Ukabila utaibomoa nchi! Nani karuhusu haya kufanyika katika ardhi ya Tanzania?

Ukabila utaibomoa nchi! Nani karuhusu haya kufanyika katika ardhi ya Tanzania?

Muungwana akuvuliwa nguo huchutama. Acha kuwacfua watu kwa chuki zako za kuumbuliwa. Mlitaka kufanya upumbavu wa kufanya sisa za kikabila.
Ccm ndio muasisi wa hizi siasa za ukandana ukabila.

- Ilipoanzishwa CUF na kuonekana ina nguvu, walipiga kelele na kutuambia hicho chama ni cha kidini/ugaidi na ni cha wapemba tusikikubali.

- Ikaja CHADEMA ilipoanza kuwa tishio kwa ccm, wakatuambia ni cha wachagga na watu wa kanda ya kaskazini hivyo tuachane nacho.

Kwa maana hiyo tunavuna matunda ya pando la ccm, tusipambane na matawi bali tupambane na shina.
 
Hawa watu kukutana Dodoma inaaweza leta picha tofouti maana itaonrkana kama ni jambo la kitaifa la kabila husika na Haina tija yoyotee kwa kabila flani kuwa na jambo lao kitaifa hii inaweza kuwa threat kwa umoja WA kitaifa .
Ushauri wangu SI vibaya kuwa na magroups au umoja WA kikabila au kieneo ila tu isiwe katita level ya kitaifa na Wala isiwe ni kwa malengo ya kisiasa .
Tangozo lilivyo ni kama kuonyesha ukubwa WA kabila husika
Serikali iwe macho na isuruhusu kabisa mambo hayo.
Wachaga nijuavyo umoja wao umejikita zaidi katika mambo ya kufa na kuzikana jambo ambalo haliwezi kuwa la kitaifa
 
Nani karuhusu huu ujinga kufanyika katika ardhi ya Tanzania? Mamalaka na vyombo vya dola fanyeni kazi yenu kuutokomeza huu ujjnga.

Endapo ujinga huu utaachwa usambae hakuna aliye salama.

View attachment 2392336
acheni kutengeneza chuki dhidi ya wasukuma, hii poster ni fake na ya kutengenezwa kwa makusudi mabaya dhidi ya wasukuma pili haina uhalisia hii kitu.
ndugu uliyepost huwa nakujua sana kwa uwendawazimu wako na kupandikiza chuki binafsi kwa kabila la wasukuma nakuomba uache hiyo tabia mara moja.
 
Wachaga ruksa kufanya haya maana ni utamaduni wao na tumewazoea.

Wasukuma siyo utamaduni wenu. Nini kiko nyuma yenu hadi muanze kufanya Sasa??

Hamtaruhusiwa kamwe. Mkilazimisha mtapigwa mchakae, maana Mungu wenu hayupo
wachaga ndio wanamamlaka ya kufanya chochote ndani ya nchi hii?
 
wachaga,ywahaya,wasukuma,wanyakyusa huwa wanajiona babu kubwaaaa wewe halafu ni washamba
 
Ccm ndio muasisi wa hizi siasa za ukandana ukabila.

- Ilipoanzishwa CUF na kuonekana ina nguvu, walipiga kelele na kutuambia hicho chama ni cha kidini/ugaidi na ni cha wapemba tusikikubali.

- Ikaja CHADEMA ilipoanza kuwa tishio kwa ccm, wakatuambia ni cha wachagga na watu wa kanda ya kaskazini hivyo tuachane nacho.

Kwa maana hiyo tunavuna matunda ya pando la ccm, tusipambane na matawi bali tupambane na shina.
Kwani uongo ivyo vyama vyote ni sahihi vya kikanda ..we na akili timamu unaijua chadema kweli? Ule ni urithi wa mbowe kutoka kwa baba na ni mradi wa mapato kupitia ruzuku
 
Kwa sasa Tena kila mkuu wa wilay au mkoa sijui afisa elimu wangefanya lazima awe wa eneo hilo ,ikiwezekana kila mtu arudi kwao mnajazana huku mjini kuleta utapeli wizi na uchwi....kanda ya pwani tuzunguke ukanda huu, nyie wasukuma huko kwenu usukumani ,,wachaga kaunganeni mji wenu muu uwe Arusha mkafanye utapeli na kuuwana vizuri huko...kila mtu arudi kwao tumechoka.
 
Kwani uongo ivyo vyama vyote ni sahihi vya kikanda ..we na akili timamu unaijua chadema kweli? Ule ni urithi wa mbowe kutoka kwa baba na ni mradi wa mapato kupitia ruzuku
Sio kosa lako....tatizo ni kwa aliyeotesha huo ujinga kichwani mwako.
 
kwanza naomba kuuliza hiki kikao n cha kisiasa au cha kikabila ?
Kimekaa kisiasa hiki kikao, lengo ni kuanza kuvunja ngome ya kanda ya ziwa na kulainisha mambo kabla ya uchaguzi maana mama hakubaliki kbs kanda ya ziwa
 
Kwa sasa Tena kila mkuu wa wilay au mkoa sijui afisa elimu wangefanya lazima awe wa eneo hilo ,ikiwezekana kila mtu arudi kwao mnajazana huku mjini kuleta utapeli wizi na uchwi....kanda ya pwani tuzunguke ukanda huu, nyie wasukuma huko kwenu usukumani ,,wachaga kaunganeni mji wenu muu uwe Arusha mkafanye utapeli na kuuwana vizuri huko...kila mtu arudi kwao tumechoka.
Ona hii ng'ombe sijui imekula pumba za wapi..bila watu wa kanda ya ziwa na kaskazini na nyada za juu kusini pwani ingeendelea kuwa shithole.

Heshimu hao watu na bado wanazidi kuminini mpaka watu wa pwani mhamie kwenye mapori tengefu.

Umasinini na ujinga wenu kushadadia ngoma na viuno naona unazidi kuwa cost poleni sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
1666264224418.png
 
Kimekaa kisiasa hiki kikao, lengo ni kuanza kuvunja ngome ya kanda ya ziwa na kulainisha mambo kabla ya uchaguzi maana mama hakubaliki kbs kanda ya ziwa
aaah bc km ndo hvy hawa jamaa watatupteza maana wanatak kujigawa sasa
 
Back
Top Bottom