Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
ni cha habari na hoja mchanganyiko
kwanza naomba kuuliza hiki kikao n cha kisiasa au cha kikabila ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza naomba kuuliza hiki kikao n cha kisiasa au cha kikabila ?
basi unyama sanaaaaaani cha habari na hoja mchanganyiko
Waache waunde umoja wao, mbona tunashindwa kubomoa umoja wa mafisadi wanaobaka kila uchaguzi ili waendelee kutunyonya?Nani karuhusu huu ujinga kufanyika katika ardhi ya Tanzania? Mamalaka na vyombo vya dola fanyeni kazi yenu kuutokomeza huu ujjnga.
Endapo ujinga huu utaachwa usambae hakuna aliye salama.
View attachment 2392336
Chu bhe bhe nangho! Ulinidukila shi?!!!Ole na bhodindiligwa mtwe goko
Mm mwenyewe msukuma.Aliyekuambia sio Utamaduni Wao ni Nani??
Limela duhu Wong'wa fazaChu bhe bhe nangho! Ulinidukila shi?!!!
Bora ufisadi mara 5,000 kuliko ukabila. Penye ukabila hakuna taifa.Waache waunde umoja wao, mbona tunashindwa kubomoa umoja wa mafisadi wanaobaka kila uchaguzi ili waendelee kutunyonya?
Sawa lulu nkoyi.Limela duhu Wong'wa faza
Mnaogopa nini? Si mumeunda sukumagang wenyewe kwa kuwapa jina wafuasi wa magufuli eti sukumagang.Nani karuhusu huu ujinga kufanyika katika ardhi ya Tanzania? Mamalaka na vyombo vya dola fanyeni kazi yenu kuutokomeza huu ujjnga.
Endapo ujinga huu utaachwa usambae hakuna aliye salama.
View attachment 2392336
Kiukweli tuliinajisi nchiTulikosea sana kumpa yule jamaa nchi. Ona Sasa mmea umeshazaa
Lakini yafaa tukumbuke kuwa ubaya hauondolewi kwa kutenda ubaya.Ccm ndio muasisi wa hizi siasa za ukandana ukabila.
- Ilipoanzishwa CUF na kuonekana ina nguvu, walipiga kelele na kutuambia hicho chama ni cha kidini/ugaidi na ni cha wapemba tusikikubali.
- Ikaja CHADEMA ilipoanza kuwa tishio kwa ccm, wakatuambia ni cha wachagga na watu wa kanda ya kaskazini hivyo tuachane nacho.
Kwa maana hiyo tunavuna matunda ya pando la ccm, tusipambane na matawi bali tupambane na shina.
Kwani hii poster nimetengeneza mm? Au ndiyo unaionakwangu kwa mara ya kwanza?ndugu uliyepost huwa nakujua sana kwa uwendawazimu wako na kupandikiza chuki binafsi kwa kabila la wasukuma nakuomba uache hiyo tabia mara moja.
Tulianza kuona ubaya wake/ukanda na hadithi za maendeleo 🥱Ivi mlishaambiwa uzuri wa ukabila kwenye nchi au ni hiyo sumu na upuuzi mnaolishana kwamba ukabila ni mbaya?
Sasa unapiga marufuku vyama vya kufa na kuzikana kwa sababu zipii kama huo siyo ulofa?? Kama watu wanatoka Ngara huko Kagera au Mbinga huko Songea, na wamekutana Dar au Dodoma na kuamua kuungana ili watoe michango yao ili iwasaidie wakati wa maradhi na kifo (kifo hakikupigii simu ili ujiandae) ili wasaidiane halafu anatokea lofa mmoja anasema vipigwe marufuku ebooo!! Mbona hampigi marufuku vyama vya walevi, nadhehebu ya ajabu ajabu yanayoibuka daily, michezo ya kamari, kubeti, michezo ya wizi kama hii ya juzi ya Kalynda???Vyovyote iwavyo hairuhusiwi. Pale UDSM vyama vya kufa na kuzikana vinavyohusisha makabila vilipigwa marufuku kwa madai kuwa vinahamasisha ukabila.
Vyama vya siasa ama NGO zenye mrengo wa kabila havipewi usajili.
Amka
kikao chao kinakuhusu nini, nongwa yako ni ipi acheni ujinga na upumbavu na wivu, lealve the sukukam alone dont be too jealous of disunity from from ethnic group, kama hamna ushirikiano hio shauri yenu.