Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,636
- 6,178
Kuna wakati MSD ilikua kama uko Rio De Janeiro. Sijui siku hizi kama haya mambo hayapo. Lakini ukweli ni kwamba kujuana kupo sana tu na hakuzingatii kabila peke yake. Kuna vigezo vingi sana wanavyovitumia watu katika kujuana na ndio maana tuna kitu kinaitwa connection.
Tell me why, kuna PSRS lakini Bunge, BOT, TRA, JSC etc wanajiundia vimfumo vyao amabvyo ni non transparent kwa ajili ya kuajiri wakati ajira kwenye utumishi ni HAKI ya watanzania wote. Tena wanasema pale "only succesful candidates will be contacted". Lengo ni kwamba, it is easy to temper when the system is not transparent. Huko utumishi ilikua ni rahisi kwa competent people ambao hawamjui meneja rasilimali watu waingie kwenye ajira.
Mwisho wa siku yanakua kama yale yale ya USAID. Baada ya kusimamishwa kazi, familia nzima wako jobless 😁 😁 😁
Tell me why, kuna PSRS lakini Bunge, BOT, TRA, JSC etc wanajiundia vimfumo vyao amabvyo ni non transparent kwa ajili ya kuajiri wakati ajira kwenye utumishi ni HAKI ya watanzania wote. Tena wanasema pale "only succesful candidates will be contacted". Lengo ni kwamba, it is easy to temper when the system is not transparent. Huko utumishi ilikua ni rahisi kwa competent people ambao hawamjui meneja rasilimali watu waingie kwenye ajira.
Mwisho wa siku yanakua kama yale yale ya USAID. Baada ya kusimamishwa kazi, familia nzima wako jobless 😁 😁 😁