Ufunuo wa Yohana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 319
- 72
Kama huu ni ukweli jamani Tz tumeisha kabisa!!
Baba atunyonge,
Mama atutukane,
Mtoto atupunje,
na mjukuu naye?
Tanzania wake up please!
Hatutavumilia upuuzi huu na lazima tu-act sasa!
wajukuu wetu pamoja na digree zao watakua mahausiboy/girl wa wajukuu wa hao mafisadi
hii silikali ndiyo bomu kuliko:-
zote ulimwenguni
zote duniani
zote africa
zote afrika mashariki
awamu zote Tanzania
Ushauli wangu
Chama kiundwe ndani ya Jambo F
Turudi wote Tz tuungane na na wenzetu kjjni
tumng'oe huyu adui ccm mbaya
Baba atunyonge,
Mama atutukane,
Mtoto atupunje,
na mjukuu naye?
Tanzania wake up please!
Hatutavumilia upuuzi huu na lazima tu-act sasa!
wajukuu wetu pamoja na digree zao watakua mahausiboy/girl wa wajukuu wa hao mafisadi
hii silikali ndiyo bomu kuliko:-
zote ulimwenguni
zote duniani
zote africa
zote afrika mashariki
awamu zote Tanzania
Ushauli wangu
Chama kiundwe ndani ya Jambo F
Turudi wote Tz tuungane na na wenzetu kjjni
tumng'oe huyu adui ccm mbaya