Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Wazaramo ndugu zangu tunakwama wapi Wasenge ##***** zenu nyinyi. ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi zaweza kuwa dalili za ukichaa🤸🤸Wazaramo ndugu zangu tunakwama wapi Wasenge ##***** zenu nyinyi. ðŸ˜
Huu ukabila ukomeshwe mara moja!Acheni wivu wachaga tunawaona kila siku wanafanya haya mambo, wamasai, wapare, wagogo, waluguru na wengine wengi, wasukuma wawazi sana na wanaenzi mila zao, huwezi kuwazuia hata siku moja, wao ni clan tribe. acheni wivu, mnaogopa nini, makabila yenye yameharibika kwa ubinafsi acheni wivu.
Nafikiri wachaga wana vikao vya kikoo na sio kikabila..mfano;Kuna wanyarwanda wa kitusi na kirundi wanajifanya wasukuma wakisukuma kete zako pole Pole!!
Sina shida na vikao vya kikabila ni kawaida sana!hata wachanga hufanya Sio ishu!!
Kwa wakuona mbali hayo ni maandalizi kujipanga kwa chaguzi zijazo ,huku ukanda ukiwa mbere🚶Huu ukabila ukomeshwe mara moja!
Mwandiko wako wa KiKenya, kwanini?Acheni wivu wachaga tunawaona kila siku wanafanya haya mambo, wamasai, wapare, wagogo, waluguru na wengine wengi, wasukuma wawazi sana na wanaenzi mila zao, huwezi kuwazuia hata siku moja, wao ni clan tribe. acheni wivu, mnaogopa nini, makabila yenye yameharibika kwa ubinafsi acheni wivu.
Amna Leo nimeamua kukwambia ukweli mchungu. Wanatukwamisha vizaz hivi. Kwa Nn hatubebani? Ulega kwao ukifika huwez kuamin kama kwao. Si ajab ndug zake wamesoma na hawapi kazi. Hapo hapo wanasifia makabila ya Kas kazini. We unaona hawa wana akili vizur? 😡Hizi zaweza kuwa dalili za ukichaa🤸🤸
Ole na bhodindiligwa mtwe gokoDujagi lulu.....mkuluha pyee bhanyaneng'we
Aliyekuambia sio Utamaduni Wao ni Nani??Wachaga ruksa kufanya haya maana ni utamaduni wao na tumewazoea.
Wasukuma siyo utamaduni wenu. Nini kiko nyuma yenu hadi muanze kufanya Sasa??
Hamtaruhusiwa kamwe. Mkilazimisha mtapigwa mchakae, maana Mungu wenu hayupo
PHOTOSHOP;Nani karuhusu huu ujinga kufanyika katika ardhi ya Tanzania? Mamalaka na vyombo vya dola fanyeni kazi yenu kuutokomeza huu ujjnga.
Endapo ujinga huu utaachwa usambae hakuna aliye salama.
View attachment 2392336
Serikali imeshatambua uwepo wa machifu na watemi nchini. Hapo ukabila hauepukiki kwa sababu machifu na watemi si wa wilaya au mkoa bali ni wa makabilaHuu ni ujinga!
Hiyo movement ifuatiliwe, kama kuna uhaini ndani yake hatua zichukuliwe.
Bila kutaja Wachaga hamuoni kama mmeongea siyo?Acheni wivu wachaga tunawaona kila siku wanafanya haya mambo, wamasai, wapare, wagogo, waluguru na wengine wengi, wasukuma wawazi sana na wanaenzi mila zao, huwezi kuwazuia hata siku moja, wao ni clan tribe. acheni wivu, mnaogopa nini, makabila yenye yameharibika kwa ubinafsi acheni wivu.