The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hawa watu kamata tia ndani wakikaa miaka 5 huko hakuna mtu atarudia huu ushenzi..Nani karuhusu huu ujinga kufanyika ktk ardhi ya Tanzania? Mamalaka na vyombo vya dola fanyeni kazi yenu kuutokomeza huu ujjnga.
Endapo ujinga huu utaachwa usambae hakuna aliye salama.
Banyana nhana bhene abha!
View attachment 2392336
Nachukia Sana Serikali kuchekea chekea watu kwenye mambo yanayohatarisha tunu ya Taifa kama hili..
Liwe ni la kijamii au vinginevyo haifai.