Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
100% mkuu...kweli na hii sio vyuoni tu hata mtaani umalaya na ukahaba ni hulka/ tabia wakiamua wanaweza kuachana nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100% mkuu...kweli na hii sio vyuoni tu hata mtaani umalaya na ukahaba ni hulka/ tabia wakiamua wanaweza kuachana nayo
Kuna watu ni geti kali au familia zinawabana kupitiliza sababu ya ukali wa wazazi, dini au wengine kutokea shule za kidini ambazo zipo strict. Akifika chuo anaona ni ulimwengu mwingine na hapo ashapewa boom la kumuwezesha kujaribu maisha yote anayoyataka, kwa nini asijiachieLabda ungeelezea wanakuwa wamebanwa kivipi. Pia unadhani wakipewa uhuru toka awali (kuanzia elimu ya msingi) unadhani wanabadilika na kuwa vijana wenye maadili mema?
kweli na hii sio vyuoni tu hata mtaani umalaya na ukahaba ni hulka/ tabia wakiamua wanaweza kuachana nayo
Hilo la utandawazi linajinasibisha na malezi mkuuTukijaribu kukadiria percentage, unadhani ugumu wa maisha utakuwa juu?
Vipi athari za utandawazi na kubadilika kwa namna vijana wanayoyaona maisha?
Wee! Mi nasubiri mwakani mwezi wa 11, nitakuwa tayari financially stable, nikaanze kukamata senene pale mabibo najitafunia tu kwa raha zanguWakuu, maadam suala la ukahaba kwenye vyuo vikuu hapa nchini haipingiki, naomba tujadili leo sababu hasa ya hali kuwa hivyo.
Je, ni kupenda maisha ya starehe pekee au kuna sababu nyuma ya pazia?
😁😁😁 Ila soko limeendelea brother, watu hawajipangi barabarani tena, ni kubadili location na jina la biasharaIla siku hizi umekuwa too much,wenyewe umalaya wao wame upimp kidogo siku hizi wanaita KUDANGA.
Neno malezi ni either kulelewa ama kutolelewaSiku hizi watoto wanalelewa? Mbona wazazi wote ni watafutaji, nani anayelea watoto?
Duh, alikuwa na future nzuri sana mbona? Nadhani maisha ya kuigiza ndio chanzo cha yote.mtoto wa sister kala disco MUHAS kwa ugeni wa maisha ya chuo, sasa atakula alichopanda…
kitoto cha miaka 19 kishatoa mimba mbili ndani ya kipindi cha semesters 4….WTF