Mswahili Old Acc
JF-Expert Member
- Sep 27, 2006
- 488
- 24
Mtupori.
Karibu ndugu yetu jamvini umejiunga kuja ku defend uchaga?
imekuwaje wenyeviti wote wa vyama vya siasa kuwa hawana elimu ya kutosha tena wametoka mikoa yenye historia ya elimu?
Mbatia james ni mwenyekiti Nccr elimu yake kidato cha sita tu, Ulotu ni mwenyekiti wa taifa NRA elimu yake darasa la saba, Mrema ni mwenyekiti wa taifa Tlp elimu yake mwalimu wa shule ya msingi hadi uwaziri aliopewa na ruksa alikuwa waziri pekee mwenye elimu duni ndani ya baraza lile la mawaziri na mtu huyo huyo alikuwa Mbunge wa Kilimanjaro huo usomi ulikuwa wapi?
Anna Senkoro nae hana digrii.
Wanabodi.
wakati tunasubiri interview ya redio ya mwanakijiji juu ya ukabila TRA mimi nimeanza kupiga tochi Wizara ya ujenzi na kujua kwanini mabarabara ya Kilimanjaro yalipewa kipaumbele sana kwa bajeti nyingi tu.
ukifuatilia vizuri utaona project cordinator wa mradi wa IPR-INTERGRATED ROAD PROJECT mradi huu ulikuwa chini ya world bank alikuwa mchagga aliyejulikana kwa jina la WILLY LYATUU.
na Kamishina wa Barabara alikuwa mchagga mwingine KIMAMBO
ILIPOKUJA kuanzishwa TANROADS huyo huyo WILLY Lyatuu akawa mkubwa wa mradi na akachagua wachaga kwenye kitengo cha uhasibu alimuweka Mushi, materu na msuya
na idara ya mipango ya wizara ya ujenzi mkuu wake ni mchagga.
world bank walikuwa wakitoa incentives nyingi lakini waliokuwa wakipewa ni wachaga tu.
Lyatuu alikuwa na masecretary wawili Rukia Mohamed Abood(mtoto wa mhasibu mkuu wa serikali mstaafu) na Madeline huyo Rukia alikuwa hapati incentives allowance hadi wafagiaji wa kichagga walikuwa wakipata. lakini madeline alikuwa akipewa.
Lyatuu alikuwa akipeleka masomoni wachaga wenzake tu mfano Mushi alipelekwa Leeds Metropolitan university kwa kozi ya miezi sita na akawa anashikiria mfuko wa Road Fund.
kwa utaratibu huo barabara ya Lindi mtwara hawezi kuisha haraka.
na watu hawa hawa hawawezi kuona aibu kutenga billion 17 kujenga barabara ya Mramba na kuisahau ya Nzega. ukabila ni sumu ya maendeleo na tutazidi kuumulika kila kona.
Karibu ndugu yetu jamvini umejiunga kuja ku defend uchaga?
imekuwaje wenyeviti wote wa vyama vya siasa kuwa hawana elimu ya kutosha tena wametoka mikoa yenye historia ya elimu?
Mbatia james ni mwenyekiti Nccr elimu yake kidato cha sita tu, Ulotu ni mwenyekiti wa taifa NRA elimu yake darasa la saba, Mrema ni mwenyekiti wa taifa Tlp elimu yake mwalimu wa shule ya msingi hadi uwaziri aliopewa na ruksa alikuwa waziri pekee mwenye elimu duni ndani ya baraza lile la mawaziri na mtu huyo huyo alikuwa Mbunge wa Kilimanjaro huo usomi ulikuwa wapi?
Anna Senkoro nae hana digrii.
Wanabodi.
wakati tunasubiri interview ya redio ya mwanakijiji juu ya ukabila TRA mimi nimeanza kupiga tochi Wizara ya ujenzi na kujua kwanini mabarabara ya Kilimanjaro yalipewa kipaumbele sana kwa bajeti nyingi tu.
ukifuatilia vizuri utaona project cordinator wa mradi wa IPR-INTERGRATED ROAD PROJECT mradi huu ulikuwa chini ya world bank alikuwa mchagga aliyejulikana kwa jina la WILLY LYATUU.
na Kamishina wa Barabara alikuwa mchagga mwingine KIMAMBO
ILIPOKUJA kuanzishwa TANROADS huyo huyo WILLY Lyatuu akawa mkubwa wa mradi na akachagua wachaga kwenye kitengo cha uhasibu alimuweka Mushi, materu na msuya
na idara ya mipango ya wizara ya ujenzi mkuu wake ni mchagga.
world bank walikuwa wakitoa incentives nyingi lakini waliokuwa wakipewa ni wachaga tu.
Lyatuu alikuwa na masecretary wawili Rukia Mohamed Abood(mtoto wa mhasibu mkuu wa serikali mstaafu) na Madeline huyo Rukia alikuwa hapati incentives allowance hadi wafagiaji wa kichagga walikuwa wakipata. lakini madeline alikuwa akipewa.
Lyatuu alikuwa akipeleka masomoni wachaga wenzake tu mfano Mushi alipelekwa Leeds Metropolitan university kwa kozi ya miezi sita na akawa anashikiria mfuko wa Road Fund.
kwa utaratibu huo barabara ya Lindi mtwara hawezi kuisha haraka.
na watu hawa hawa hawawezi kuona aibu kutenga billion 17 kujenga barabara ya Mramba na kuisahau ya Nzega. ukabila ni sumu ya maendeleo na tutazidi kuumulika kila kona.