Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Hilo la wezekana, lakini kabla ya ku jump kwenye conclusion heba tazama intake na wahitimu wa vyuo vikubwa mfano universities na higher institutions nyingine ni makabila gani yenye watu wengi. Je! wamependelewa kuingia au ni nasibu tu? Kama wana mwamko wakasomesha watoto wao, basi na kwenye ajira ni lazima watakuwa wengi zaidi ya wenzao. Sasa wale wengine watabaki pembeni wakilalamika na kunyoosha vidole. The same applied kwenye udini kama dini fulani ni wachache vyuoni alafu unakuta kwenye ajira wamelundikana, jiuulize wametumia vigezo gani? "Food for thought".
 
naweza toa personal experience, ktk shule zote nilizosoma hapa dar from primary hadi university majority ya wanafunzi ni wa kutoka ktk makabila hayo japo mimi si wa kabila kati ya hayo!!! na cha kushangaza pamoja na wingi wao pia ndio waliokua nashika nafasi za juu darasani, cjawai muona muhaya mjinga ktk shule nilizosoma from primary hadi university kwa hiyo iyo trend kuendelea mbele ya safari kwenye ajira sioni kama ni shida!!!
 
UDSM
PROF MUKANDARA, PROF MULOKOZI,PROFF RUTASHOBYA,PROFF RWEKAZA, PROFF RWAITAMA
IFM
KATO RUGANGILA,PROF TUMWESIGE, PROF
MZUMBE
KABIGIZA,prof kaijage
SAUT, mweiga baregu prof, kwaNINI HAWA TU JAMAN
 
As a Kenyan let me say this

YOU DO NOT WANT THE DEMON THAT IS CALLED TRIBALISM.

I DO NOT WISH TRIBALISM ON ANYONE it will your country social fabric kama mchwa

Stay the f*ck away from tribalism, I beg you
 
mleta hoja ungetaja marina. Namna hii ni majungu. Nadhani makabila nayo watu wamesoma sana na lazima itareflect tu hata kwenye ajira pia. Mbona JK abgejaza wakware!! Pigeni shule jamani
 
Watu wote waliofilisika sera,watataka kujihalalisha,ama kwa udini,ukabila,au ukanda,na hawa ni watu wa kuepuka kama ukoma.
 
Mods hizi threads zingine muwe mnazimaliza wenyewe huko huko, zinatia kinyaa sana hazifai kufika jamvini.
 
Mwanakijiji acha fix, wewe siyo mwanakijiji kwa jinsi ulivyoshusha hii nondo hapa..!
 
As a Kenyan let me say this

YOU DO NOT WANT THE DEMON THAT IS CALLED TRIBALISM.

I DO NOT WISH TRIBALISM ON ANYONE it will your country social fabric kama mchwa

Stay the f*ck away from tribalism, I beg you

You r ----in right baby. Loud and clear. We gonna work on it......

Later: o noooo.... some sht guy cut off my word.....
 
Mkuu usianzishe zengwe jipya, hili la udini linatosha. Unajua hao wakulima wa kahawa walipewa elimu tangu ukoloni ili walime kahawa nzuri. Utamaduni wa kupenda shule ni jadi yao tangu ukoloni, sasa isiwe ugomvi kuwaona wengi kwenye madeski makubwa ya ofisi. Cha msingi kila mtu sasa apende shule na na apewe fulsa kukalia deski kubwa la ofisi. Lakini usisahau kuwahi ndio kupata.
 

Kama watu wanapewa hizo nafasi kwa sababu ya vigezo shule ikiwemo, sioni tatizo. Shida itaanza kama kuna mtu wa kabila lingine mwenye vigezo atanyimwa nafasi/ kazi kutokana na kabila lake.

Wale wenzangu nadhani hoja ingekua kutafuta elimu kwa bidii na sio kulalamika, piga shule, pata vigezo mtu akikunyima kazi kwa kigezo cha kabila hapo una haki ya kulalamika.

Sitoki miongoni mwa hayo makabila ila jamaa wako vizuri.
 

sure mkuu
 
Ni vyema ukawa na ushahidi kwamba ukabila unaozungumziwa ni wa kupanga au ndio waliopiga shule na kuwa na vigezo. Hatuna nafasi ya Ukabila Bongo. Ona hapo kwa jirani zetu wanavyohaha ka bla ya uchaguzi!!!!
 
Ukabila upo hata John Pombe Magufuli alipokuwa wazili wa ujenzi aling'ang'ana na barabara ya Dar hadi Mwanza. Barabara ya Lindi Dar, Mtwara Songea bado inasuasua kila mwaka fedha hazitoshi. imeanza kujengwa mi hata chekechea zijaanza mpaka leo haijaisha. Hao waliosoma zamani wanahakikisha wakiondoka wanaacha watakaolinda maslahi yao. Si kweli kuwa mpaka leo baada ya miaka 50 na usheu ya uhuru hakuna Wamakonde, Wangoni, Wapemba wasomi wenye uwezo wa kufanya kazi serikalini. Kuna sehemu zinadunishwa makusudi, wacheni wamakonde waje juu na gesi yao. Kwani mitambo ya umeme haiwezi kujengwa huko. hivyo viwanda kwa nini visijengwe mtwara au lindi.
 
UDSM
PROF MUKANDARA, PROF MULOKOZI,PROFF RUTASHOBYA,PROFF RWEKAZA, PROFF RWAITAMA
IFM
KATO RUGANGILA,PROF TUMWESIGE, PROF
MZUMBE
KABIGIZA,prof kaijage
SAUT, mweiga baregu prof, kwaNINI HAWA TU JAMAN

Duh, hivi mtu akiwa Prof kuna ukabila gani? Huyu Baregu alinyimwa mkataba Udsm, SAUT wakamchukua! Ukabila uko wapi hapo?
 

Kama wazaram hawasomi basi tungeona wasukuma, wahaya, wamakonde au wazanzibari. Skuli za Tumekuja, MWanakwerekwe, Jambiani, Tunguu, Makunduchi hakuna mchaga lakini wanyamwezi wapo.
 

Mkuu naona una hoja, kiukweli, ukabila unadunda kwa saana tu malangoni mwa taasisi nyingi za selikari hapoa nchini, bt tatizo ni ngumu kuushugulikia coz umeshika pabaya. Ni kama jipu la puani linavyouma lakini gumu kulishugulikia.
Kikubwa tu watu wawe waungwana na wazalendo wa kujali na utaifa na kuacha kutoa kazi kwa kufuata origin, wala itikadi za kiiman.
Tusipoangalia tutafikia pabaya, kuanza kusakana kama ilivyokuwa Rwanda. Tuvumiliane na kumuogopa Mungu kwa kuepuka ubaguzi na upendeleo sehemu yoyote ya kazi au shule!
Hayo yametokea TRA na kwingineko, sasa tuwasaidie kwa kuwaambia waache iyo tabia coz itawahatarishia kizazi chao na nchi kwa ujumla ikitokea watu wakakosa uvumilivu na kulianzisha.

Nahs kichwa kinaniuma kujadili maada yenye uzito hivi na isiyo na suruhisho jepesi, kwani suluhisho lake ni kilio/huzuni kwa watakaoguswa!
 
mhh nahisi hiili suala lina ukweli ndani yake, yani unaweza ingia sehemu ukachek management staff ukabakia kujiuliza maswali na kujijiju mwenyewe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…