JF members...asanteni sana kwa ukaribisho wenu.
mswahili and OTHERS....mie nafikiri mada ya TRA ifungwe TUKUBALIANE TUSIKUBALIANE undugunization etc upo hamna,twende ktk kitengo chengine labda mie nianze kuchokoza ukumbi ktk kitengo cha IKULU.
suala kubwa hapa labda tuliangalieni anapokuwa RAIS wa DINI FULANI jee ile chains nzima (hapa nakusudia watendaje wakuu kama idara ya usalama,jeshini,mabalozi,mawaziri sehemu idara nyeti etc)wanayomfuata wanakuwa wa dini yake au anaMIX?niliwahi sikia kuwa MUUNGWANA kuwa baada ya kupata USHINDI WA SUNAMI alipitisha jina la VP na hakupenda kufanya kazi na huyu wa sasa lkn hizo habari hazina uhakika,jee MUUNGWANA alichagua jina la MEMBE?
kipindi cha mzee RUKHSA pale ktk baraza lake la mawaziri kulikuwa na wa-znz wengi tu kama akina mar diria,amina salum,juma hamad omer,alli ameir etc,jee aliteua kutokana na USOMI wao?au issue ya MUUNGANO lazima sura za wa-znz ziwemo ktk baraza la mawaziri,au kwa sababu mzee rukhsa alikuwa anatokea znz?jee ni kweli kipindi kile sura za watendaji wakuu serikalini DINI FULANI walikuwa wengi kuliko?..............generally tuangalie kuwa UKABILA IKULU lkn hapa tuengeze kitu chengine JEE KUNA UDINI IKULU? naomba kutoa hoja,karibuni JF makini tujadiliane kwa amani.TUPE DATA za wakati wa mzee rukhsa,then akaja MKAPA na sasa tunaenda na mzee MUUNGWANA.
kwa wale wanaosherehekea PASAKA basi nawatakia PASAKA NJEMA na akina cc tuliobakia NAWATAKIA IJUMAA MUBARAK.