Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Hatuwezi kuwapa kwasababu ya ego, waliyokuwa nayo ukianza kusema eti sis tumesoma tayari inaonyesha kuna kaharufu ka ukabils, wewe kama umesoma ni wewe, inapokuja swala la ajira waliokuzunguka ni watanzania wenzako, you have to respect that
Kwani hujui wachaga walijazwa tra kipindi cha mama anna mkapa
Hata nyerere aliliona hili mapema na akajua jinsi ua kudeal na watu walafi na wakabila kutoka makabila hayo.

Kuna makabila hapa nchini yanajivuna kwa kujua kufanya Mapenzi. Yaendelee kujivuna cause Hata hivyo "Sex is good."
Kuna makabila hapa yameshikilia tasnia ya Usanii, wanamuziki wengi wanatokea huko, sioni anayelalamika ukabila.
Hakuna anayewapinga kwasababu ya Ego.

Wahindi na waarabu tangu enzi ya Nyerere wanakaa magorofa ya NHC. Waswahili wanafanya kazi serikalini lakini wanakaa maeneo yalio hatari kwa afya zao pamoja na kukosa huduma. A Mji ukijengwa wao wako mjini. Hawana maskini Biashara wameshika wao. Petty na GRand Corruption za serikalini wanashiriki ile mbaya.
Hakuna anayechonga mdomo kuhusu wao kubebwa na jamhuri.

Wazenji wakiwemo wapemba na waunguja wanajichumia tu shamba LA bibi. Wakina bahkresa wanatJirika huku kwetu. Sisi huku hatuna tunachonufaika kutoka visiwani. Na hakuna mtizedi anachonga genga kulalamikia hili. Tens sometimes ukisema wanakuona mdini na unampinga baba wa Taifa.
Lakini sisi wazalendo wa hii nchi tunanung'unikiwa. Mi nadhani nafasi za makabila mengine wamechukua wageni. Muwadai hao.
N next time msilogwe kumwekA mswahili kwenye urais. Mlimweka mwinyi mlishuhudia mishahara ili vyokuwa inachelewa.
Na huyu mswahili ameua Ajira kabisa . mNAANZA kuchonga. Na mlimwita hendisome. My foot.
Nb: Edwin mtei na mchagga aliyepewa dhamana na nyerere. Tujiulize naye nyerere alikuwa mchaga akamwamini mchaga.
Mramba na wengineo.
Mpaka Leo kwenye huduma za jamii makabila haya matatu Bado yana watu. Nenda muhimbili. Na hii ni kwakuwa Wana akili sana na wanasoma vitu vigumu ambavyo hata waswahili hawawezi.mkianza kusema waondolewe huko, wakati nyinyi wengine uwezo mdogo tutafanyaje?. Nyie Lazima mkubali hawa jamaa kwenye Elimu wako juu sana.
Akili wanazo bhana. Chezea mikoa ya wanaokula ndizi.
Ugali ni tatizo.
 
Thats obvious it depends na affection yao kwenye dini husika, kwani ukienda nyumbani kwa mchaga unategemea utasikia mwimbo gani kama si kwaya
Au unaonaje wachaga wanavyoichukulia christmas, likewise hujiulizi kwanini wachaga hao hao ndiyo wanaongoza kwa ujambazi.
Unajua ustaarabu pia ni kukubali tatizo na kusahihisha if its possible lakini kupigania kitu kwakuwa una maslahi nacho nalo ni udhaifu.

Makabila mengine yanaongoza kWa ulozi, je wanaubaguzi? Manake wananufaika nao?
 
sasa hivi nchi imejaa wahindi na wachina ...watu tumekosa kazi wahindi wamejazana kila sekta ..ngozi nyeusi imelaaniwa walahi...
 
Kuna makabila hapa nchini yanajivuna kwa kujua kufanya Mapenzi. Yaendelee kujivuna cause Hata hivyo "Sex is good."
Kuna makabila hapa yameshikilia tasnia ya Usanii, wanamuziki wengi wanatokea huko, sioni anayelalamika ukabila.
Hakuna anayewapinga kwasababu ya Ego.

Wahindi na waarabu tangu enzi ya Nyerere wanakaa magorofa ya NHC. Waswahili wanafanya kazi serikalini lakini wanakaa maeneo yalio hatari kwa afya zao pamoja na kukosa huduma. A Mji ukijengwa wao wako mjini. Hawana maskini Biashara wameshika wao. Petty na GRand Corruption za serikalini wanashiriki ile mbaya.
Hakuna anayechonga mdomo kuhusu wao kubebwa na jamhuri.

Wazenji wakiwemo wapemba na waunguja wanajichumia tu shamba LA bibi. Wakina bahkresa wanatJirika huku kwetu. Sisi huku hatuna tunachonufaika kutoka visiwani. Na hakuna mtizedi anachonga genga kulalamikia hili. Tens sometimes ukisema wanakuona mdini na unampinga baba wa Taifa.
Lakini sisi wazalendo wa hii nchi tunanung'unikiwa. Mi nadhani nafasi za makabila mengine wamechukua wageni. Muwadai hao.
N next time msilogwe kumwekA mswahili kwenye urais. Mlimweka mwinyi mlishuhudia mishahara ili vyokuwa inachelewa.
Na huyu mswahili ameua Ajira kabisa . mNAANZA kuchonga. Na mlimwita hendisome. My foot.
Nb: Edwin mtei na mchagga aliyepewa dhamana na nyerere. Tujiulize naye nyerere alikuwa mchaga akamwamini mchaga.
Mramba na wengineo.
Mpaka Leo kwenye huduma za jamii makabila haya matatu Bado yana watu. Nenda muhimbili. Na hii ni kwakuwa Wana akili sana na wanasoma vitu vigumu ambavyo hata waswahili hawawezi.mkianza kusema waondolewe huko, wakati nyinyi wengine uwezo mdogo tutafanyaje?. Nyie Lazima mkubali hawa jamaa kwenye Elimu wako juu sana.
Akili wanazo bhana. Chezea mikoa ya wanaokula ndizi.
Ugali ni tatizo.
iq ya watz ni zero..mmmamae..
 
Ka-ukabila kapo pia na tunakapiga vita, sasa wapo wagogo, wangoni na wasukuma waliosoma kama makabila matatu uliyoyasema. Elimu na uzoefu ukilingana ni vizuri pia kabila jipya liingie kudumisha mchanganyiko.
 
Mchaga hata akifungua kijimgahawa atahakikisha anawaajiri wachaga wenzie kibao.
Akifungua bucha au duka vilevile, ikiwa baa lazma kaunta awe mchaga. Nimeyaona kwa wengi wao ila co wote.
Sasa ulitaka aajiri makabila ya wavivu wasio jua umuhimu wa hela mana asilimia kubwa ya makabila ya Tanzania ni wavivu
 
Tusifumbie macho kidonda kitakuja kutuficha kaburini...tusidanganyane, ukabila upo Tz yetu na ukabila si kwa haya makabila tu bali hata makabila madogo madogo wanao ukabila sana tena sana tu. Kinachotakiwa ni kuukemea bila kujali nani kaufanya. Haya ya kusema makabila yenye akili kama mmojawapo hapo juu mi sioni kama kuna binadamu ambaye hana akili ni fursa tu na kujiongeza..ila ukijiongeza kuwabagua wengine huna tofauti na kaburu...maana kaburu ni kaburu tu hata akivaa suti nyeusi.
Tusipoziba ufa tutajenga ukuta! JKT iimarishwe kutuweka sawa vinginevyo uh...hadi watu waliunda makampuni ya kuajiri ndugu zao halafu tuseme hakuna ukabila? Tunajidanganya. Magufuli pambana na hili janga la taifa litakalotubomoa na kutuacha vipande vipande.
 
unajua mtu usipojua historia yako.. kuna hatari ya kujaribu kuiandika upya! Ili kuelewa hapa tulipo sometimes we have to look back where we are coming from. Historia yetu haikuanza jana au juzi (kama baadhi wanavyotaka tuamini) matatizo tuliyonayo leo hayakuanza jana (isipokuwa haya ya kina Richmonduli!) lakini mengi yana msingi toka huko nyuma. Binafsi, nitashtuka zaidi kama kwenye nafasi fulani kwenye taasisi kumejaa Wakerewe, Wanyali, au Watindiga.. kwa sababu hakuna jibu zuri la kihistoria linaloweza kuonesha kujaa huko!!

La maana ni kuongeza jitihada ili baadaye hali ielekee uwiano kwani Waha na Wamang'ati na wenyewe watakuwa na shule nyingi na wanapata nafasi nyingi za kusoma.. kwani hata hivi sasa bado Uchagani, Mbeya n.k wanaendelea kuwa na shule nyingi na zenye kutoa wanafunzi wengi (angalia matokeo ya hivi karibuni!)..

Do we need some kind of affirmative action which would not be translated as reverse discrimination?
 
Back
Top Bottom