Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyovyote iwavyo hairuhusiwi. Pale UDSM vyama vya kufa na kuzikana vinavyohusisha makabila vilipigwa marufuku kwa madai kuwa vinahamasisha ukabila.kwanza naomba kuuliza hiki kikao n cha kisiasa au cha kikabila ?
Tena upingwe na kila mmoja wetuHuu ni upumbavu namba moja na usivumiliwe kamwe.
Hii ni mokakati ya kigogo14 Makamba na kampeni yake ya "Simika Samia" hakuna kitu kama hiyo nchini.Nani karuhusu huu ujinga kufanyika ktk ardhi ya Tanzania? Mamalaka na vyombo vya dola fanyeni kazi yenu kuutokomeza huu ujjnga...
Muungwana akuvuliwa nguo huchutama. Acha kuwacfua watu kwa chuki zako za kuumbuliwa. Mlitaka kufanya upumbavu wa kufanya sisa za kikabila.Hii ni mokakati ya kigogo14 Makamba na kampeni yake ya "Simika Samia" hakuna kitu kama hiyo nchini.
Mtahangaika Sana enyi "Asali Boyz" wa mama na wapambe wenu.
Tangu mazungumzo yenu na #Kinana yaliponaswa tuliwaelewa vizuri sana mlivyo na kampeni za kijinga.
Tanzania ya leo hii ukabila wako unakuongezea thamani gani wewe.Acheni wivu wachaga tunawaona kila siku wanafanya haya mambo, wamasai, wapare, wagogo, waluguru na wengine wengi, wasukuma wawazi sana na wanaenzi mila zao, huwezi kuwazuia hata siku moja, wao ni clan tribe. acheni wivu, mnaogopa nini, makabila yenye yameharibika kwa ubinafsi acheni wivu.
Unaongea ujinga. Jaribu uone kama hamjamiminiwa risasi na kufa kisha mkatuachia wake zenu wakiwa wajane. Jaribuni muone!Acheni wivu wachaga tunawaona kila siku wanafanya haya mambo, wamasai, wapare, wagogo, waluguru na wengine wengi, wasukuma wawazi sana na wanaenzi mila zao, huwezi kuwazuia hata siku moja, wao ni clan tribe. acheni wivu, mnaogopa nini, makabila yenye yameharibika kwa ubinafsi acheni wivu.
acheni wivu mila zipo na zitaendelea, kila siku kila sehemu wachaga wanafanya haya mambo jamii iko kimya na hampigi kelele, acheni maisha ya wasukuma yaendelee, hizi kelele za kipumbavu sana, na ni wivu wa kichawi, fanyeni nanyi na mama zenu na baba zenu, na mababu zenu. Mnaogopa niniTanzania ya leo hii ukabila wako unakuongezea thamani gani wewe.
Kama hao wengine uliowataja wanayafanya haina maana kufanya hivyo kunawafanya wawe tofauti na waTanzania wengine.
Tulishaondokana na mambo ya ukabila, ya nini turudi huko!
Hivi unaelewa maana ya neno "wivu"?acheni wivu mila zipo na zitaendelea, kila siku kila sehemu wachaga wanafanya haya mambo jamii iko kimya na hampigi kelele, acheni maisha ya wasukuma yaendelee, hizi kelele za kipumbavu sana, na ni wivu wa kichawi, fanyeni nanyi na mama zenu na baba zenu, na mababu zenu. Mnaogopa nini
Wachaga ruksa kufanya haya maana ni utamaduni wao na tumewazoea.acheni wivu mila zipo na zitaendelea, kila siku kila sehemu wachaga wanafanya haya mambo jamii iko kimya na hampigi kelele, acheni maisha ya wasukuma yaendelee, hizi kelele za kipumbavu sana, na ni wivu wa kichawi, fanyeni nanyi na mama zenu na baba zenu, na mababu zenu. Mnaogopa nini