William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mzee Ole,
Heshima mbele mkuu, lakini mbona mawe mapema mwache mgeni siku ya kwanza mzee!
Heshima mbele mkuu, lakini mbona mawe mapema mwache mgeni siku ya kwanza mzee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii thread imeingia kwenye rekodi ya kuwa imechangiwa kuliko yeyote humu, na ni ya pili kwa kusomwa (haitakuwa muda mrefu itakuwa ya kwanza) kuliko yeyote, and still going...
Hii inamaanisha kuwa tukubali kuwa kuna issue katika hili suala na linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wake hasa ukitilia maanani upeo walio pro/against ambao wote kwa imani yangu ni watu wenye upeo mkubwa.
Nawakilisha
njaa iliopo kuna mdundiko siku hizi, enzi zile wazaramu hadi wa unguja huja dari la salama kwa harusi au kuwacheza wana.
leo wapi harusi ya siku saba la mdundiko vanga na tukunyema wapi? umepita ule, leo mlo mmoja unamshinda, labda baraka ya mabaa kila kona, hao ndugu zetu tunaowaita wasomi wameiharibu dari salama sasa inavuja ikinyesha mvua. na miale ya jua hupenya hadi kuunguza likichomoza
Hii thread imeingia kwenye rekodi ya kuwa imechangiwa kuliko yeyote humu, na ni ya pili kwa kusomwa (haitakuwa muda mrefu itakuwa ya kwanza) kuliko yeyote, and still going...
Hii inamaanisha kuwa tukubali kuwa kuna issue katika hili suala na linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wake hasa ukitilia maanani upeo walio pro/against ambao wote kwa imani yangu ni watu wenye upeo mkubwa.
Nawakilisha