Ukabila utaibomoa nchi! Nani karuhusu haya kufanyika katika ardhi ya Tanzania?

Ukabila utaibomoa nchi! Nani karuhusu haya kufanyika katika ardhi ya Tanzania?

Ukabila upo sana tu.
Wahaya na wachaga huwa wana vikundi vya kuweka fedha.
Sema hawa wasukuma wao wamefanya publicly sana.
Anyway serikali inajua.
 
Acheni unyana!
Mawaziri, marc na waandamiz wasukuma mmewafukuza kazi na kuanza kuwatukana kifala wakavumilia.

Jino kwa jino, kama wewe sio msukuma hupati sapoti, na mama yenu anatakiwa ajipendekeze usukumani.

Our moto: mbele daima, nduhu tabu.
 
Aliyepost ndio kawapromote zaidi sasa,hata waliokuwa hawajui kuwa kuna kitu hiki sasa wamekijua,
 
Na katavi tumeacha kuitaja kwa makusudi msije mkalia sana, we are everywhere, morogoro haijatajwa pia, an assimilated sukuma speaking on behalf.
Daah never thought you stoop this much low! Watu mno bank on ukabila badala ya substance, duuh!
 
Nyie wasenge nn ,mbna wachaga kila uchwao wanaenda kwao , na vikao vyao mjini , sasa ni hvi , kikao tutakaa na hamna kitu mtafanya , shenzi kabisa
Huo mkwara mbuzi tu. Haitokaa itikee. Kama Mungu wenu tulimpeka ahera ninyi vidagaa tutawatoa kafara kabisa
 
Mara hii tu mmeeshasahau origin ya Chadema. (Chagga Development Manifesto).

Mradi hawavunji sheria acha tu wakutane wafanye yao.
 
Ni hatua nzuri.sisi wachaga tuko mbali kwenye umoja wetu wa kichaga na unatusaidia shughuli mbalimbali kama mazishi n.k.Hongereni kwa hatua hiyo mnaweza kutufikia na sisi
 
Acheni wivu wachaga tunawaona kila siku wanafanya haya mambo, wamasai, wapare, wagogo, waluguru na wengine wengi, wasukuma wawazi sana na wanaenzi mila zao, huwezi kuwazuia hata siku moja, wao ni clan tribe. acheni wivu, mnaogopa nini, makabila yenye yameharibika kwa ubinafsi acheni wivu.

Wanafanya wakitangaza? wanafanya kwa nia gani?
 
Vyovyote iwavyo hairuhusiwi. Pale UDSM vyama vya kufa na kuzikana vinavyohusisha makabila vilipigwa marufuku kwa madai kuwa vinahamasisha ukabila.

Vyama vya siasa ama NGO zenye mrengo wa kabila havipewi usajili.

Amka
Mbona wamaasai wanajificha nyuma ya mgongo wa wafugaji lakini hatuoni wakichanganyika na wafugaji wa Kinyaturu, kimbulu, kimang'ati,kisonjo,kigogo, n.k. ?

Ukabila utaisha pakiwa na uhuru wa kisasa na utawala Bora. Utawala Bora hua unatabia ya kumaliza harakati zote bila kutumia nguvu.
Katiba mpya iweke uhuru wa kisiasa ili anayeona anaweza kuleta mabadiliko apitie kwanye vyama na awashawishi hata kama ni watu wa nyumbani kwake lakini tutauona maono yake Kwa Taifa na tutamuuliza maswali kwenye midahalo.

Hata ugaidi unashamiri kama hakuna demokrasia. Wekeni demokrasia nzuri ili kila mtu awe huru kuja na mrengo wake. Kuna watu wanavutiwa sana na Namna wasukuma wanavyoongoza nchi na kusimamia rasilimali za Nchi. Lakini wao nao wanaona Kuna harakati za kuwazuia kabisa wasije wakagusa Tena uongozi wa juu. Lakini hao wanaowazuia wanawazuia Kwa lengo la kuiba Sio Kwa lengo jema Kwa Taifa.

Sioni Kwa Nini wakatazwe kufanya vikao watu wa Kanda hiyo ya kisukuma.

Ukabila utakwisha wenyewe tujifunze Kenya.
Mara nyingi pakiwa na Chama Dume ndipo panapokuwa na mambo kama hayo ya ukabila ,uchifu,udini , ukanda ,uzanjibari na Utanganyika ,upemba na uunguja n.k. Yote ni watawala wanacheza na akili za watu kutengeneza kura. Huenda hata hicho kikao kitatumika kutafuta kura za watu wenye madaraka. Pale Namuona Cheyo. Cheyo ni Wakala wa watawala tangu Mkapa.

Demokrasia ya kweli inaua Ukabila
 
Walipofanya wagogo na mgeni rasmi akawa Ndugai mlibweka nanna hii? Acheni ujinga! Kila leo kutukana wasukuma maana ajenda yenu ya kuwaona wasukuma wakiwa hawana mendeleo ya elimu ,biashara na sekta zingine ishafail! Nawakumbusha tu lilikuwa ni suala la mda tu ila mtambue hatukubali tena ujinga wenu!
Kabisa kabisa!
 
Vyovyote iwavyo hairuhusiwi. Pale UDSM vyama vya kufa na kuzikana vinavyohusisha makabila vilipigwa marufuku kwa madai kuwa vinahamasisha ukabila.

Vyama vya siasa ama NGO zenye mrengo wa kabila havipewi usajili.

Amka
aaah nshakuelwa ss mkuu
 
Nani karuhusu huu ujinga kufanyika ktk ardhi ya Tanzania? Mamalaka na vyombo vya dola fanyeni kazi yenu kuutokomeza huu ujjnga.

Endapo ujinga huu utaachwa usambae hakuna aliye salama.

Banyana nhana bhene abha!

View attachment 2392336
Hatari na sio salama,harufu ya uhutu na utusi hapa😂😂
 
Mbona tunaona maumoja ya Wachaga, Wanyakyusa na Makabila mengine kila weekend mitaani wana fanya vikao na sherehe mbalimbali, tena vyama vya Wachaga vilienda mbali zaidi vikafaya sherehe kusherehekea kifo cha Magufuli.
 
Back
Top Bottom