ya kuajiri wachagga peke yao bila ya shaka kuna watu wananufaika!
THE Tanzania Revenue Authority (TRA) is fighting corruption among its staff by among other things, ensuring that before they are fully employed declaration of their personal assets is an imperative requirement and then they undergo a probation period of one year. However, it is possible some undeserving people manage to go through........................................................
Hili suala la TRA linahusu pesa na wachagga, hakuna cha ukabila wala nini? Kama ni ndugu kupeana ajira au watu wanaojuana kwanini tuishie TRA peke yake, na kwanini tuanzie TRA peke yake? Je Bosi Mchagga akimuajiri kijana aliyehitimu na mfanisi ambaye ni mchagga lakini hajuani naye ni baya zaidi kuliko bosi mchagga atakayemuajiri Mkwere anayejuana naye na ambaye hana qualifications? Wateteao ukabila watapiga kelele hilo la kwanza, lakini hilo la pili hawataki hata kuliangalia! kwani kwao Mchagga hawezi kumuajiri Mchagga mwenzake mahali pa taasisi za umma! akifanya hivyo ni Ukabila!!
Kichuguu: Hapana, najua kuwa wakati Chuo Kikuu Dar kinafungwa na Mwinyi mwaka 1989 hivi nilikuwa bado nafundisha pale. James Mbatia aliyekuwa kiongozi wa mgomo ule hakuwa mwanafunzi wa engineering ingawa alikuwa na wasaidizi kadhaa kutoka engineering kama vile Blasio Loloma ambaye sijui yuko wapi. Baada ya kufukuzwa chuo ndipo Mbatia alipoingia kwenye siasa dhidi ya serikali ya mwinyi iliyomkatisha masomo. Sidhani kama aliwahi tena kurudi chuo chochote kusoma engineering kwani najua kuwa muda wote amekuwa mbunge.
Mkandara.
hawa ndio watendaji wanaopitisha documents zote na kufanya assessment za kodi.
akina chijoriga wao ni policy makers tu, hawawezi kuona document ya MENGI Reginald wala Ndesamburo watendaji ndio hao ma RRO ambao sasa wanaitwa managers, HDO NA Officers incharge ndio wahusika. .....