Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Waache wamlee mtoto kama Museveni wa Uganda mwishowe chamoto watakiona wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm ndio muasisi wa hizi siasa za ukandana ukabila.Muungwana akuvuliwa nguo huchutama. Acha kuwacfua watu kwa chuki zako za kuumbuliwa. Mlitaka kufanya upumbavu wa kufanya sisa za kikabila.
acheni kutengeneza chuki dhidi ya wasukuma, hii poster ni fake na ya kutengenezwa kwa makusudi mabaya dhidi ya wasukuma pili haina uhalisia hii kitu.Nani karuhusu huu ujinga kufanyika katika ardhi ya Tanzania? Mamalaka na vyombo vya dola fanyeni kazi yenu kuutokomeza huu ujjnga.
Endapo ujinga huu utaachwa usambae hakuna aliye salama.
View attachment 2392336
wachaga ndio wanamamlaka ya kufanya chochote ndani ya nchi hii?Wachaga ruksa kufanya haya maana ni utamaduni wao na tumewazoea.
Wasukuma siyo utamaduni wenu. Nini kiko nyuma yenu hadi muanze kufanya Sasa??
Hamtaruhusiwa kamwe. Mkilazimisha mtapigwa mchakae, maana Mungu wenu hayupo
sukuma GANGTena upingwe na kila mmoja wetu
Hawa majitu yana ukabila Sana,yakiongozwa na mwendazakeNani karuhusu huu ujinga kufanyika katika ardhi ya Tanzania? Mamalaka na vyombo vya dola fanyeni kazi yenu kuutokomeza huu ujjnga.
Endapo ujinga huu utaachwa usambae hakuna aliye salama.
View attachment 2392336
NtombaneweBasukuma bana, bajinga bajinga sana bawa bajitu🤣🤣🤣
Yafe hasaa, kwani hayo makabila yanafaida gani? Kuendeleza ukabila ni ujinga tu.makabila yenye yameharibika kwa ubinafsi acheni wivu
Kwani uongo ivyo vyama vyote ni sahihi vya kikanda ..we na akili timamu unaijua chadema kweli? Ule ni urithi wa mbowe kutoka kwa baba na ni mradi wa mapato kupitia ruzukuCcm ndio muasisi wa hizi siasa za ukandana ukabila.
- Ilipoanzishwa CUF na kuonekana ina nguvu, walipiga kelele na kutuambia hicho chama ni cha kidini/ugaidi na ni cha wapemba tusikikubali.
- Ikaja CHADEMA ilipoanza kuwa tishio kwa ccm, wakatuambia ni cha wachagga na watu wa kanda ya kaskazini hivyo tuachane nacho.
Kwa maana hiyo tunavuna matunda ya pando la ccm, tusipambane na matawi bali tupambane na shina.
Sio kosa lako....tatizo ni kwa aliyeotesha huo ujinga kichwani mwako.Kwani uongo ivyo vyama vyote ni sahihi vya kikanda ..we na akili timamu unaijua chadema kweli? Ule ni urithi wa mbowe kutoka kwa baba na ni mradi wa mapato kupitia ruzuku
Hujielewi pita kushoto...Na haitokuja ng'o kutokea vikashika dola Maisha baki na upumbavu wa kwenu.Sio kosa lako....tatizo ni kwa aliyeotesha huo ujinga kichwani mwako.
Kimekaa kisiasa hiki kikao, lengo ni kuanza kuvunja ngome ya kanda ya ziwa na kulainisha mambo kabla ya uchaguzi maana mama hakubaliki kbs kanda ya ziwakwanza naomba kuuliza hiki kikao n cha kisiasa au cha kikabila ?
Ona hii ng'ombe sijui imekula pumba za wapi..bila watu wa kanda ya ziwa na kaskazini na nyada za juu kusini pwani ingeendelea kuwa shithole.Kwa sasa Tena kila mkuu wa wilay au mkoa sijui afisa elimu wangefanya lazima awe wa eneo hilo ,ikiwezekana kila mtu arudi kwao mnajazana huku mjini kuleta utapeli wizi na uchwi....kanda ya pwani tuzunguke ukanda huu, nyie wasukuma huko kwenu usukumani ,,wachaga kaunganeni mji wenu muu uwe Arusha mkafanye utapeli na kuuwana vizuri huko...kila mtu arudi kwao tumechoka.
aaah bc km ndo hvy hawa jamaa watatupteza maana wanatak kujigawa sasaKimekaa kisiasa hiki kikao, lengo ni kuanza kuvunja ngome ya kanda ya ziwa na kulainisha mambo kabla ya uchaguzi maana mama hakubaliki kbs kanda ya ziwa