Bokassa.
Issue ya Upare-Taasisi za kiislam sio uzushi. mimi nimewahi kutumiwa email kuwekewa wazi jambo hilo na au muulize Mwandishi Balile atakupa ukweli na hisia za upare Ubungo. naomba nitumie PM email yako nikutumie habari ya upare taasisi za kiislam.
inawezekana wewe ni muislam lakini kuficha mapungufu si dawa suala ni kujadili. kuna watu wanaamini kuna udini nchini na vitabu vimeandikwa. pia usitakae ukabila upo na uislam unasumbuliwa na wapare ambao ni jadi yao ukabila wameridhishwa toka kwa Mgonja na Msuya.
mfano Mzuri Cleopa Msuya amechangia sana misikiti kwa waislam wa huko kwao. sasa muislam aliyesaidiwa na Msuya atakuwa na hisia za kuwa upare ni zaidi ya uislam.
Bokassa endeleeni kuficha uchi tu. maadui zenu si wasio waislam kama baadhi ya watu wanavyoamini ni ukabila tena upare.
nakuuliza kijadirida za Annur umewahi kuona kimeeleza matatizo ya sehemu nyingine ya waislam kuliko ya huko Upare? viongozi wote wanatukanwa na kijarida hicho lakini haijawahi kutokea Msuya au Gladdness Mziray ukasikia wametukanwa anatukanwa JK na ruksa. kisa mhariri na waongozaji wa kijarida hicho ni wapare.
Ndugu zangu Waislam kama mnataka maendeleo ya kweli tatueni matatizo yenu kwanza. na pambaneni na wanaoleta ukabila kwa kwenye dini yenu.
nakupa homework Bokassa. fuatilia miradi ya shule za Ubungo, kirinjiko, mudio, Kibohehe,na zingine mbili zote za kiislam ziko Kilimanjaro kwanini msizipeleke Bagamoyo. kilwa ,pangani, Mtwara au Lindi?
na mnapokuwa na watendaji waliokosa busara kama Saiboko ambaye mnadai ni kiongozi wenu huku hana busara hata chembe mnategemea nini? Saiboko ni mpare na product ya Msuya, jee atakuwa na mapenzi na waislam au wapare? nakupa homework.