Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wengi toka Elimu ya chini wanakuwa wamebanwa sana, wanapofika Elimu ya juu wanajikuta ghafla wako huru, na huu unakuwa mwanzo wa maisha ya kujaribu, wanajikuta wanajaribu kila kitu.Wakuu, maadam suala la ukahaba kwenye vyuo vikuu hapa nchini haipingiki, naomba tujadili leo sababu hasa ya hali kuwa hivyo. Je, ni kupenda maisha ya starehe pekee au kuna sababu nyuma ya pazia?
Gumu kujadilikaWakuu, maadam suala la ukahaba kwenye vyuo vikuu hapa nchini haipingiki, naomba tujadili leo sababu hasa ya hali kuwa hivyo. Je, ni kupenda maisha ya starehe pekee au kuna sababu nyuma ya pazia?
Wakuu, maadam suala la ukahaba kwenye vyuo vikuu hapa nchini haipingiki, naomba tujadili leo sababu hasa ya hali kuwa hivyo. Je, ni kupenda maisha ya starehe pekee au kuna sababu nyuma ya pazia?
Maprofesa wenyewe na elimu zao nyege imewashinda akiliWakuu, maadam suala la ukahaba kwenye vyuo vikuu hapa nchini haipingiki, naomba tujadili leo sababu hasa ya hali kuwa hivyo. Je, ni kupenda maisha ya starehe pekee au kuna sababu nyuma ya pazia?
Vijana wengi toka Elimu ya chini wanakuwa wamebanwa sana, wanapofika Elimu ya juu wanajikuta ghafla wako huru, na huu unakuwa mwanzo wa maisha ya kujaribu, wanajikuta wanajaribu kila kitu.
Mkuu, unadhani umri wa vijana kujitegemea kwa sababu ya kuwa vyuoni waweza kuwa sababu? Kwamba vijana wengi wanalazimika kujitegemea wangali bado wanahitaji uangalizi wa wazazi/walezi?Umeshamaliza mbona ila engeza hii[emoji1]:
- Mob psychology
-Kutojitambua
-Hali ya umaskini
-Uhuru uliopitiliza
-Globalization: Kwani nani ataniuliza mbona nimeona kwenye TV poa tu!
Etc etc
Kwa hyo mambo yanakuwa hiv sio?Saizi umekuwa utamaduni,,Yani first year anaenda chuo anakuta dada na kaka zake wanaishi hivyo,,ni mmoja mmoja sana anaweza ruka huo mtego,,,
Political error.
Tukijaribu kukadiria percentage, unadhani ugumu wa maisha utakuwa juu?Political error.
Ukahaba wa wanavyuo unatokana na ugumu wa maisha ya chuo.
Wazazi wanashindwa kumudu gharama na hakika boom nalo ni kama linagharimia ada huku life ya wanachuo inakuwa na mashaka. Wanachuo wanalipa tozo ujue pia
Malezi ni eneo lingine
Tamaa ni eneo jengine
Na kadhalika
kweli na hii sio vyuoni tu hata mtaani umalaya na ukahaba ni hulka/ tabia wakiamua wanaweza kuachana nayoVijana wengi wamekosa elimu ya kujitambua na kukubaliana na hali ya maisha... nje ya sababu hizo ni visingizio tu.